King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
- Nitakua wa Mwisho kuamini kama Aston Villa anaweza kumfunga au kutoa sare na Man City.
- Pia ni kitu kisichowezekana kwangu kupiga Ramli kwenye mpira kwamba Villa Amfunge City ili Tuwe Mabingwa.
- Baada tu ya mechi yetu na Man City ya Round ya pili niliamini kwa asilimia 100.00% kuwa Man City ndiyo Bingwa na wala sihitaji mjadala kwenye hili.
- Ninachokiona ni kuwa wale wanaopiga Ramli Villa Amfunge City ni kwamba wamebeba False Hope ili waje Wamtukane Gerrard na Coutinho tu kwa kushindwa kufanya kazi iliyotushinda sisi wenyewe.

