Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa uwepo wa Haaland City wanaonekana kama wapo pungufu ktk pitch....nafikiri wanahitaji muda zaidi ili kuswitch ktk mfumo huu wa natural9 washazoea kucheza na false 9 masikini.....
Na hapa ndipo watakapopigwa gap

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Cc Pep na Pain killer 😁😁😁😁😁

YNWA
 
Tufanyeje sasa na ndo ishakua ivyo
20220730_212700.jpg
 
Klopp anapaswa sasa aanze kuwaamini vijana, huyu Henderson anapenda sana kusindikiza , alikuwa anamsindikiza Jack Grealish akafunge . Nunez naona akifanya mazoezi ili aingie uwanjani.
Kiukweli Joe Matip ni mzito sana kule nyuma ingekua vzur angempisha Konate.
Unaangaliaga mpira upi chief???yaan katika watu waliopiga mpira wa utulivu leo matip ndo wa Kwanza
 
Liverpool win Community Shield -
Opta stats

*Liverpool have won the Community Shield for a 16th time, second only to Manchester United (21).

*Pep Guardiola has lost 10 matches against Jürgen Klopp, his most against any opposing manager during his career.

*The holders of the FA Cup have lifted the Community Shield in eight of the last nine seasons, with the only exception in this time being 2018-19 (Manchester City vs Chelsea).

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom