nyangelekene
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 498
- 382
Iyo wage structure itakuaje? Au inafanya kazi kwa salah tuππππ
Iyo wage structure itakuaje? Au inafanya kazi kwa salah tuππππ
Muujiza unahitaji moyo aisee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Noma sanaaaa msimu ujao mapema sana hii kazi tunamaliza.
YNWA
Anaondoka jamaniView attachment 2232957
Legend wetu Origi huyooo Ac Milan.
Namtakia mafanikio na Liverpool ni nyumbani akihitaji kurejea huyu anapokelewa na mikono miwili kabisa.
Everton na Southampton hapa watapumua maana dogo alikua anawajulia sana.
YNWA

Yeah bora asepe maana kwetu ni ngumu kwake kupata dakika za kutosha.
π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π πMuujiza unahitaji moyo aisee
Imagine muda huu tumekaa tunasubiri miujiza ya Gerrard.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
ππππππππππππππππππππππππππππMbappe ni exceptional talent hawa wanapatikana once in life time ndio maana unaona vita ya kumpata ni kali sanaaaa.Iyo wage structure itakuaje? Au inafanya kazi kwa salah tuππππ
Yaani tunasubiri miujiza ambayo haipoπ π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π
π π π π π π π π π
Gerrard, Coutinho na Ings ndio tegemeo pekee la Liverpool nwa Aston Villa wana nafasi ndogo sana kuwapiga Citeh ama hata sare hakika siioni pale japo kwenye mpira lolote linawezekana ndani ya dakika 90+, uzuri ni kesho hivyo mpaka mida hii tutakua tushajua
YNWA
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππKipara kesho ndio kesho atakua π₯ π₯ sanaaaaa yaaani.Yaani tunasubiri miujiza ambayo haipo
Yaani kabisa Liver tumekaa tunasubiri ASV amfunge man city ndio tushindeπ€£ππππππππππππππππππππππππππππππππππππKipara kesho ndio kesho atakua π₯ π₯ sanaaaaa yaaani.
YNWA
Mane ninavyompenda sitamani aondoke kabisa.View attachment 2233503
π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π
Perez sasa amfuate Ronaldo hana namna au aje mazima kwa Mane au Salah tupate huo mpunga maana kawakosa Haaland na Mbappe π€π€...
Real Madrid kwa sasa tujiadae maana Perez kashavurugwa kabisaaa kwa hasira sasa wanawastaki mpaka PSG Uefa kwamba kumpa huyu dogo huu mkataba watakua wameikiuka capping ya mishahara.
YNWA
Mbona hajasema "everyone expect Liverpool to beat wolves but it's last day "




