SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Hata ukienda Conference league huna uwezo wa kushinda.Umesikia lakini bodi nzima ya UEFA inalalamika kua mashindano hayawezi kua na mvuto endapo United hata shiriki?
Timu kubwa kibao zimelalamika hawatashiriki Uefa endapo hawataiona Manchester United kwenye hayo mashindano.
Ili kunusuru mashindano viongozi wa Uefa wamepanga kuja kupiga magoti kuiomba Man United ishiriki kwenye mashindano yao hata kama haijaingia kwenye top 4.
Hii ina maana Uefa inaihitajia zaidi Manchester kuliko United inavyohitaji Uefa.
Point zifanane ya nini?wakati liverpool ndio mabingwa wa Epl.Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.
Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.
Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.
YNWA
Save hii picha,may 22 tunasherehekea hapaThe only man who can save LiverpoolFC.
View attachment 2226054
scenario za hii kutokea ni liver ashinde mechi moja na kudroo moja, kisha city afungwe mechi yake ya mwisho!Hii imekaa aje, mambo ya Play off ndani ya EPL.
Mara pap Liverpool na Manchester City tunamaliza kwa magoli sawa na pointi sawa itakua kwa mara ya kwanza hili kutokea maana head to head Liverpool vs Manchester City ipo sawa Anfield tulitoka 2 kwa 2 na Ethad nako ilikua ni 2 kwa 2 hivyo ikitokea ligi inaisha tupo pointi sawa na magoli pia tupo sawa basi tunakwenda kucheza play off pale Wembley kuamua nani bingwa. Hii ikitokea itakua ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa EPL.
Hii msimu umekua na matokeo tusiyotegemea.
YNWA
Ila Mane siyo wa kumpa penalt aisee,Ma specialist wa fainali na penati hahahah.
YNWA
Mane na Mendy ni watoto wa familia moja hivyo wanajuana vyema sana.Ila Mane siyo wa kumpa penalt aisee,
Atakuja kutuua Kwa presha.
Atufungie tu magoli wakati wa mechi,ila siyo ya penalt.
π π π π π π Bhana awe anamaliz gemu mapema hatutaki matuta sie.Ila Mane siyo wa kumpa penalt aisee,
Atakuja kutuua Kwa presha.
Atufungie tu magoli wakati wa mechi,ila siyo ya penalt.
On Paper ni ngumu sana hii kutokea lakini kwenye mpira lolote linaweza tokea hakuna kinachoshidikana...scenario za hii kutokea ni liver ashinde mechi moja na kudroo moja, kisha city afungwe mechi yake ya mwisho!
so far gd ni 7,.........sijui lakini
Hana hamu na Wembley maaana Liverpool sasa pale Wembley pamekua kama Anfield namba 2 yaaani hatupoi.Hahaha, tukamchinjie Wembley kama wenzao Chelsi
Sijui walimpa vipi PenaltMane na Mendy ni watoto wa familia moja hivyo wanajuana vyema sana.
Klopp ana akili sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bhana awe anamaliz gemu mapema hatutaki matuta sie.
YNWA
Klop amesema yuko responsible 50% for that penalty miss ya Sadio.Ila Mane siyo wa kumpa penalt aisee,
Atakuja kutuua Kwa presha.
Atufungie tu magoli wakati wa mechi,ila siyo ya penalt.
Milner tangu asababishe sare ugenini Chelsea hua sina imani nae kabisa yaani muda mwingi anawazag kupiga viatu ππππππππππKlopp ana akili sana
Muda anamuingiza Milner wengi humu mlilalamika lakini alikuwa ashasoma mchezo kuwa utaenda kwenye matuta.
Mane kwenye Penalt hafai aisee.
Kesho tutegemee kikosi chochote injuries zimeshaanza kutuandamaMilner tangu asababishe sare ugenini Chelsea hua sina imani nae kabisa yaani muda mwingi anawazag kupiga viatu [emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kesho tetesi Salah na VVD hawapo kikosini usishangae kumuona Milner ndaniiiiii
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Milner tangu asababishe sare ugenini Chelsea hua sina imani nae kabisa yaani muda mwingi anawazag kupiga viatu [emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kesho tetesi Salah na VVD hawapo kikosini usishangae kumuona Milner ndaniiiiii
YNWA
Kwa sasa hatuna benchi dhaifu tuna uwezo wa kuhimili haya majeruhi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini jamaa ni mzuri sana kwenye penalt.
Salah hata asipokuwepo ni sawa tu,yupo Mane,Jota,Diaz ,Bobby,Origi yaani pale mbele Sina wasiwasi.
Ila VVD[emoji3064],,Anyway..yupo Matip[emoji3059]
Mpaka ligi inaisha naona vijana watakua wamecheza mechi 63 ni noma sanaaa.Kesho tutegemee kikosi chochote injuries zimeshaanza kutuandama
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app