Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220517_080429_com.android.chrome_edit_27348604899993.jpg




Barcelona kwa staa wake wengi wanaotoka nje ya Spain hua wanaodoka ki ajabu ajabu sana..

YNWA
 
View attachment 2227624


Leo ndio leo.

No Fabinho
No Salah
No VVD
Hakuna noma ushindi lazima.

YNWA
Badala ya Salah tuna Origi..Hata akicheza Mane,Diaz na Jota mwanzo mwisho ni sawa.
Kwa VVD tuna Matip,atakaa na Konate namdogo wetu TAA.


Bald head hayupo,tuna Le kapteni Henderson ,tuna Thiago,Robbo na Keita ataperform.

Mechi imeshaisha hii

YNWA



Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Badala ya Salah tuna Origi..Hata akicheza Mane,Diaz na Jota mwanzo mwisho ni sawa.
Kwa VVD tuna Matip,atakaa na Konate namdogo wetu TAA.


Bald head hayupo,tuna Le kapteni Henderson ,tuna Thiago,Robbo na Keita ataperform.

Mechi imeshaisha hii

YNWA



Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mambo ni mazuri sana. Sina wasiwasi na vijana watakaopata namba kucheza leo maana wanaelewa kwa sasa kila gemu ni fainali kwetu.

YNWA
 
View attachment 2227600

Huyu dogo anafaa kumridhi Bobby pale mbele ishu kuu hapa ni RB watakomaa bei iwe £40m+..

YNWA

Huyo ni New version ya hawa 👇
  • Mkhitaryan
  • Dembele
  • Pulisic
  • Werner
  • Kai
  • Sancho

Siamini mchezaji yoyote wa Bundesliga kuja EPL tutapigwa tu.
Soon kuna Timu itapigwa za kutosha kwa Jude Bellingham
 
Pep sio Kocha wa kushindana naye kwa kupiga Ramli

Kwa sasa naona tumeshatoka kwenye kusumbuliwa na vitimu vidogo hivyo, yaani wakina burnley southampton walikuwa wanatusumbua sana sasa hivi tumesha toka huko.

Hao tunapiga tunavyotaka zamani ilikuwa hata wachezaji wetu pia walikuwa wakuungaunga tu wakina dejan lovren.
 
Huyo ni New version ya hawa 👇
  • Mkhitaryan
  • Dembele
  • Pulisic
  • Werner
  • Kai
  • Sancho

Siamini mchezaji yoyote wa Dortmund kuja EPL tutapigwa tu.
Soon kuna Timu itapigwa za kutosha kwa Jude Bellingham
Mkuu huyu dogo ukipata muda msimu ujao tazama mechi kadhaa utaona ana talanta fulani hivi amazing.

RB Leipzig wamekomaa June hii hawamuuzi lada itokee ofa matata sana.

Sancho naona mahela yamemchanganya aisee maana zile gongagonga za Uduna Park hazipo tenaaa.

YNWA
 
Mkuu huyu dogo ukipata muda msimu ujao tazama mechi kadhaa utaona ana talanta fulani hivi amazing.

RB Leipzig wamekomaa June hii hawamuuzi lada itokee ofa matata sana.

Sancho naona mahela yamemchanganya aisee maana zile gongagonga za Uduna Park hazipo tenaaa.

YNWA

Bundesliga na League 1 wachezaji wake ni wa kubahatisha tu.
Unaweza kuta wanag'ara kwenye Ligi zao za Farmer's Leagues lakini ukiwaletea EPL wanageuka Vituko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom