Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unateseka ukiwa wapi nilishasema PEP kushinda EPL tu sio mafanikio kwa uwekezaji uliowekezwa pale man shity
"pep kushinda epl tu sio mafanikio kwa uwekezaji uliowekezwa pale man city " kama hio tuzo ni ya PL na pep kachukua PL unataka mafanikio gani Tena ...

Kama ni uefa Wana tuzo zao na pep hawezi pata ,klopp alitakiwa asubili hio uefa tu
 
Huyu kafanya Nini cha maana kwenye PL,achana na Mambo sijui fa,carabao CL ....hiii ni PL ,ifike mahali epl nao watumie akili ....

Pep kampiga chini klopp kwa kuwin PL na ndio alitakiwa kuwa manager of the season .....


Hii tuzo ni ya huruma tu ,

Vipi kumeanzishwa Utaratibu mpya kuwa ili kushinda Tunzo ya Ubora ni lazima ushinde Kombe?

Kuanzia mwaka 2019 mpaka 2021 mashindi wa Ballon D'or hajashinda CL wala Kombe lolote la Ulaya.

Hivyo waliompigia Kura Foden kuwa Mchezaji bora kijana ndiyo haohao waliompigia kura Klopp.
 
Nawee babuuu ni shabiki wa livakuku? Real?
Sasa unadhani mimi sina akili? Mtu yeyote mwenye akili lazima ashabikie Bwawa la Maini. Si unajua Jogoo moja linaweza kugegeda mitetea kumi kwa siku? Na mgegedo mmoja tu mtetea unaweza kutaga mayai 10.

Sasa niache kuwa jogoo ili nigegedwe? Liverpool ni Jogoo wengine wote mitetea

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
"pep kushinda epl tu sio mafanikio kwa uwekezaji uliowekezwa pale man city " kama hio tuzo ni ya PL na pep kachukua PL unataka mafanikio gani Tena ...

Kama ni uefa Wana tuzo zao na pep hawezi pata ,klopp alitakiwa asubili hio uefa tu
Kwa taarifa yako kuwa manager of the year hawaangalii tu EPL wanaangalia na mafanikio kwenye performance nyingine kama Kushinda domestic cups, Kupandisha timu daraja wapigaji kura ni makocha wenzako
 
"pep kushinda epl tu sio mafanikio kwa uwekezaji uliowekezwa pale man city " kama hio tuzo ni ya PL na pep kachukua PL unataka mafanikio gani Tena ...

Kama ni uefa Wana tuzo zao na pep hawezi pata ,klopp alitakiwa asubili hio uefa tu
Kuna mwaka nahisi kama sio 98 taifa stars ilikuwa timu bora ya mashindano ya challenge wakati iliishia nusu fainali
 
Kuna mwaka nahisi kama sio 98 taifa stars ilikuwa timu bora ya mashindano ya challenge wakati iliishia nusu fainali
Mkuu hivi yanga akichukua ubingwa harafu kocha Bora wa msimu hapa NBC premium league anaweza kupewa Pablo kweli ??

Kisa simba imefika robo finali kombe la shirikisho ?
 
Sasa unadhani mimi sina akili? Mtu yeyote mwenye akili lazima ashabikie Bwawa la Maini. Si unajua Jogoo moja linaweza kugegeda mitetea kumi kwa siku? Na mgegedo mmoja tu mtetea unaweza kutaga mayai 10.

Sasa niache kuwa jogoo ili nigegedwe? Liverpool ni Jogoo wengine wote mitetea

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mwambie pia nayeye anaweza gegedwa maana sinimtetea? Maana anakatiza katiza kwenye nyuzi za majogoo na kanga moko
 
Sasa unadhani mimi sina akili? Mtu yeyote mwenye akili lazima ashabikie Bwawa la Maini. Si unajua Jogoo moja linaweza kugegeda mitetea kumi kwa siku? Na mgegedo mmoja tu mtetea unaweza kutaga mayai 10.

Sasa niache kuwa jogoo ili nigegedwe? Liverpool ni Jogoo wengine wote mitetea

Au nasema uongo ndugu zangu?
umepoteaa babuuuh, poleeeeeh
 
Adjustments.jpg
 
Sasa unadhani mimi sina akili? Mtu yeyote mwenye akili lazima ashabikie Bwawa la Maini. Si unajua Jogoo moja linaweza kugegeda mitetea kumi kwa siku? Na mgegedo mmoja tu mtetea unaweza kutaga mayai 10.

Sasa niache kuwa jogoo ili nigegedwe? Liverpool ni Jogoo wengine wote mitetea

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwani kesho Ni mbali mkuu??? Ndo tutajua Nani atagegedwa
 
kmmke wallaah klop hajawahi hata kuwa kocha bora wa msimu alafu kawa kocha bora wa msimu
Epl hawampendi Pep
 
kmmke wallaah klop hajawahi hata kuwa kocha bora wa msimu alafu kawa kocha bora wa msimu
Epl hawampendi Pep

Klopp kafungwa mechi mbili tu na tofauti ya point moja tu na bingwa.

Kwanini asiwe kocha bora?

Klopp kafungwa mechi chache mechi 2 Msimu mzima,kwanini asichaguliwe kuwa kocha bora wa msimu.

Mourihno alichukua ubingwa na chelsea mara ya mwisho lakini hakuwahi kuwa kocha wa mwezi hata mara moja lakini ndio kachukua kombe.
 
Klopp kafungwa mechi mbili tu na tofauti ya point moja tu na bingwa.

Kwanini asiwe kocha bora?

Klopp kafungwa mechi chache mechi 2 Msimu mzima,kwanini asichaguliwe kuwa kocha bora wa msimu.

Mourihno alichukua ubingwa na chelsea mara ya mwisho lakini hakuwahi kuwa kocha wa mwezi hata mara moja lakini ndio kachukua kombe.
Ligi ni kuchukua makombe mzee unakuaje bora wakati kuna mtu juu yako kabeba hilo kombe mlilokuwa mnashiriki tena kakuzid point na magoal ikiwa mmecheza idadi ya mechi sawa?
 
yaaan anaemaliza wa kwanza anakuwa sio bora kwa aliemaliza wa pili tena ikiwa kamzidi Point na magol
 
Mfano Madrid akibeba uefa klop anaweza kugewa kocha bora kwa sababu kafungwa mechi chache had kufika fainal tofaut na Ancelot?
 
yaaan anaemaliza wa kwanza anakuwa sio bora kwa aliemaliza wa pili tena ikiwa kamzidi Point na magol
Tuzo ni ya Kocha bora England nzima sio kocha bora wa EPL. Sasa kwa msimu kati ya PEP na Klopp nani bora hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom