Neil Jones anafahamika vyema tu rep wa liverpool GOAL.COM, anakuwaga hoste na bloodred mara kibao na podcasts zipo nyingi tu, vp mbona hujasema Jones amesikia nini kutoka Salah's court?
Mo aneshajua kuwa FSG do not 'appreciate' him kwa tafsiri ya maneno yake yeye mwenyewe ile December.
Unadhani FSG watagive in easily kwasababu jamaa ni world class? Umeonyesha jinsi gani una uelewa mpana the way football is run, sasa tuseme offer yao ni hiyohiyo 250 aliposema Jones, unadhani watapandisha bowing to Salah?
That will never happen, tumefika hapa na pay structure za kiwango 'hiki' na hata ikipanda haiwezi kuwa abruptly, ni gradual ili kuwe na balance ya wage bill kwenye kikosi kizima.
Akipewa hio 'anayotaka' what will happen kwa extension ya kina Mane na wengine? Unadhani watakubaliana kubakia hapohapo?
Sisi sio oil rich club na wala hatulingani na hao wanaolipa hizo sums kubwakubwa. Ila tunapata faida ndio, namna inatumika ni jukumu la wamiliki!
Wamiliki wanatofautiana biashara, networth, tabia etc. So tegemea utofauti pia kwenye kurun klabu zao (wapo wanaofanya biashara, wapo wanaojipromote zaidi)
Era ya sasa na huko nyuma ni vitu viwili tofauyi ndio, lakini history is history and we live with it. Hio era legeleve kwako ndo inaipa heshima ya kipeke club mpaka kesho, kwani club zingine zilikuwa wapi zisijinyakulie makombe kirahisi?
Salah ataweka records zake, Gerrard ana za kwake, hao wazee ni unbeatable hata useme ilikua era legelege. This is utterly disrespect!
Shearer amecheza era gani? Vp records zake?
I stand with loyalty, you can stay with paycheck status.
250k sio ndogo, labda kama unacompare na kina city, man utd na Chelsea ambapo nimeshasema wamiliki hawawezi kufanana!
Abramovich ameondoka, don't expect atakekuja ataendeleza kumwaga mafedha very easily kwa mapenzi ya club!!!
Hakukuwa na haja ya kum-mock Klopp, anapaswwa kuwa na akili kujua mzigo HAUONGEZEKI na HAPIGIWI mtu magoti. Ramy Abbas was very un-diplomatic
Neil Jones ni football reporter siyo investigive reporter, anapata na kuchukua news kutoka kwa credible sources anazoziamini, sasa kama hajapata credible source ya kumwambia kuhusu anachokitaka Salah kutoka upande wa Salah, hawezi report uongo, ame-report kile anachokijua, and thats FSG offer is 250k.
Salah isnt budging, FSG arent bugding, ingawa they're still in talks lakini bado wapo bit apart kufikia makubaliano, so kama either side hazitaki ku-budge, outcome ni moja tu mchezaji kuondoka, na Salah amebakiza msimu mmoja, na ana haki ya kuendelea kubakia LFC mpaka mkataba wake utakapoisha, so its either akubali offers za club zingine au aamue kubaki mpaka mkataba wake utakapoisha, ambapo atapata suitors wengi sana maana itakuwa ni free transfer, na kama ataamua kuondoka for free hii itakuwa ni bad business for the club & FSG, maana thamani ya Salah ni more than £80m-£100m kwenye market, so its either umpe mkataba mpya au u-risk kumpoteza for free, so utaangalia ni upande upi ambao upo kwenye bad spot right now.
"Tumefika hapa kwa pay-structure za kiwango hiki", this is absurd, so you're risking kuwa left behind kwa ku-stick na kitu ulichokuwa unafanya wakati unajaribu kuuinua na kukuza brand ya club iliyokuwa imefifia? so it means upo tayari kurudi kule kule kwa mwanzo kwa ku-stick na rules ambazo zimekuwa out-grown na Club revenues? LFC are one of the biggest clubs in the world now, ku-maintain hiyo STATUS ni lazima u-dig deep, Chelsea & City hawaku-maintain hiyo status kwasababu tu ya kuwa na rich owners, ni kuwa walitengeza structures zinazoruhusu Club kubadilika na ku-evolve kulingana na mahitaji ya mpira wa sasa, sasa how can you compete kwa kipindi kirefu kama unataka kujificha kwenye kivuli cha Sell to buy policy & limited wage bill structure ambayo ni myth vile vile, hiyo sell to buy policy ilitaka kutuumiza msimu uliopita, kwa kushindwa ku-replace players tuliowauza on time, tumekuja kumnunua Konate wakati tayari damage imeshafanyika, now its Salah, next time itakuwa Trent, Jota, Diaz, Fabinho, VVD etc, tutakuwa tunashindwa ku-keep WC players kisa Wage bill structure? Jota is on 90k now, kwa his important goals anazofung kila week, you agent wake ata-demand pay-rise ya Shilingi ngapi? so naye tutamuacha aende? a serious club with ambition ingekuwa kwenye maongezi ya 1-2 years extension na Mane/Firmino, but FSG wapo kimya mpaka sasa, na ukimya unamaanisha mambo mengi sana.
Sisi siyo oil club, yes but we are competing with oil clubs kila week, and i have been holding back kuhusu hii ishu ya Wage-bill structure, because i didnt want to go there, but our WAGE BILL ni kubwa tunapitwa na 4 clubs tu (Barcelona, Man City, PSG and Madrid), our Wage bill structure is bigger than Chelsea, Utd, Arsenal, Spurs etc, ndiyo maana nikasema ni myth, we are in €317m, Man City are in €433m, the difference is not that big, kwa kisingizio kwamba we are not the oil club, LFC haijafika hapo ilipo kwa hiyo notion yako ya wage-bill, ni MYTH, mnazolishwa kwenye mitandao, na its sad kwasababu mnapokea kila kitu bila kufanya research, i didnt want to go there but i had to.
Team yenye more than 6 WC and bankable players haiwezi kuwa na wage-bill structure iliyo limited, we have 3 players who are on 200k+ (plus bonuses), we have 7 players who are on 150k+ (plus bonuses), we have few players who are on 100k-140k (plus bonuses), Curtis Jones is 60k p/w, Utd or Chelsea hawalipi youngsters wao who are yet to make a mark mshahara mkubwa kama huu, then soon, Jota & Diaz will need a pay-rise, if Takumi gets a new deal, ataingia kwenye 100k club, hata jones kama aki-renew ataingia kwenye 100k club, what limited wage-structure are you talking about?
Man City (Oil club) highest earner ni KDB, analipwa 375k, whats wrong with payinh Salah that amount? especially if you're paying Milner 150k p/w (plus bonuses)
Yes, at utd Cr7, sancho, varane, pogba etc are on high wages, same to chelsea with Lukaku, Werner etc, but kinachoiumiza club ni excessive bonuses, at first wali-introduce bonuses ili ku-limit basic wages, but LUCKLY the team is perfoming at the HIGHEST LEVEL now (PL, CL, FA, EFL), na bonuses ni za team nzima (players & Coaches) Klopp analipwa 340k p/w, with bonuses unadhani itakuwa sh.ngapi kwa kila bonus ya 3 points?
LFC hatuna wage-bill ya kinyonge, Salah ishu ipo deep zaidi ya his wage demands.
Hakuna FOOTBALL CLUB ambayo haina HISTORY, hakuna CLUB ambayo haina PIONEERS and LEGENDS, kitu ambacho kinafanya LFC HISTORY kuwa special kuwa we used to win a LOT, but again your club history means nothing if your club is failing to cope with modern football, i respect the Club's history and i respect Club's legends, but kama walivyoishape LFC back then, na sasa ni time ya ku-shape hii LFC team ya sasa, because years from now nayo itakuwa ni HISTORY, itakuja team ambayo ita-set na kuvunja records za hii team ya sasa, thats nature. and we cant stay here a lie kuwa this is not the BEST lfc team in years, with great players, i'm the biggest advocate of LFC rich history but am not BLIND.
Daglish is a legend, but vipimo and adimiration zinatofautiana dude, SG is the most respected Club legend in our history, you can ask the older fans waliokuwepo tangu zamani na watakwambia the same, SG carried this team wakati tukiwa kwenye phase ya kupokea mabadiliko na uhitaji mpya wa mpira wa kisasa, SG ndiyo alikuwa DARAJA, ndiyo maana he's the most respected, Daglish, Liddel, Molby, Ian, Hansen, Neal, Rush, barnes etc shaped our HISTORY, but influence ya SG at LFC ni undisputed, ask these legends and they will tell you the same thing.
LOYALITY kwenye football, hakuna loyality kwenye football, acheni kujidanganya kwenye hivi vichaka, hii sport ni ajira, siyo charity organization, players wana-make a living through football, ndiyo maisha yao, untaka acheze free? wakati owners wana-make millions kutokana na his hard work on the pitch, you think its easy ku-chase the ball with a lot of energy, power and risk tackles, leg breaking accelerations for whole 90 minutes every week and maybe sometimes weekdays? hakina kazi nyepesi duniani, na hakuna kitu kama "ROYALITY" kwenye financial matters, football ni kazi kama kazi zingine, SG put in a transfer request ya kutaka kwenda chelsea, Ian Rush aliondoka LFC kwenda Juventus in his peak years, what loyality unayoiongelea? Trent a born & bred Scouser and a LFC fan demanded 180k p/w at 21, so why should Salah awe na Royality? what is royality wakati the player in question anakupa trophies & 3 points every week? stop treating football as a charity sport, there's a reason it was called a Professional footabll sport.
250k ni peanuts kwa world star like Salah, and yes na-compare na hizo team because zote bar Man city zina wage structure ndogo kuliko sisi.