Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿Mkuu hilo binafsi linanipa wasiwasi sana kwamba hili pigo kwake itakua aje maana WC sio mashindano mepesi kukosa.

Namuonea huruma kukosa lakini kwa kuangalia ubora wa kikosi nilisimama na Mane nikiona kama Senegal wamekamilika zaidi kuliko Misri.

Kama atatumia ile disappointment vizuri basi tegemea kumuona akipambana kushinda makombe yalio mbele yetu.

Kingine Salah ni professional na pale Liverpool naamini kuna dawati la haya mambo kuwasaidia ku recover baada ya vipigo kama hivi.

YNWA
Na iwe ivyo
 
Adjustments.jpg
 
So, we are interested in Tchouameni, i think Klopp views him kama Fabinho partner in a 4231.

Good signing, if we can pull it off.
Dogo anasakwa kinoma. Naona wamo pia Chelsea, Real Madrid na Liverpool.

Dogo kipaji.

Pale kati akitulia na Fabinho man we are sorted.

My choice though ni Bissouma or Neves both with EPL action ready for the big boys stuff.

YNWA
 
Dude, you expecting me to declare my sources? you're a LFC do your research, kila kitu kipo on paper.

But, again nimeona hapo research yako imeishia google, kujumlisha total ya basic weekly salary za whole team, siyo how you determine a wage-bill structure, you need to study kuhusu Wage-bill structure, it seems you no nothing about it, and ruhusu your brain kusoma vitu vipya, aritcles za spotrac/transefer market zinazojadili zaidi Seasonal basic salary cap table, haziwezi kukusaidia, LEARN.

Hizo expenditures za mwaka ni zipi? matumizi yapi hayo yaliyofikia £314m kwa mwaka? na kutufanya kuwa wanne kwa matumizi mzee mwenzangu?

Mwaka 2018, forbes walitoa list ya Clubs zenye high wage bills, and LFC were above Man City, with £263m, now few years later what has changed from LFC perpective? giving extensions tu Firmino, Trent, Salah, VVD, Robertson, Fabinho etc, signing Thiago on big wages, etc, wage-bill itakuwa the same? from 2018 up to now, City have signed a 100m players on high wages, renewed a lot of their players contracts, now they KDB sitting at 375k, and few good amount of players are on 250k+, wage-bill yao itabaki the same? kasome kuhusu basic salaries, goals & assists bonuses, 75-90 match minutes bonuses, man of the match bonuses, hat-trick bonuses, Clean sheet bonuses etc, hizi ni exclusive bonuses zinazokuwepo kwenye mikataba ya highly profiled players, and our whole 11 is filled with highly profiled players (excluding Jones, Elliot, Takumi, Tsimikas (huyu anatakiwa na teams kibao europe now), etc), na wote hao wanapata bonuses za goals & assists exclusively. you need to LEARN, and its take time.

You probably dont understand how football contracts works, Origi huyu anaendoka, kama kuna idadi ya games angecheza msimu huu na kuzifikia mkataba wake ungeji-renew automatic for another 1 year, na ndiyo maana Klopp was managing his minutes, na hii simlaumu Klopp maana anajua potential ya Origi na anataka acheze mpira, sadily at LFC hawezi pata nafasi kama akienda kwingine, na ndiyo maana last summer tuli-invite bids na hakuna aliyefikia makubaliano ya wages na Origi, but he's moving to AC MILAN for free, and probably Klopp knew this, ndiyo maana amekuwa makini na minutes za Origi ili move yake isikwame, AC MILAN is a good club for Origi, football contracts zinakuwa na clauses nyingi sana especially contracts za WC players kama Salah.

Flaws? NO, i know LFC history in details, i have original cassettes, jerseys etc za LFC through the years, i advocate it openly, but NOW i have been watching and witnessing the BEST liverpool team in my whole life for the past 4 years, i wont let nostalgia get the best of me dude, not now, not now at all. umechagua Pasley era kuwa the best kwako, me nimechagua Klopp era kuwa the best kwangu, matter of fact my 2nd favorite era ni ya benitez from 2004-2009, We can agree to be different on this, theres nothing wrong with it.

Steven Gerrard, a scouser, a liverpool City native, a boyhood LFC fan, PUT IN A TRANSFER REQUEST ili apate move ya kwenda Chelsea, unaelewa nini kuhusu transfer request? it means una-declare kwenye public na dunia nzima kuwa unataka kuondoka na club ikuruhusu kuondoka kwasababy hutaki kuendelea nayo, TRANSFER REQUEST ni act of betrayal, and SG alifanya hivyo, sasa nisije nikawa naongea na mtu ambaye hakuwepo na LFC that time, maana kama ungekuwepo sidhani kama ungekuwa na concerns hapa, LFC fans walikuwa wana-camp nyumbani kwa SG threating to kill and harm his family and they were serious, he's a liverpool native, people walikuwa wanajua mpaka uncles zake wanapokaa, he STAYED in the end kwasababu ya RAGE ya his fellow scousers na LFC fans around the world, dude you claim to be LFC historian but it seems uko behind sana, saga ya SG ilikuwa ni baada ya ISTANBUL, not before, kabla ya hapo kulikuwa na speculation kuwa chelsea wants, but after CL final, Chelsea made a move, they're bid came in 2005 dude, na ndiyo maana kulikuwa na RAGE kubwa sana because SG was our GOLDEN CHILD, na Mourinho mpaka kesho anaumia, maana SG himself told him, kuwa ata-sign for Chelsea. unaongea kuhusu Royality mzee mwenzangu? kwenye football? Learn the rules of football dude, its not that easy being a football fan, kama huelewi rules za professional sport kama hii, utakuwa unachukia wachezaji kila siku, kisa wanajaribu kutafuta good deals na good teams za kuwapa trophies, players are human-being, they have emotions & preferences, they are not machines..

