JamaniπππππKwa kweli nimo humo huu usajili wa Thiago binafsi niliukataa kabisaaaa ila duh japo pamoja na management anaumia mia nimekuja kujua jamaa hua ni risk taker yaaani anajitoa na kujituma sana kupiga tackling za hatari sana bija kujali mwili wake ni made of Indian Biscuits ππ...
Kwa hili nampa Klopp big up sana.
YNWA
ππππππAje wapi abakie Darajani kupiga sala kama zote maana hali tete timu yenyewe haina mwenyewe mpaka sijui April hukoo.... Hapa hatutaki kelele humu tumetulia tuliii tunakwenda Ureno kwanza tuna jambo letu.Ngoja aje hapa Huyu Ollachuga tuone namna gani atawatetea takataka wake[emoji38][emoji38]
ππππNimetema mate chini kufuta hio nuski huyu tunae mpaka Mei 22 hana cha kuumia.Jamani
Touch wood
Huyu jamaa kila akigusa ardhi huwa najua nervous
Msianze kumtia mikosi
Atulie darajani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aje wapi abakie Darajani kupiga sala kama zote maana hali tete timu yenyewe haina mwenyewe mpaka sijui April hukoo.... Hapa hatutaki kelele humu tumetulia tuliii tunakwenda Ureno kwanza tuna jambo letu.
YNWA
Kwa kweli sio levo yake akapambane hukooo na Arsenal kusaka nafasi ya nne au tatu.Atulie darajani
Safi hii habari njema Sana kopsSALAH IS GETTING A NEW DEAL.
TUMESHINDA.
Kwanza Mna uhakika OllaChuga Oc hajazimia huko aliko?[emoji1787]Kwa kweli sio levo yake akapambane hukooo na Arsenal kusaka nafasi ya nne au tatu.
YNWA
Ngoja tumuulize Chaliifrancisco eti Mkuu taarifa za huyu Chugga man Oc unazo? Ni mzima ama kazimiaππππKwanza Mna uhakika OllaChuga Oc hajazimia huko aliko?[emoji1787]
Jana mara ya mwisho nimeona akitolewa bar akiwa kwenye machela. Sijajua hali yake kwa sasa nilikuwa busy sijaenda kumcheki.Ngoja tumuulize Chaliifrancisco eti Mkuu taarifa za huyu Chugga man Oc unazo? Ni mzima ama kazimiaππππ
YNWA
πππππHahahahaha atakua kalazwa tu huyo hakuna namna.Jana mara ya mwisho nimeona akitolewa bar akiwa kwenye machela. Sijajua hali yake kwa sasa nilikuwa busy sijaenda kumcheki.
Nacheck marudio hapaNgoja tumuulize Chaliifrancisco eti Mkuu taarifa za huyu Chugga man Oc unazo? Ni mzima ama kazimia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
YNWA
Week ijayo kitaumana aisee ...hii game nitaangalia pressure ikiwa kubwa Sana ....draw haitakuwa na madhara Sana kwetu ...
Nacheck marudio hapa
Aisee Allison ni fundi[emoji119]
Ile dakika ya 21:24 tungepigwaView attachment 2174622
Nimeona ameupiga mwingi sana hiyo dakikaAllison sio wa kawaida ujue.
Huyu mwamba ni sweeper keeper maanake ma beki wanajiamini kucheza high line kiasi hata wakipitwa wana uhakika angalau Allison atafanya anachofanya vyema na kuzuia magoli kwa miguu, kichwa, mikono, mbega nk yaaani pale Roma tuliwapiga aisee ebu tazama Kepa alinunuliwa ela zaidi ya Allison kwa karibu Β£10m[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
Wachezaji wako washaanza maneno eti wamekamilika kila idara kuliko Liverpool hahaha sasa mbona wameruhusu gepu iwe ya pointi 1 tu.Week ijayo kitaumana aisee ...hii game nitaangalia pressure ikiwa kubwa Sana ....draw haitakuwa na madhara Sana kwetu ...
Let's go...!
Huyu jamaa kumbe ni mfupi hivi?
Hahahahaha ni jamaa wa kazi kazi yule hanaga maneno mengi zaidi ya kufanya yake na sasa ana jambo lake anataka GOLDEN GLOVE SEASON HII ITUE KWAKE.Nimeona ameupiga mwingi sana hiyo dakika
Hahaha!
Mimi namuogopaga yupo siriaz mno.
Kepa wa akina OllaChuga Oc ..mzee wa kupaisha mipira hadi tandahimba[emoji23][emoji23][emoji23]