Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Halaand Jana tu team ya taifa katupia 2 goal + assist ...

Ni goal machine ...

Bernado yupo Sana city ,hata Jesus sion akiondoka city maana hata arsenal hawaeleweki .. !
Huyu dogo Jesus wapeni OllaChuga Oc naona Lukaku safari ya Inter haipo mbali...

Ingekua ni amri yangu na Kipara asiweke neno hao ma dogo wote wawili ningependa kuwaona Liverpool 🔥🔥💃💃najua ni ndoto lakini ni machini haswa wote wawili...

YNWA
 
Klopp rebuilding taking shape gradually.....

Future looks bright maana Darwin ni up grade ya Jota wapo like for like japo dogo anajituma zaidi...

Future itakua hiviiiiii 4 3 3
Allison
TAA Konate VVD Robbo
Elliot Fabinho Carvalho
Salah Darwin Diaz

Au

Allison 4 4 2
Trent Konate VVD Robbo
Henderson Fabinho Thiago Fabio
Diaz Salah

Au
Allison 4 2 2 2

Trent Konate VVD Robertson
Fabinho Thiago
Elliot Carvalho
Jota Darwin

Au 4 2 1 3
Allison
Trent Matip VVD Robbo
Fabinho Thiago
Fabio
Salah Darwin Diaz

Yaaaaaani tumooooo

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Klopp rebuilding taking shape gradually.....

Future looks bright maana Darwin ni up grade ya Jota wapo like for like japo dogo anajituma zaidi...

Future itakua hiviiiiii 4 3 3
Allison
TAA Konate VVD Robbo
Elliot Fabinho Carvalho
Salah Darwin Diaz

Au

Allison 4 4 2
Trent Konate VVD Robbo
Henderson Fabinho Thiago Fabio
Diaz Salah

Au
Allison 4 2 2 2

Trent Konate VVD Robertson
Fabinho Thiago
Elliot Carvalho
Jota Darwin

Au 4 2 1 3
Allison
Trent Matip VVD Robbo
Fabinho Thiago
Fabio
Salah Darwin Diaz

Yaaaaaani tumooooo

YNWA

Mkuu Hapo hatuongezi mido nyingine?
 
Duu Julian Ward sasa ni noma sanaaaaaaa

Liverpool chief Julian Ward had to agree to pay an extra clause to reach terms with Benfica for Darwin Nunez it has been revealed.

Nunez is due to fly into England to conduct a medical on Monday with a deal rising to £85m agreed.

Relevo says they had to unlock a clause to meet the Portuguese giants' demands after 'fearing' for the transfer as recently as Friday.

Liverpool hesitated to raise their offer from an initial £64m as Benfica asked for £68m, on top of £17m in add-ons.

But the Reds have now added a £4m bonus to be paid after the Uruguay international plays just 10 games, meeting his £85m asking price. In total the deal will comprise of £64.1m upfront with a further £21.4m in bonus payments.

Nunez has also agreed a six-year deal with Liverpool worth a base of £120,000-a-week.

Jamani kumbe huyu Julian na Edwards ni pacha.


YNWA
 
Mkuu Hapo hatuongezi mido nyingine?
Tetesi tunaongeza wachezaji watatu msimu huu hali ikiruhusu ambao ni Darwin tayari ,
MF mmoja Bissouma, Barela nk
Right winger mmoja Raphinah au Bowen..
na Ramsey RB mmoja.

Ili sasa hao watue Liverpool hawa wanaodoka
*Origi Ac Milan
*Taikumi Leeds au Monaco
*Ox Aston Villa, Westham, Manchester United 😄😄😄😄
*Mane Bayern Munich...

Endpo hao watapata soko basi uhakika wa kusajili tena MF mmoja utakuwepo ni suala la muda naamini Ward akimaliza hii dili sasa anaingia kazini kuuza na tayari wakala wa Minamino yupo Uingereza kuingia kazini mauzo wa mteja wake.

Kwa wachezaji wa mkopo naona Neco Williams na Phillips ndio angalau wanaweza kuuzwa kwa bei powa kiasi...

Ingekua powa hao PSG kama kweli na huyu babu Keita wamchukue aisee huo mpunga naamini ungetumika vipoa sana...

YNWA
 
Tetesi tunaongeza wachezaji watatu msimu huu hali ikiruhusu ambao ni Darwin tayari ,
MF mmoja Bissouma, Barela nk
Right winger mmoja Raphinah au Bowen..
na Ramsey RB mmoja.

Ili sasa hao watue Liverpool hawa wanaodoka
*Origi Ac Milan
*Taikumi Leeds au Monaco
*Ox Aston Villa, Westham, Manchester United
*Mane Bayern Munich...

Endpo hao watapata soko basi uhakika wa kusajili tena MF mmoja utakuwepo ni suala la muda naamini Ward akimaliza hii dili sasa anaingia kazini kuuza na tayari wakala wa Minamino yupo Uingereza kuingia kazini mauzo wa mteja wake.

Kwa wachezaji wa mkopo naona Neco Williams na Phillips ndio angalau wanaweza kuuzwa kwa bei powa kiasi...

Ingekua powa hao PSG kama kweli na huyu babu Keita wamchukue aisee huo mpunga naamini ungetumika vipoa sana...

YNWA

Mkuu huyo keita aisee na mimi nakubali hauzwe haraka sana,Aisee sio mchezaji wa kumtegemea kabisa anaiaibisha 8 yetu.

Ile Fainali na Madrid imetupa somo tunatakiwa kuwa na wachezaji wa kueleweka.

Kuondoka kwa mane,kama mane anataka kuondoka ni vizuri akaondoka ,ila tusiwe na wasiwasi tutakuwa tu vizuri tayari Klopp anauzoefu na ligi ndio kocha aliekaa muda mrefu Epl ukilinganisha na makocha waliopo sasa.

Kuondoka kwa coutinho ilikuwa pengo pia lakini halikuonekana Klopp yuko vizuri.
 
Tetesi tunaongeza wachezaji watatu msimu huu hali ikiruhusu ambao ni Darwin tayari ,
MF mmoja Bissouma, Barela nk
Right winger mmoja Raphinah au Bowen..
na Ramsey RB mmoja.

Ili sasa hao watue Liverpool hawa wanaodoka
*Origi Ac Milan
*Taikumi Leeds au Monaco
*Ox Aston Villa, Westham, Manchester United
*Mane Bayern Munich...

Endpo hao watapata soko basi uhakika wa kusajili tena MF mmoja utakuwepo ni suala la muda naamini Ward akimaliza hii dili sasa anaingia kazini kuuza na tayari wakala wa Minamino yupo Uingereza kuingia kazini mauzo wa mteja wake.

Kwa wachezaji wa mkopo naona Neco Williams na Phillips ndio angalau wanaweza kuuzwa kwa bei powa kiasi...

Ingekua powa hao PSG kama kweli na huyu babu Keita wamchukue aisee huo mpunga naamini ungetumika vipoa sana...

YNWA
Bissouma kasha tia wino kwa Conte
 
Mkuu huyo keita aisee na mimi nakubali hauzwe haraka sana,Aisee sio mchezaji wa kumtegemea kabisa anaiaibisha 8 yetu.

Ile Fainali na Madrid imetupa somo tunatakiwa kuwa na wachezaji wa kueleweka.

Kuondoka kwa mane,kama mane anataka kuondoka ni vizuri akaondoka ,ila tusiwe na wasiwasi tutakuwa tu vizuri tayari Klopp anauzoefu na ligi ndio kocha aliekaa muda mrefu Epl ukilinganisha na makocha waliopo sasa.

Kuondoka kwa coutinho ilikuwa pengo pia lakini halikuonekana Klopp yuko vizuri.
Nazani cavalnho atasimama vizuli nafasi ya Keita
 
Mkuu huyo keita aisee na mimi nakubali hauzwe haraka sana,Aisee sio mchezaji wa kumtegemea kabisa anaiaibisha 8 yetu.

Ile Fainali na Madrid imetupa somo tunatakiwa kuwa na wachezaji wa kueleweka.

Kuondoka kwa mane,kama mane anataka kuondoka ni vizuri akaondoka ,ila tusiwe na wasiwasi tutakuwa tu vizuri tayari Klopp anauzoefu na ligi ndio kocha aliekaa muda mrefu Epl ukilinganisha na makocha waliopo sasa.

Kuondoka kwa coutinho ilikuwa pengo pia lakini halikuonekana Klopp yuko vizuri.
Keita akipewa mkataba mpya itakua janga dogo tangu atue Liverpool sidhani hata amecheza mechi 200 huyu tena katika hizo 200 akicheza dakika 70 hakuna duu yaaani huyu ni super failure kwa haya majeruhi yake sasa iwe mwisho asepe tu inatosha..... Zile sifa kwamba ndio ball carrying Mf kikosini kwa kweli naona hatuna faida nazo...

Tazama sasa Bissouma huyooo Tottenham kwa £25m hapa Conte kapata jembe... Huku sisi tunabaki na Kieta, Henderson, Ox, Milner ambao wote ma bums perse

Imagine Kipara anamwachia tetesi Gundogan bonge la MF na magoli muhimu sana hata huu ubingwa wa EPL aliingia sub na kubadilisha mchezo vs Aston Villa lakini sasa huyu Keita mechi ya Real Madrid si kuona jipya zaidi ya kutaka kufunga outer goal mpira ukasepa kutua Ikulu Ufaransa😝😝😝....

Kwa vile Liverpool hua wanaangaza macho kwa wachezaji tofauti naamimi kama kuna mpango wa kusjili MF basi tuwe n subira tuone wametwadalia nini...

Ilikua iwe powa sana Gomez asepe zake Aston Villa na nafasi yake atue Bremer lakini mpaka sasa tetesi ni Bremer huyoo Tottenham ama Inter Milan...

Hii jezi namba 8 Keita hata kam atabaki aiachilie maana sio size yake n pengine hata uzito wa jezi utampa ahueni ya marajio kutoka kwake...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom