Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Lakini uliona kocha wako alivyo mkumbatia Klopp kwa nguvu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alijua kabisa Klopp sio wa mchezo mchezo maana alijua kabisa ile game kushinda ni kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni fair play, mbna wote wanajuana ni wakali ktk soka, kushow love na respect ni must. Afu pale sisi ni wenyeji ko lazima tuwakarimu wageni wetu. Wajione wako kwao. Hahahah
 
Wapo wanatufukuzia point 11 ambazo hata wangetenguka viuno hawatupati[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] points 10 bhana cc, mbna una moto mnoo.
 
Kwahiyo unashangilia sare[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa mashabik mamluki wa shit NI TATIZO ZAIDI YA BEI YA MAFUTA..
Nashangilia sare mie au nyie wenyewe mna haha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Share tyuu mnaanza kuweweseka je mngenyukwa? Hahahah
 
Kwahiyo unashangilia sare[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa mashabik mamluki wa shit NI TATIZO ZAIDI YA BEI YA MAFUTA..
Kwanza hawaujui mprira hawa wao niwashangiliaji tu, kwanza ukimpigia sim haraka haraka huyu akutajie wachezaji wa Man city hajui ataanza kukuambia Lukaku, Ronaldo na Messi [emoji1787][emoji1787][emoji1787], haya ukimuuliza jana man city alicheza mfumo gani? Hajui huyu. Huyu ni kama OllaChuga Oc Ambaye haifatilii tim yake eti anaangalia Livescore [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mamluki ni wengi sana. Haya mambo ya babu alikuwa anashabikia City au Chelsea ndio yanayo wakuta hawa vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jumapili piga hizi kuku maana zimezidi ngebe zinajiona zenyewe basi ndio timu Bora kumbe ni upepo TU umewatembelea..halafu tukutane Wembley nikukule[emoji23][emoji23][emoji23]
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaliwa wote wee na hawa wenzio. Hatuwaachi mwaka huu.
 
Anilize huyu Manchester City oiled by Mansour billions no way and yet you guys can't win UCL that the big boys league.

Haya Jumamosi Klopp kashasema atajihidi kuja kivingine maana jana haiku siku powa kibaruani kwetu.

YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan guardiola atakuja vile vile? Si atakuja kivingine naye? Nyie kipigo kiko pale pale. Hilo hali epukiki mbna.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waeleze waeleze.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko swaumu ya jana kali eeeeh? Nyie livakuku mistake kuchekesha watu hapa jamvini khaaah.
 
Nashangilia sare mie au nyie wenyewe mna haha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Share tyuu mnaanza kuweweseka je mngenyukwa? Hahahah
Unajipitisha pitisha na kanga moko kwa wanaume? [emoji1787][emoji1787] Tutakukula tunda kimasihara sisi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana tena mnooo, ko sare ya jana ndo imewafanya muwe hivyo? Je mngenyukwa?
 
Unajipitisha pitisha na kanga moko kwa wanaume? [emoji1787][emoji1787] Tutakukula tunda kimasihara sisi.
Sasa unatoka nje ya mada vipi tena, kwan huwezi kuongelea masuala ya mpira bila kuhusisha hivyo?

Hapa tunazungumzia mpira, wee mwenyewe shabiki wa mhemko tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana tulizidiwa hasa kipindi cha kwanza. Anyway bado sijakata matumaini

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Jana Fabinho hakua mchezoni sijajua lile jeraha la Lisbon hajapona kabisa ama niaje maana umakini wake jana sio kiwango chake kwenye gemu kama ile.

Nina amani na sare.

Sasa Jumatano hii tumalize kazi na Benfica.

YNWA
 
Sasa unatoka nje ya mada vipi tena, kwan huwezi kuongelea masuala ya mpira bila kuhusisha hivyo?

Hapa tunazungumzia mpira, wee mwenyewe shabiki wa mhemko tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tyuuu ndio nini?
 
Hatuendi na nyie matuta, tunawachinja dkk 90 ndani zile halisia.
Aisee jana mpo nyumbani na mmechemka.

Kua na maneno ya akiba hakuna timu kwenye nusu fainali inapeleka timu kuchapwa hua ni kujituma kama kote.

Sitegemei mpate wepesi kama jana.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…