Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimeshaona kuwa:

Ghana out of group stage ✖️
Cameroon out of group stage ✖️
Morocco out of group stage ✖️
Senegal has a chance to last 16 ✔️
Tunisia has a chance to last 16 ✔️
 
Nimeshaona kuwa:

Ghana out of group stage
Cameroon out of group stage
Morocco out of group stage
Senegal has a chance to last 16
Tunisia has a chance to last 16
Senegal yes
Ghana anayo nafasi
Cameroon may be
Morocco ndio wana shughuli
Lakini kwenye mpira lolote
 
Senegal yes
Ghana anayo nafasi
Cameroon may be
Morocco ndio wana shughuli
Lakini kwenye mpira lolote
UTABIRI WANGU BAADA YA MECHI ZA MAKUNDI WORLD CUP MAKUNDI YATAONEKANA KAMA IFUATAVYO


Kwenye group la Ghana msimamo wangu:
1 - Portugal
2 - Uruguay
3 - South Korea
4 - Ghana

Kwenye Group la Cameroon msimamo wangu:
1 - Brazil
2 - Serbia
3 - Switzerland
4 - Cameroon

Kwenye Group la Morocco msimamo wangu:
1 - Belgium
2 - Croatia
3 - Canada
4 - Morocco

Kwenye Group la Tunisia msimamo wangu:
1 - France
2 - Tunisia
3 - Denmark
4 - ICP 1

Kwenye Group la Senegal msimamo wangu:
1 - Netherlands
2 - Senegal
3 - Qatar
4 - Ecuador
 
Adjustments.jpg
 
UTABIRI WANGU BAADA YA MECHI ZA MAKUNDI WORLD CUP MAKUNDI YATAONEKANA KAMA IFUATAVYO


Kwenye group la Ghana msimamo wangu:
1 - Portugal
2 - Uruguay
3 - South Korea
4 - Ghana

Kwenye Group la Cameroon msimamo wangu:
1 - Brazil
2 - Serbia
3 - Switzerland
4 - Cameroon

Kwenye Group la Morocco msimamo wangu:
1 - Belgium
2 - Croatia
3 - Canada
4 - Morocco

Kwenye Group la Tunisia msimamo wangu:
1 - France
2 - Tunisia
3 - Denmark
4 - ICP 1

Kwenye Group la Senegal msimamo wangu:
1 - Netherlands
2 - Senegal
3 - Qatar
4 - Ecuador

Mkuu utashabikia timu gani Safari hii?
 
Gary Neville on FSG:

“Liverpool fans don’t see it now because of where they are, but once Klopp leaves and the money they’re spending means they finish 4th or 5th, which is where they should be, Liverpool fans won’t be happy with their owners.”
This is a clear outcome if we dont start to plan now, life after Klopp may prove kuwa challenging kama tusipo-plan now au ku-make bad choices/decisions, we need to be very careful.

We need to hope & pray, Klopp decides to stay beyond 2024.
 
Swala la wages linadadavuliwa na sources nyingi tu, wewe umeng'ang'ana na Forbes it's ok with you ila haimaaniishi ndio most valid credible/ reliable. Weka Forbes report ya 2021 sio hio ya 2018.

Habari ya expenditures na matumizi iliyotop-up hio 314m kamuuluze Martyn Ziegler, maana hizi taarifa zimetoka kwake a very reliable source to many!

Saga ya Gerrard unadanganya watu hapa kuwa ni baada ya UCL 2005 bila aibu mkuu, hakuna kitu Kama hicho!
Ni baada ya msimu ule wa Arsenal invincibles!!! Alisepa Owen

Threats sio kitu cha kuongelea hapa, zipo kila mahali sababu mashabiki ni bimadamu na wanatabia tofauti wapo vichaa na psychopaths n.k. Angeamua kusepa angesepa tu, sio hofu ya threats ama nini maana waliomkubali ni wengi alisepa Rooney wa mji huohuo akaondoka Owen wa mji huohuo
Benitez aliplay part kubwa kumshawishi abaki usilete mambo ya vitisho, viko kila kona!
Dude, you're insulting my intelligence.

Sasa, for a man who is so proud of our HISTORY, its actually so surreal kuona kuwa hujui na hutambua timeframe ya saga ya SG (one of the biggest moment in our club's history), this is absurd, halafu unaniambia NADANGANYA, dude are you serious? au unataka kukaza shingo tu? kama vitu huvielewi/huna utashi navyo, fungu your mind and learn/jifunze, control your mindless ego, because inaweza ukakufanya uwe an embarrassment mbele ya watu ambao hawatakuwa na muda wa ku-torelate your ignorance.

Chelsea, submitted their bid kwenye region ya 30m+ on 5/07/2005, the same day ambayo SG ali-put in a transfer request, less that 2 months baada ya CL final, hiyo ya 2004 ni ipi? au unaishi in your own world?

Then, una-compare depature ya SG na Owen, unajua departure ya Owen, August (Summer) 2004, ndiyo ilipelekea RAGE ya kuhusu kuondoka kwa SG kuwa kubwa? maana tulikuwa tunaenda kupoteza our golden childern back to back, na ndiyo kulikuwa na anger & dispair kwa the whole fanbase around the world, SG was about to betray us, tena baada ya kuwa quoted akisema kuwa, hawezi kuondoka LFC.

Unajua kuwa, msimu ambao tulishinda ile CL, we werent doing good kabisa kwenye league? ulikuwa ni msimu wa kwanza wa Benitez, and we finished 5th, gap ya zaidi ya 30 points dhidi ya league winners Mourinho's chelsea, so basically Benitez was trying to build his team, and after CL, we all had the belief that we were going in the right direction, then unakuja kuambiwa kuwa, the man, the CLUB CAPTAIN ambaye umemshuhudia akiibeba club on his shoulders kwenye whole CL campaign, na kui-lead team kutoka 3-0 down kwenye final mpaka kubeba CL, the GOLDEN CHILD, THE LFC HERO, anataka kuondoka LFC, at first tulichukulia kama rumuors tu, maana Mourinho & Madrid walikuwa wanamuangalia kwa muda mrefu (according to papers), we thought why would he want to leave? i mean we just won the CL, we have Benitez, we have players like Alonso, Garcia etc ambao walikuwa wana-adjust vyema kwenye team, we are creating a new dynasty, so why would he want to leave? he's our hero na ametu-promise kuwa atabaki, BUT, boom, chelsea make a bid, we REJECTED it , baada ya kuipiga CHINI, SG akaput in a transfer request, RAGE ndiyo ikaanzia hapo, TS always huwa inakuwa viewed kama ni act of betrayal, then our Club, ikatoa statement kwenye magazeti kuwa SG ameiambia club kuwa anataka KUONDOKA na club ikubali bid ya CHELSEA, ulitegemea nini kitatokea zaidi ya hapo?

SG, ni born & bred scouser, Liverpool native, Liverpool fan, amelelewa kwenye mishingi ya LFC, amekulia kwenye majengo ya melwood, ni LFC through & through, and on top of that ni WC player, but anataka KUONDOKA LFC, his whole family/clan is based in liverpool, watu wanamjua, watu wanaijua family yake, and you think DEATH THREATS ni mere issue in the UK? place ambayo ina cases kubwa na abuses, homicide & suicide cases? you think why Death threats punishment yake ni 10 years in UK? unafikiri wameweka harsh punishment ilimradi tu? Mental health rate in UK is huge and troubling, na ndiyo maana kuna a lot of abuses, deaths & suicides, na ndiyo maana kuna harsh punishments kuhusu hivi vitu, if you can be fine with SG leaving LFC, siyo kwa scousers ambao wamemuona tangu akikua, na tena anataka kuondoka LFC baada ya kutuongoza katika miracle ya Istanbul, it was unacceptable, and i will say this, timing ndiyo ilikuwa MBAYA, SG kama angesubiri mpaka msimu unaofuatia na kuondoka, RAGE isingekuwa kubwa, na maybe isingekuwa wide kama angeenda abroad, but kutaka kuondoka soon baada ya CL ilikuwa ni bad move, kwanza, watu walikuwa bado hawaja-recover kabisa na our CL win, news za SG zilikuja kama big suprise.

Then, back then, ilikuwa ni kawaida LFC fans ku-throw tantrum kila mchezaji mkubwa akitaka kuondoka (kwenda kwa direct rivals), but advancements za kimpira na maendeleo yake na uwepo wa open forums kubwa za kuongelea mipira etc, kumeongeza utashi mkubwa sana wa fans kuhusu rule za football business, but all in all, scousers wanapenda ku-throw tantrums, huwa wanaona kama wana-own players & they're personality, they were actually calling out Mane and throw a tantrum alivyosema kuwa AFCON ndiyo kombe lake muhimu kabisa kwenye maisha yake, which is relatable because he's an AFRICAN, kila mchezaji wa AFRICA anakuwa aki-dream kushinda AFCON, so he was just proud, but scousers said ameidharau LFC, yes, wamekuwa civilized but bado ni BITTERS sana ikija kwa players, especially kama wasipofanya kitu/vitu wanavyopenda, so you had really to be there to understand the rage, maana few years later SG said he decided to STAY because he did not want to UPSET the scousers, he didnt want his wife & kids to have no HOME in Livepool etc, so if you dont even understand what SG said, then utakuwa unajaribu ku-entertain vitu ambavyo havipo.

FORBES, ni one if not the most renowned Wealth management magazine in the world, sasa utakuwa ni STONE head kama utakuwa unaona FORBES ni kitu cha kawaida, then you have BLOOMBERG for investment reports/researches, you want to know everything about your owners FSG ready Bloomberg, you want to know what is exactly going on kwenye ishu ya Chelsea bids? read Bloomberg, Then again you can ready and do your research on The Economist (matoleo ni mengi), siyo unataka ku-discuss financial details za Club/brand kubwa duniani kwa kuokoteza vitu google, maana hata mimi as a profiler & data anaylist naweza kutengeza my LFC wage bill, kupitia hizi sources na most of all LFC Annual returns repots, its just easy if you take your time, so easy, but you need to respect these sources, they have huge reputation, na hawawezi kupoteza reputation yao kwa kuongea uongo. but you to read na kuwa in the mix kuilewa reputation yao, and i bet hauna brain capacity ya ku-understand wanachoki-offer, as you dont even understand simple financial terms.


unaongelea expenditures kwa kukaza shingo, na HUJUI nini maana ya expenditures/net spend kwenye football, unabeba vitu na kuja kuvimwaga bila hata kujaribu kuvielewa, and you want me to take you serious? you're insulting my hard-fought intelligence.

Expenditures ni vessel inayotumika ku-cover/calculate pesa iliyotumika katika mauzo ya wachezaji (buy & selling)..

Lets try this, mwaka wa mahesabu at LFC kwa 2021, uliisha May mwaka jana, it means mwaka wa mahesabu unahesabiwa kwa season, so hapa tunaangalia msimu wa 2020/21, kwenye huu msimu tulinunua wachezaji wa 314m? (Thiago 25m, Jota 45m, Kostas 11m, Pitaluga 1.8m, Ben Davies 1m, Kabak loan fee 1m+), ukijumlisha hizo fee inakuja total expenditure ya 314m? wachezaji tuliouza ni Lovern 10m, Brewster 23m, Ejaria 3m, Hoever 13m, Kane 1m+, so hiyo total expenditure ya purchases za kina Thiago, ukitoa na hizi total sales za kina Lovren unapata net spend ya 314m hapo? hiyo number yako imekujaje?

Hiyo figure yako ya 314m, imeoneshwa hapo kwenye LFC annual return ya 2021, kama ni total return ya intangible assets, (INTANGIBLE ASSETS) na hiyo £136m, ni pesa ambayo imetumika kununua image copyrights, patents, trademarks (Jina la Thiago, Jota, Tsimikas etc nyuma ya jezi mgongoni) hizo zote ununua, unavyonunua mchezaji kutoka kwa team nyingine. sasa hiyo ni expenditure?

Mimi kwa mahesabu yangu nimepiga na kuchakata datas nikapata 317m wage-bill, hapa kwenye annual returns, adminstrative revenues (mainly wages), from up to players & bottom kwa mwaka 2021 ilikuw ni total £497m, hii ni whole adminstrative revenue, including staffs & managament, sasa kwa utashi wako wewe ni kundi gani hapo linapokea weekly wages? ni kundi gani hapo linapokea big wages & bonuses? ni kundi gani hapo li-cover above half ya hiyo £497m? tena report hapo inasema technically walishusha salaries na kuongeza wages ( but siyo kwa players, ni staffs/workers at Anfield & AXA), so hapo unataka uniambie kuwa 363m yote kwa mwaka mzima wa mahesabu imeenda kwa other employees? Club ipi inatumia whoping £363m kulipa tu employees excluding players? maana wage bill si inasoma 134m kwa mwaka mzima? dude, siyo kila kitu unachukua tu kila kilivyo, the way umemtaja Martin utafikiri ni bonge la somebody, you dudes are so funny, unanitajia Martin? dude.



20220402_025912.jpg
 
Nahofia pyschologically salah atakuaje baada ya kukosa Afcon na nafas ya world cup..aliamin sana watafuzu nando maana baada ya Afcon alirudi akiwa motivated sana lakin ili la kukosa WC sijui kama ataweza limeza kwa kipind kifupi iki.

Mungu amsaidie sana maana sio rahisi sana kwake nahisi ivyo na hali niliyo muona nayo akitoka uwanjan kama mtu anaetaka kuzimia af kashikwa na bumbuwazi daah yuko kwenye wakat mgumu sana
He will adjust, but form yake ilipotea alivyotoka AFCON, i guess ilikuwa ni fatgue, maana hakupata rest ya kutosha.
 
Dogo anasakwa kinoma. Naona wamo pia Chelsea, Real Madrid na Liverpool.

Dogo kipaji.

Pale kati akitulia na Fabinho man we are sorted.

My choice though ni Bissouma or Neves both with EPL action ready for the big boys stuff.

YNWA
We are in a very pole position to get him.

Madrid eyes are on Mbappe, think they have offered big big wages, na pia itakuwa bad move kwa dogo, nafasi ya kucheza kila week ni ndogo sana.


Tchou, can play as a 6/8, he can be a solid fabinho backup and at the same time as his patner, left/right sided 8.

its time., tusign a durable CM.

I like Bissouma a lot, wont mind if we end up with him, solid player.

Neves, good player, but we can do better.
 
Umenikumbusha msimu fulani Pogba alikua anagombana kupiga penati zote apige yeye tetesi ni kwamba bonus yake ilikua £6,000 hahaha sasa nani hataki huo mkwaja jamani.

Haya mambo ni mapana sana kwa kweli. Kwa bahati mbaya hua ngumu kuyakuta hata kwa media eti Liverpool wanalipa kikosi paudi kadhaa kwa kupata clean sheet, ama kila assist ya Salah analipwa kiasi hiki ama kila goli la Salah analipwa kaisi hiki ama kila ushindi wa Liverpool Klopp anapewa posho hii nk nk kuyajua haya mambo ni extensive research ya kutosha na pengine utakose maana mikataba hii ina usiri mkubwa sana.

Hii ishu ya Gerrard bhana ilikua ngumu kumeza. John Terry na Lampard walimkomalia bwana mdogo aodoke mazima huku Mourinho akiona itakua master stroke Steve kwenye ubora wake akitua pale. Hakika familia yake ilipokea vitisho nk na mwishowe akabakie Anfield shingo upande maana bila kupepesa maneno hatukua na kikosi cha kuchukua ubingwa miaka ile wala kumlipa big salary hayo angeyapata Chelsea kwanza ilikua ni project moja matata sana ilivutia wengi lakini pia Steve alitamani sana kushinda EPL na Chelsea were the less evil kuliko yeye kwenda Manchester United kuipata hio EPL.

Ki ukweli Mourinho hakuishia tu hapo kumtaka Steve hata alipoajiliwa Real Madrid alimhitaji tena Steve G akakipige Santiago Bernabeu lakini hakufanikiwa nadhani ile torture ya familia ya Steve waliopata kutaka kwenda Chelsea akaona ebu nitulie.

Real Madrid tetesi ni kwamba walimfuata Steve mara 3 ikiwa ni 2005 na 2009, 2011. Hii ya 2005 Liverpool tetesi walidai £40m na wapewe wachezaji kama 3 watatu, Real Madrid wakaona mhmh hii dili ni kama vile Liverpool wanawapa masharti magumu ili washindwe. Kwenye hii ishu ilikua Liverpool kuliko wamuuze Chelsea basi kama anaodoka basi iwe nje ya EPL.

Siku zote hua nasema mchezaji anaetaka alipwe zaidi kama Gini ama Salah nk ni sawa kabisa sababu kazi wanafanya inaonekana vyema kabisa bila ubishi, mafanikio wanaleta kama vile UCL, WCC, EPL baada ya miaka 30 of trying, Carabao nk nk hawa wapo sahihi kutaka maslahi zaidi.

Sasa kazi kwa wawakilishi wajadaliane vyema wapate muafaka Salah asaini maisha yasonge. Incase asiposaini basi no hard feelings kwake kama akisepe all the best he has been a proper professional giving his all kwa kweli and we are lucky to have been part of this journey guys. Ametupa so many beautiful moments to cherish for many more years to come. Its a bit scary kuwaza ile front line bila the Last Pharaoh lakini ndio maisha ya mpira we got to accept this things as long as FSG wapo Liverpool zitaedelea kuwepo.

Kama the Mighty Manchester United anaweza ku fall from all the success mpaka alipo sasa guys we ain't immune from fall. Just one mistake can make us crash big time tutaanza kutafutana humu tukisibiri miaka 30. Haya mambo ya nahitaji utulivu wa juu.

YNWA
Maaan, mikataba mikubwa yenye transfer fee kubwa ina mambo mengi sana, these players are making millions on a weekly basis, football ni mchezo wenye pesa sana.

Jamaa hapo juu anasema kuwa SG saga ni 2004, hawa watu wafundishwe history ya Club, this is SG, the Man, the myth, the hero, huwa naumia sana watu wasipojua facts za kumuhusu, he defined a struggling LFC, the LEGEND.

Wote humu hatukuwahi kufikiria kuwa Utd itakuja ku-turn na kuwa kama hivi, but mistake ndogo tu waliyoifanya katika succession plan yao ndiyo imewaweka na kuwafikisha hapa walipo, mpira ni kitu cha ajabu sana, mistake ndogo tu, na unaachwa nyuma, especially now, mpira umekuwa so competitive, team ndogo zinapata TV money za kutosha, teams ndogo zina WC and potential WC players, now ukienda West Ham, Wolves, Villa, Palace, Brighton, struggling Watford & Leeds, etc lazima ukute SPECIAL TALENTS, Newcastle wamem-sign Guimaires etc, so cant afford to make a mistake kabisa, no room for errors kabisa, kwasababu ukianguka now, kurudi tena it will take time, we need to be careful.

Salah is an important tool kwenye nia yetu ya ku-sustain status yetu, hatakiwi kuachiwa especially now kuna rumours za kuwa anataka kustahafu kuchezea team ya taifa, jamaa atakuwa kaona hamna kitu anachofanya pale Egypt, na jamaa zetu wa Al Ahly /zamalek wanapambana, sema ndiyo sasa uwezo mdogo sana, Egypt wanatakiwa kutengeneza na kurudisha mifumo yao ya mpira kama zamani, team yao imekuwa ya hovyo sana, personally nitashukuru kama akistahafu
 
UTABIRI WANGU BAADA YA MECHI ZA MAKUNDI WORLD CUP MAKUNDI YATAONEKANA KAMA IFUATAVYO


Kwenye group la Ghana msimamo wangu:
1 - Portugal
2 - Uruguay
3 - South Korea
4 - Ghana

Kwenye Group la Cameroon msimamo wangu:
1 - Brazil
2 - Serbia
3 - Switzerland
4 - Cameroon

Kwenye Group la Morocco msimamo wangu:
1 - Belgium
2 - Croatia
3 - Canada
4 - Morocco

Kwenye Group la Tunisia msimamo wangu:
1 - France
2 - Tunisia
3 - Denmark
4 - ICP 1

Kwenye Group la Senegal msimamo wangu:
1 - Netherlands
2 - Senegal
3 - Qatar
4 - Ecuador
Kombe la dunia Lina maajabu yake ,bingwa mtetezi huwa anatoka hatua ya makundi mapema kabisa unakumbuka germany alichofanywa na kina SON .....hakuaamini lakin ndio alishia group stage ......


France simpi kipaomblee kabisaa....!
 
We are in a very pole position to get him.

Madrid eyes are on Mbappe, think they have offered big big wages, na pia itakuwa bad move kwa dogo, nafasi ya kucheza kila week ni ndogo sana.


Tchou, can play as a 6/8, he can be a solid fabinho backup and at the same time as his patner, left/right sided 8.

its time., tusign a durable CM.

I like Bissouma a lot, wont mind if we end up with him, solid player.

Neves, good player, but we can do better.
Tchou tetesi ilikua Chelsea are front kumpata lakini baada ya hii ajali yao they may be out of the picture now.

If the boy is that flexible playing both 6 or 8 and may be 10 interchanging with Fabio itakua something of major coup pia itakua plan za Klopp next gen players. Usajili wa kimkakati kama Jota na Diaz.

So in this 3 windows FSG watakua wame upgrade Defence Konate, Front Diaz, CM Tchou, AM Fabio. Kwa mwendo huu ni ishara kuna continuation ya kujenga kikosi imara huku ku gradually Klopp akipata utajili wa option za mfumo.

Pazuri pia ni kwamba kuanzia msimu ujao sub 5 zinarejea EPL hivyo all the boys will get some minutes maana MF itakua loaded balaa Tchou 😂, Keita, Fabinho, Hendo, Ox, Jones, Thiago, Fabio😛, Morton, Telemann 🙌🙌...

YNWA
 
Maaan, mikataba mikubwa yenye transfer fee kubwa ina mambo mengi sana, these players are making millions on a weekly basis, football ni mchezo wenye pesa sana.

Jamaa hapo juu anasema kuwa SG saga ni 2004, hawa watu wafundishwe history ya Club, this is SG, the Man, the myth, the hero, huwa naumia sana watu wasipojua facts za kumuhusu, he defined a struggling LFC, the LEGEND.

Wote humu hatukuwahi kufikiria kuwa Utd itakuja ku-turn na kuwa kama hivi, but mistake ndogo tu waliyoifanya katika succession plan yao ndiyo imewaweka na kuwafikisha hapa walipo, mpira ni kitu cha ajabu sana, mistake ndogo tu, na unaachwa nyuma, especially now, mpira umekuwa so competitive, team ndogo zinapata TV money za kutosha, teams ndogo zina WC and potential WC players, now ukienda West Ham, Wolves, Villa, Palace, Brighton, struggling Watford & Leeds, etc lazima ukute SPECIAL TALENTS, Newcastle wamem-sign Guimaires etc, so cant afford to make a mistake kabisa, no room for errors kabisa, kwasababu ukianguka now, kurudi tena it will take time, we need to be careful.

