Unawazaje fainali ya UCL ikiwa hii haujaimaliza??Tukijapata majeruhi ya Thiago +Fabinho final na Real madrid hatutoboi![]()
AiseeeehHata mbele uchaw upo ngoja nikalale nitaamka mida ya matuta
YNWA
Nimekata tamaa mkuu nasubiri litakalo tokea na litokee maana naona mapicha picha tuUnawazaje fainali ya UCL ikiwa hii haujaimaliza??
Kilichobak Sasa TAA Beckham atafute faulo nje kidogo ya box awaweke ..
Jota kashalewa na bangi





Umeona mkuu wanavyocheza ni kama wamelazimishwa kuingia uwanjaniKlopp halitaki hili kombe![]()
Shinda yangu kwa huyu babu ni kwamba moyo unataka mwili unagoma.Nimeshangaa sana kwakweli.
Bwana ngoja tuone muda wa ziada nini kitatokea mkuu.Klopp halitaki hili kombe![]()
Kwani nimekuambia lugha ndio shida?Mkuu join Kuna Swahili language maelezo yote utapewa
Vp Salah bado hajatolewa tuu🤔 maana yupo kama hayupoWeee nani afunge labda penati 😛😛😛😛
YNWA
Mkuu join uthibitishe ukiona bluu in install ,for more info pmKwani nimekuambia lugha ndio shida