Then it doesnt matter why SG decided to stay for good (ingawa LFC fan waliopo kipindi kile wanajua why? its just like we dont want to remember or even talk about), my notion kwenye hii ishu ya royality, ilikuwa ni kuonesha kuwa as a human-beings, tumeumbwa na selfishness, whether its good or bad, but the bottom line is everybody wants to have something good for his life & wellbeing, thats the nature, same applies kwa players, they want good deals, trophies, playing with WC players, what made SG want to move to Chelsea after winning the CL? truth is we won the CL but we had a very very average team, na Chelsea walikuwa na very excited project, and SG wanted to be a part of it, main factor ni kuwa alikuwa anaona atashinda EPL na Chelsea na kuwa guaranteed na a very good deal, in football hivi ni vitu vya kawaida sana, players wana asiparations kama za kwetu fans, they want trophies too, mfano mdogo tu kama tungekuwa tuna-struggle, hawa kina Salah, Mane, Fabinho, VVD etc wangekuwa washaondoka muda sana, but they are here because we are competing vizuri, thats football.

Then unatakiwa ujue kutofautisha kati ya Royality, love & respect.
😂😂Umenikumbusha msimu fulani Pogba alikua anagombana kupiga penati zote apige yeye tetesi ni kwamba bonus yake ilikua £6,000 hahaha sasa nani hataki huo mkwaja jamani.

Haya mambo ni mapana sana kwa kweli. Kwa bahati mbaya hua ngumu kuyakuta hata kwa media eti Liverpool wanalipa kikosi paudi kadhaa kwa kupata clean sheet, ama kila assist ya Salah analipwa kiasi hiki ama kila goli la Salah analipwa kaisi hiki ama kila ushindi wa Liverpool Klopp anapewa posho hii nk nk kuyajua haya mambo ni extensive research ya kutosha na pengine utakose maana mikataba hii ina usiri mkubwa sana.

Hii ishu ya Gerrard bhana ilikua ngumu kumeza. John Terry na Lampard walimkomalia bwana mdogo aodoke mazima huku Mourinho akiona itakua master stroke Steve kwenye ubora wake akitua pale. Hakika familia yake ilipokea vitisho nk na mwishowe akabakie Anfield shingo upande maana bila kupepesa maneno hatukua na kikosi cha kuchukua ubingwa miaka ile wala kumlipa big salary hayo angeyapata Chelsea kwanza ilikua ni project moja matata sana ilivutia wengi lakini pia Steve alitamani sana kushinda EPL na Chelsea were the less evil kuliko yeye kwenda Manchester United kuipata hio EPL.

Ki ukweli Mourinho hakuishia tu hapo kumtaka Steve hata alipoajiliwa Real Madrid alimhitaji tena Steve G akakipige Santiago Bernabeu lakini hakufanikiwa nadhani ile torture ya familia ya Steve waliopata kutaka kwenda Chelsea akaona ebu nitulie.

Real Madrid tetesi ni kwamba walimfuata Steve mara 3 ikiwa ni 2005 na 2009, 2011. Hii ya 2005 Liverpool tetesi walidai £40m na wapewe wachezaji kama 3 watatu, Real Madrid wakaona mhmh hii dili ni kama vile Liverpool wanawapa masharti magumu ili washindwe. Kwenye hii ishu ilikua Liverpool kuliko wamuuze Chelsea basi kama anaodoka basi iwe nje ya EPL.

Siku zote hua nasema mchezaji anaetaka alipwe zaidi kama Gini ama Salah nk ni sawa kabisa sababu kazi wanafanya inaonekana vyema kabisa bila ubishi, mafanikio wanaleta kama vile UCL, WCC, EPL 🙆🏿🙆🏿baada ya miaka 30 of trying, Carabao nk nk hawa wapo sahihi kutaka maslahi zaidi.

Sasa kazi kwa wawakilishi wajadaliane vyema wapate muafaka Salah asaini maisha yasonge. Incase asiposaini basi no hard feelings kwake kama akisepe all the best he has been a proper professional giving his all kwa kweli and we are lucky to have been part of this journey guys. Ametupa so many beautiful moments to cherish for many more years to come. Its a bit scary kuwaza ile front line bila the Last Pharaoh lakini ndio maisha ya mpira we got to accept this things as long as FSG wapo Liverpool zitaedelea kuwepo.

Kama the Mighty Manchester United anaweza ku fall from all the success mpaka alipo sasa guys we ain't immune from fall. Just one mistake can make us crash big time tutaanza kutafutana humu tukisibiri miaka 30. Haya mambo ya nahitaji utulivu wa juu.

YNWA
 
Moja ya Kituko ni kuona kwenye Draw za Kombe la Dunia na Euro England siku zote ipo Pot 1 na kuwa group leader ingawa haishindi chochote.

Yani eti ipo juu ya Ujerumani.

Anachofanya anajikusanyia Points kwa kushinda mechi za kugombania kuqualify na kucheza mechi za Kirafiki na Mataifa mabovu kimpira then anakuwa katika rank ya juu ya FIFA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom