Bangi inachelewa kuhalalishwa sababu ya mambo zako za ajabuSiki zote nyani halioni kundule ,unakuja kuongelea city ambaye kampiga Leeds goli 4 et ana struggle,wakati wewe Newcastle kakushika umetoka na goli moja 1 ,wewe wa goli moja hujastruggle ila aliyefunga goli 4 amestruggle [emoji1787][emoji1787],hivi kweli unaangaliaga mpira wewe ,unajua hakuna game nyepesi ???? Au unaagalia LiveScore matokeo [emoji1787][emoji1787] ,kama city ile game amestruggle je liverpool na Newcastle utasemaje ???mashabiki wote wa Liverpool wameangalia hii game wanatetemeka na kutamani mpira uishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado timu yako huioni kama inaweza kupoteza kwa Spurs ambaye anataka top four ,unakuja kutafuta matumaini kwa wolves ambayo game 5 hajapata ushindi wowote ,et unataka westham ambaye jana kagongwa na arsenal ambayo haikuwa kwenye form aje amfunge city [emoji1787][emoji1787][emoji1787] subili tumalize uefa ndio utaiona sura halisi ya city epl [emoji28],hakuna mbwa atakatiza nakwambia ...!
Mbaya zaidi unaona wolves ni wazuri Sana wanaweza kumfunga city ila wewe hawawezi kukufunga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au hujui kama ina game na wolves? Kaangalie game na wolves round ya kwanza ulitokaje kabla hujasema city tulishinda ushindi mwembamba wa penalty na wolves round ya kwanza , mashabiki wa liverpool wanaojua mpira wametulia kabisa kuhusu hii show ,sio kwamba wameshindwa kujitokeza kusema watachukua makombe manne ila wanajua mpira ulivo ,na match ilivo [emoji28][emoji28]
Mimi nasema hivi hakuna mbwa yeyote atakayebaki salama akikutana na city mpaka may 22 ni kusambaza kipigo cha mbwa Koko mwendo wa 3+ goal mpaka wabweke bweeeee bweeeee bweeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa naona Klopp kaangalia pia mechi ya Tottenham Jumamosi...Diaz msumbufu hakupaswa kuanzia bench
Makini kabisaKikosi ndio hiki... Mnasemaje wakuuu
View attachment 2210280
Subs: Kelleher, Milner, Gomez, Henderson, Oxlade-Chamberlain, Jones, Minamino, Tsimikas, Diaz, Origi, Matip, Elliott.
YNWA
Tunakata ushindi usumbufu siku nyingineDiaz msumbufu hakupaswa kuanzia bench
Mane,Salah na jota wote ni wazuri.Diaz msumbufu hakupaswa kuanzia bench
Sijawahi ona VVD aanza bench
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hivi liverpool alikuwa anacheza uefa kweli ,najawa na wasi wasi mkubwa kabisa ....
Liverpool vs intermillan
Liverpool Vs benifica
Liverpool Vs Villarreal....
ifike hatua Hawa waache kutuchezwa akili hii ni Europa kabisa [emoji28] hakuna uefa ya namna hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Game ipi hajacheza VVD?🤣🤣🤣Wewe komeo lile haha huwezi kulala mlango wazi ukabaki salama.
Liverpool ni VVD, Fabinho, Allison, Salah hao ndio nguzo kuu ya hii klabu yetu pendwa in terms of influence uwanjani in big games...
Alikula benchi nadhani FA msimu huu kuna gemu hajacheza.
YNWA
Diaz msumbufu hakupaswa kuanzia bench
Atletico ni uefa materials ,ila hao wote villareal ,benefica na inter Milan ni Europa material...!Weka na Atletico na AC Milan hapo ili na wewe uwe umeungana na sisi kwenye Europa pale ulipocheza na Atletico.
Kikosi ndio hiki... Mnasemaje wakuuu
View attachment 2210280
Subs: Kelleher, Milner, Gomez, Henderson, Oxlade-Chamberlain, Jones, Minamino, Tsimikas, Diaz, Origi, Matip, Elliott.
YNWA
Atletico ni uefa materials ,ila hao wote villareal ,benefica na inter Milan ni Europa material...!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunakata ushindi usumbufu siku nyingine
Ngoma bado sana mkuu tulia ucheki na uinjoy soccer...Poleni sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Tunakata ushindi usumbufu siku nyingine