Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220731_170844_com.android.chrome_edit_9096304683507.jpg


YNWA
 
Wewe ni mweupe kabisa kwenye league zero brain ...

Mwaka juzi tulianzia na kipigo hatari ,pigwa Tano na lecister city ,spurs ya mo ikatunyoosha ,Tena sio hizo 3 nyepesi ,Tena league ilikuwa imeshaanza ,UK nzima wakaandika "very difficult man city to win the title" mpaka Christmas Liverpool alikuwa top kwa uzoefu wa league mtu akiwa top of the table chrismass basi huyo ni bibgwa na city hatukuwahi kukaa pale juu ..unajua Nini kilitokea ? ...

Mwaka jana community shield tulikula kichapo Cha mbwa Koko kwa lecister city ,league ikianza spurs akatunyoosha Kama kawaida son ,muda huo Chelsea wanasambaza kipigo ,man UTD , Liverpool....mpaka kinaambangile wakampa ubingwa Chelsea kwa kuwa alikuwa hatari ,solid defence,na alikuwa hafungiki ,ni baada ya kudraw na Liverpool anfied wakati walikuwa pungufu ,badae unajua Nini kilitokea ?....

Ndio maana nikasema wewe ni mweupe kichwani kuhusu league,this is marathon....!

City ni habari nyingine likija swala la marathon ,ingekuaa epl ni kucheza game moja tu hapo sawa ,ila game 38 ? ...chukua kiti kaa chini na kahawa subili uone maajabu sio kwa city tu hata man UTD ,Chelsea ,spurs ...
Usemacho ni sahihi na tusijipe kichwa kwa mechi moja ya kuwafunga. League ianze maswala ya kujitapa saivi siyataki kwa wana Liverpool wenzangu mda utasema tu, mi huwa sipendi kutabiri yajayo kiukweli.
 
Alifikiri atabeba, si amejifanya kumuondoa Jesus na Sterling alafu bado na Bernardo silva nahisi nae ataondoka sasa ataanza upya kujipanga.
Alimuiga Klopp kumwachie Mane asepe zake kumbe Klopp alishafanya intejelisia ya nguvu sana dhidi ya mfumo wake mpya na kwa wachezaji anaowahitaji.

Pep awe na subira na Halland atakuja kua bora lakini sio spidi kali ki hivyo hii ni EPL ni balaaa ukitaka kuijua vyema muulize Lukaku.

YNWA
 
Alimuiga Klopp kumwachie Mane asepe zake kumbe Klopp alishafanya intejelisia ya nguvu sana dhidi ya mfumo wake mpya na kwa wachezaji anaowahitaji.

Klopp awe na subira na Halland atakuja kua bora lakini sio spidi kali ki hivyo hii ni EPL ni balaaa ukitaka kuijua vyema muulize Lukaku.

YNWA
Lukaku imembidi arudi Intermilan maana Hali si nzuri
 
Lukaku imembidi arudi Intermilan maana Hali si nzuri
Nikukumbuka zile tambo za OllaChuga Oc humu atakavyosepa na ubingwa wa EPL msimu uliopita hua nasema ni sahihi kweli kua na maneno ya akiba...

Muda utasema kati ya Nunez na Hallaand nani atawai kufumania nyavu na kuisadia timu yake. Wote wanajua. Anachomzidi Nunez ni kwamba dogo ni Street kid design kama Surez kaanza kupiga peku peku hivyo yupo kikazi zaidi huyu.

Mungu mwema Ligi imerejea maana wekedi zilikua hazinogi haswa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom