Don njinji
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 688
- 1,555
Sio rahisi japo Mimi shabiki wa Liverpool an mpenzi wa mpira.....tuombe uhaiKichwa changu kinaniambia Liverpool mtawin EPL next season. Usajili wa Nunez & Luis Diaz ni mkubwa mno.
Sio rahisi japo Mimi shabiki wa Liverpool an mpenzi wa mpira.....tuombe uhaiKichwa changu kinaniambia Liverpool mtawin EPL next season. Usajili wa Nunez & Luis Diaz ni mkubwa mno.
Aisee umesahau na huyo Fabinho sasa amekua semi pancha nahisi kwa sababu ya 'kutumika' sana na ukitazama Klopp alivyokomaa kwa Tchouameni utaelewa kwa nini..Kwa mido tuliyonayo ya trip sokoni trip gereji ukimtoa labda fabhino...hatuna chetu wakuu....hivi unamuachaje Mtu kama minamino na origi halafu unabakiza wazee..halafu tunajidanganya kwamba kloop ndio mungu mtu kila siku atapatia.
Liverkuku akicheza mashabiki wake duniani kote wanatapika na kuharisha kama kuku mwenye kideri.
Hivi kwa nini walishindwa kwa mane kumpa mshahara kama huo?😇😇😇😇
Mwenyewe alihitaji changamoto mpya by the way pay rise ilihusika mane alidemand lakini chaguo lake ni kutafuta changamoto mpya huwezi kumzuia.Hivi kwa nini walishindwa kwa mane kumpa mshahara kama huo?![]()
Hapana mkuu sio Klopp ni Mungu mtu, ila bila yeye tusengekua hapa tulipo. Kuwaamin watu kama TAA/Gini/Robbo/Origi/Kelleher na u-23 na kuwakuza vipaji vyao kiasi cha kushinda na mtu kama pep mwenye ana 22 players wanalinga uwezo sio jambo la kutompa heshima anayostahili, usichukulie poa, vvd salah bobby mane were no body before they met JK. Carragher aliwahi kusema msimu jana "Klopp akiondoka FSG hawataamin ni Liverpool hii hii wanayoona bora".Kwa mido tuliyonayo ya trip sokoni trip gereji ukimtoa labda fabhino...hatuna chetu wakuu....hivi unamuachaje Mtu kama minamino na origi halafu unabakiza wazee..halafu tunajidanganya kwamba kloop ndio mungu mtu kila siku atapatia.
Sawa chief ngoja tusubil tuone watatuletea nini hawa fsg..Hapana mkuu sio Klopp ni Mungu mtu, ila bila yeye tusengekua hapa tulipo. Kuwaamin watu kama TAA/Gini/Robbo/Origi/Kelleher na u-23 na kuwakuza vipaji vyao kiasi cha kushinda na mtu kama pep mwenye ana 22 players wanalinga uwezo sio jambo la kutompa heshima anayostahili, usichukulie poa, vvd salah bobby mane were no body before they met JK. Carragher aliwahi kusema msimu jana "Klopp akiondoka FSG hawataamin ni Liverpool hii hii wanayoona bora".
Kumbuka Klopp ni mpendekezaji tu, wenye maamuzi ya kutekeleza ni FSG. Hivi haujahisi kama Klopp aliwaambia it's ok Mane ameondoka na Salah aondoke msimu huu? No no no hatutakua washindani isipokua wapinzani.
Kwenye mid nipo na wewe tupate DM & CM atleast.
1. Klopp kukomaa eti mpaka June 2023 ndio ampate Jude Bellingham ni kujimaliza wakati wapo wachezaji wazuri tu huko Spain, France, Ureno nk wa bei chee.
2. Msimu ujao utakua really technical ukitazama usajili wa Arsenal na Tottenham unavyokwenda utaona itakua ligi.
Mkuu hapo kwenye 1, nawaza kuna players wengi sana huko Italy, Portugal na Spain quality tu, why tusiende huko kuwapata wa cheap price, kama tatizo ni bei kubwa sokoni?
Sijui lakini i can smell JK anaumiza kichwa kuelekea 2022/2023 anajua weakness yake ilikua upande wa RB ST na MF, atleast RB & ST somehow ata solve hapo MF. doh.! kigugumizi. Ujue asiposajili summer hii atleast 2 MF apart from FC. Next summer atahitaji 2-4 MF. Hendo Thiago and Millie age and injury prone, plus Millie atastaafu tu Ox Keita and Bobby wataondoka. Je fsg wataweza kutoa pesa yote kwa ajili ya replacement? It's now
No. 2, What i can say, its a tough season ahead.
Let's wait FSG.
kwa ninavyowajua ma boss wa Liverpool huo mkataba mpya wa Salah tayari ni usajili mpya kwao, tusitegemee usajili mwingine, msimu ujao ni kuendelea tuu kuwa kwenye kivuli cha City maana Mido zenyewe maji kupwa maji kujaaCaptain Justine hawa matajiri wetu ni waumini wa buy to sell pale inapotokea nafasi imagine tayari tetesi eti Salah kaongezwa mkataba ili asije sepa bure wakitaka kumuuza eti wanaona kama Lewandoski anauzwa £40+ basi na Salah wanaona ana nafasi ya kuja kuuzwa huko mbele... Well ni tetesi zinasema hivyo na ukitazama FSG wanavyo operate usije shangaa ukawa ndio ukweli...
Sasa hilo la MF ni kwamba Klopp alikua na mpango kununua Tchouameni ila sasa dogo kawachagua Real Madrid hivyo Klopp na jopo lake wakaamua wawekeza kwingine mpaka pale watapata mbadala mwenye ku fit wanachokitaka kuanzia umri na bei ya kununua... Inachokitaka Klopp kwa sasa ni ni kujenga kikosi cha miaka 7 mbele mpaka 10..tazama tu usajili wa Diaz na Jota 25yrs..TAA, Konate, Darwin, Jones over 21 yrs... Fabio, Elliott almost 20yrs.. Next step sasa ni kuboresha MF na tetesi zinasema huu mpango unakwenda kwa hesabu kali sana kwamba kila dirisha wapate mchezaji wa under 25yrs...
Hao wa huku Spain au Ufaransa ndugu ni suala la Klopp atoe kibali lakini naamini idara ya scouting inawapa taarifa sahihi kulingana na mahitaji ya kikosi..
Nadhani kutokana na sasa sub kua 5 Klopp anaona hawa wazee atawalinda vyema kutumia vijana Elliott, Fabio na Jones hivyo pengine kutonunua ila mradi kununua.. MF msimu ujao wapo Ox, Keita kama hawajapata soko, weka Milner, Fabio, Elliott, Henderson, Fabinho, Thiago hivyo imejaa haswa kasoro sio quality mbali ni quantity....
Keita mkuu tegemea kuona akipewa mkataba mpya.
Hii ndio Liverpool inakushangaza muda wote usiyoyatarajia aisee.
YNWA
Chelsea wamesha mchukua huyo, ila ukweli huyo ni mbadala wa manéKlop na watu wake waende City pale wakabebe Raheem Sterling, huyu ni mbadala wa Mane na anafit kabisa kwenye mfumo wa Liverpool, umri wake miaka 27 yupo kwenye peak ya kiwangochake, haitaji kupewa muda wala kuzoea mazingira
Mnaongea ujinga usio na maanaLiverkuku akicheza mashabiki wake duniani kote wanatapika na kuharisha kama kuku mwenye kideri.
FSG bhana akili nyingi sanakwa ninavyowajua ma boss wa Liverpool huo mkataba mpya wa Salah tayari ni usajili mpya kwao, tusitegemee usajili mwingine, msimu ujao ni kuendelea tuu kuwa kwenye kivuli cha City maana Mido zenyewe maji kupwa maji kujaa
Yeah tusubiri. Ila FSG hesabu ni kali sana hapo kwenye transfer.Sawa chief ngoja tusubil tuone watatuletea nini hawa fsg..