Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Umeongea kimpira Sana mkuu ..Mimi kwa Sasa mukashinda nitawapongeza na mukipigwa Basi nitawapongeza pia ...
Kabisa ndugu inafika mahala unaangalia msimu ulipo unaangalia pia washindani wetu wa jadi kama Manchester United walipo na hakika hata hio nafasi ya pili unasema ni BIG UP JOB WELL DONE.

Nina amani kama zote sababu huu msimu nadhani hata Klopp ameji sapraiz maana hata bookies hawakua na muda na sisi ilikua ni Bayern, Chelsea, PSG, Manchester City kushinda UCL lakini wote hao nje... Ukija EPL ilikua ni Manchester City na Chelsea wanapewa nafasi zaidi lakini hata huyo Manchester City anachezesha wagonjwa akina Dias ili mradi apate ushindi maana kijasho kinamtoka.

YNWA
 


πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Jamani.

YNWA
 

🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭 🀭
Aiseeee hivi driva wa Liverpool anaitwa nani vileee.

YNWA
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Paris kumekucha

YNWA
 


Jamani ina maana huyu Bowen tusepe mbali sanaaaaaa.

Kwa sheria za home grown hatuna namna hawa makinda wa bei powa lazima wawepo klabuni.

YNWA
 
Duuuh naangalia mechi ya Real Madrid vs El Cholo na magoli zaidi ya 3 Antonio Griezman anakosa.

Klopp hii gemu aitazame kuna jambo ataona.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…