Salah is an important tool kwenye nia yetu ya ku-sustain status yetu, hatakiwi kuachiwa especially now kuna rumours za kuwa anataka kustahafu kuchezea team ya taifa, jamaa atakuwa kaona hamna kitu anachofanya pale Egypt, na jamaa zetu wa Al Ahly /zamalek wanapambana, sema ndiyo sasa uwezo mdogo sana, Egypt wanatakiwa kutengeneza na kurudisha mifumo yao ya mpira kama zamani, team yao imekuwa ya hovyo sana, personally nitashukuru kama akistahafu
Salah astaafu na abakie Anfield itakua advantage kwetu design kama Matip au Milner walivyo..

Egypt ki ukweli sikutaka watue Qatar maana niliona kama wanakwenda tu kugawa pointi za bure angalau Senegal naona wana wachezaji wapambanaji sana wataleta changamoto.

Hayo mambo ya mpira hakika ni mapana mno sie huku tunayajua ya juu juu wala ndani ni pagumu mno kujua kwa mfano ulisema Origi mkataba wake ungeji renew automatically kama angecheza mechi kadhaa Liverpool na ndio kwanza hili nimelisikia aisee. Mambo ni mengi sanaaa kwa kweli.

Ki ukweli Manchester United ni kielelezo tosha cha one mistake one goal kwenye ishua ya Fergie yaaani japo tetesi hua Fergie alimhitaji sana Klopp wakati ule na Klopp was tempted ku venture EPL challenges nk tetesi ni kwamba Klopp hakua tayari kuja EPL in that year na pia mke wake ndio alimwambia wait for Liverpool haha so many theories kwenye hili. Just a single mistake mpaka leo inawachanganya kiasi kua Manchester United Manager is no longer super attractive mbali ni scary for any candidate angalau sasa naona wameamua kufuata the right channel ya ku identify right managerial candidates na wapewe project rather than immediate success yule kipara wa Ajax atawafaa sana.

Hii ishu ya fall of the once great Manchester United inatakiwa iwe wake up call kwa klabu yetu kuanzia ku manage ku phase out wachezaji na phasing out supporting staff like Klopp and crew.

FSG naona gradually wanamsikiliza Klopp kwenye kununua wachezaji wapya as in usajili wa kimkakati tazama Konate, Jota, Diaz, Fabio hawa wote ni raw talent with lot of potential ready to rock and roll. By 2024 Klopp ndio anaodoka na kwa mwendo huu kuna dirisha zingine 4 za usajili ambazo naamini watazidi kuleta ma youngsters zaidi to take over from the old guards sababu main top performers aint getting any younger ili hata akija new manager huko mbele atakuta kuna potential na sustainability..

Yeah EPL is rich so many cash flowing kwa TV rights na wadhamini wengine kiasi all the teams has proper WC players. Tazama Dajuma alikua Championship lakini sasa kule Virrareal he is top class rocking UCL.
Kwa kweli UK soccer pyramid has potential only that its profit oriented balaa hata timu kugoma kuuza mchezaji kisa tu they have the muscle tazama Spurs walivyowagomea Manchester City ama Aston Villa walivyokomaa kulipwa £100m kwa Grealish simple either pay or anabakia alipo.
Bissouma nimeona unless afosi kuodoka kama akiwa sounded for the move Brighton wanakomaa £50m haha hii ndio EPL bhana pesa ipoooo.

SG learnt his lesson the hard way. Ndio maana alivyotaka kuhama hakutaka kabisa kwenda popote anaweza kukutana na Liverpool akasepa zake MSL.


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom