Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe ni mweupe kabisa kwenye league zero brain ...

Mwaka juzi tulianzia na kipigo hatari ,pigwa Tano na lecister city ,spurs ya mo ikatunyoosha ,Tena sio hizo 3 nyepesi ,Tena league ilikuwa imeshaanza ,UK nzima wakaandika "very difficult man city to win the title" mpaka Christmas Liverpool alikuwa top kwa uzoefu wa league mtu akiwa top of the table chrismass basi huyo ni bibgwa na city hatukuwahi kukaa pale juu ..unajua Nini kilitokea ? ...

Mwaka jana community shield tulikula kichapo Cha mbwa Koko kwa lecister city ,league ikianza spurs akatunyoosha Kama kawaida son ,muda huo Chelsea wanasambaza kipigo ,man UTD , Liverpool....mpaka kinaambangile wakampa ubingwa Chelsea kwa kuwa alikuwa hatari ,solid defence,na alikuwa hafungiki ,ni baada ya kudraw na Liverpool anfied wakati walikuwa pungufu ,badae unajua Nini kilitokea ?....

Ndio maana nikasema wewe ni mweupe kichwani kuhusu league,this is marathon....!

City ni habari nyingine likija swala la marathon ,ingekuaa epl ni kucheza game moja tu hapo sawa ,ila game 38 ? ...chukua kiti kaa chini na kahawa subili uone maajabu sio kwa city tu hata man UTD ,Chelsea ,spurs ...
Msimu gani Liverpool alikaa kileleni Xmas tofauti na ule wa 2014 halafu akakosa ubingwa???...

Dalili ya mvua ni mawingu sheikh hii Liverpool ya msimu huu ndo itakua hatari zaidi kuliko watu wanavodhani maana pale mbele Kuna "wauaji" huku Salah kule Diaz kati kuna mhuni Nunez... Najua ukileta mkeka kule kwenye jukwaa letu pendwa utakua unaipa Liverpool win wwwwwwwwwwwwwwww....

Hahhahhahahahhaha dj mac anasemaga maaaaaaaambo hayo ebwana .

Halafu sipati picha mtakavoteseka na white Lukaku wenu Hallangi

Anyway kupanga ni kuchagua YNWA
 
Msimu gani Liverpool alikaa kileleni Xmas tofauti na ule wa 2014 halafu akakosa ubingwa???...

Dalili ya mvua ni mawingu sheikh hii Liverpool ya msimu huu ndo itakua hatari zaidi kuliko watu wanavodhani maana pale mbele Kuna "wauaji" huku Salah kule Diaz kati kuna mhuni Nunez... Najua ukileta mkeka kule kwenye jukwaa letu pendwa utakua unaipa Liverpool win wwwwwwwwwwwwwwww....

Hahhahhahahahhaha dj mac anasemaga maaaaaaaambo hayo ebwana .

Halafu sipati picha mtakavoteseka na white Lukaku wenu Hallangi

Anyway kupanga ni kuchagua YNWA
Kubishana na wewe Ni matumizi mabaya ya akili hujui hata kuwa ...

2018-2019 chrismasi Liverpool alikuwa top of the table na hakuwa bibgwa ...

2019-2020 Liverpool chrismass alikuwa top of the table na alichukua ubingwa

2020-2021 chrismass Liverpool alikuwa top of the table Tena anamzidi city point 5,hapa mlikuwa mmetoka kumfunga crystal palace goli 7-0 na hakuchukua ubingwa ,unajua Nini kiliwakuta ndio maana nikasema wewe huelewi kitu...

2021-2022 , chrismass city alikuwa top na kachukua ubingwa ...!



Umekalali msimu wa 2013-2014,maana hata 2014-2015 alikuwa morihno na Chelsea yake
 
Nikukumbuka zile tambo za OllaChuga Oc humu atakavyosepa na ubingwa wa EPL msimu uliopita hua nasema ni sahihi kweli kua na maneno ya akiba...

Muda utasema kati ya Nunez na Hallaand nani atawai kufumania nyavu na kuisadia timu yake. Wote wanajua. Anachomzidi Nunez ni kwamba dogo ni Street kid design kama Surez kaanza kupiga peku peku hivyo yupo kikazi zaidi huyu.

Mungu mwema Ligi imerejea maana wekedi zilikua hazinogi haswa.

YNWA
Huyu Nunez Ni Lukaku mweupe ngoja ligi iyanze mutamusahau tu.
 
Kubishana na wewe Ni matumizi mabaya ya akili hujui hata kuwa ...

2018-2019 chrismasi Liverpool alikuwa top of the table na hakuwa bibgwa ...

2019-2020 Liverpool chrismass alikuwa top of the table na alichukua ubingwa

2020-2021 chrismass Liverpool alikuwa top of the table Tena anamzidi city point 5,hapa mlikuwa mmetoka kumfunga crystal palace goli 7-0 na hakuchukua ubingwa ,unajua Nini kiliwakuta ndio maana nikasema wewe huelewi kitu...

2021-2022 , chrismass city alikuwa top na kachukua ubingwa ...!



Umekalali msimu wa 2013-2014,maana hata 2014-2015 alikuwa morihno na Chelsea yake
Plastic fans mna tabu Sana kwahiyo msimu ukiaanza ndo man shite itakua Bora . Na msimu huu tutawadunda nje ndani dadeki... Ha huyo Hallangi mtamtoa kwa mkopo kwenda Nottingham forest akapasue mbao...

Rudi nyumbani kumenoga
YNWA
 
BREAKING: Liverpool wanatazamiwa kumzawadia mshambuliaji Diogo Jota kwa mkataba mpya mnono kama zawadi kwa mwanzo mzuri wa maisha yake ya soka hapo Anfield.
Mazungumzo ya mkataba yanapaswa kuongezwa kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno. Jota amekidhi matarajio ya utendaji kazi tangu kuwasili kwake na anaweza kutarajia ongezeko kubwa la mshahara kwa nyongeza yake. Mshambulizi huyo kwa sasa ni majeruhi na atakosa kuanza kwa msimu wa Ligi Kuu wakati Liverpool watakapoanza na Fulham wikendi hii. Ataongeza kasi ya kurejea mazoezini hivi karibuni baada ya kupona jeraha la misuli ya paja. #lfc
 
Plastic fans mna tabu Sana kwahiyo msimu ukiaanza ndo man shite itakua Bora . Na msimu huu tutawadunda nje ndani dadeki... Ha huyo Hallangi mtamtoa kwa mkopo kwenda Nottingham forest akapasue mbao...

Rudi nyumbani kumenoga
YNWA
Hayo makalio Kama t.ako la bunduki kwendaa huko .....huna unalojua kuhusu football ...sibishani na vilaza Kama wewe
 
Screenshot_20220802_173142_com.android.chrome_edit_17181392280711.jpg


Bado yupo sanaaaaa. Boy getting better and better.

🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

YNWA
 
Pep Lijnders on his scouting process for recruiting Luis Diaz:

"Our scouting department makes very useful videos about the players who could be interesting for our team. We know the ones we really like a long time before it’s in the media." #lfc [lfc]

Lijnders: "The videos contain 15 minutes of analysis about their strengths and weaknesses, but on top of this I always want to watch full games of the ones I really like – the full 95-minute clip, the truth, the phases, the reactions to phases."
 
Pep Lijnders on his scouting process for recruiting Luis Diaz:

"Our scouting department makes very useful videos about the players who could be interesting for our team. We know the ones we really like a long time before it’s in the media." #lfc [lfc]

Lijnders: "The videos contain 15 minutes of analysis about their strengths and weaknesses, but on top of this I always want to watch full games of the ones I really like – the full 95-minute clip, the truth, the phases, the reactions to phases."
Plus maisha nje ya uwanja kwa kujenga umoja klabuni.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom