Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Gerrard: "He said 'work out what team of people you need around yo"His [Jurgen Klopp] advice to me was: 'Don't go in with the name on your back. I've seen so many ex-players who played at a decent level just automatically think that they can become a good coach or a good manager.'"

Gerrard: "He said 'It's important that you go and do two years with Liverpool's youth teams away from the cameras, go and make mistakes, find out how you want to play, try formations, try tactics,

Gerrard: "He said 'work out what team of people you need around you because you'll be good in some areas, you won't be good in others and get your team. Then you will know. You'll get the right feeling - then an opportunity will come. Then you can decide what you want to do.'"
20220330_103319.jpg
 
Barca ya Ronaldinho iliyomuachia makovu ya kudumu Arsenal unaona ni kitoto kwako sio?
Barca Tishio ni 2008 mpaka 2012

Na slight ile MSN around 2014/2015 nje ya hapo wewe hujakutana na barca ya kutisha.
 
Dah! Na wewe umenasa kwenye Mtego wa kuwa Salah anaivuruga Timu kupitia Mkataba?
Mbona toka ianze hii issue Salah hajawahi kuongea chochote?
Au labda utupe ufafanuzi kuwa huo 'Mtafaruku' anauleta kivipi?
Salah hajawahi kusingizia injury wala hajawahi kucheza chini ya kiwango kwasababu ya huu Mkataba.
Pia Salah na Ajent wake hawajawahi kueka hadharani mahitaji yao kwenye Mkataba.
Ni British Media ndiyo zinajaribu kumjengea picha mbaya Salah ili FSG wasijekuwa na lawama kwa hili.

Salah yupo very humble kwenye hili ameamua kufunga Mdomo wake kabisa.
Ndio analeta mtafaruku, Huwezi kumfanya JK kuwa laughing stock -hata kwa sekunde moja!

Salah na mwenzie hawajaweka wazi kiasi wanachotaka kwani FSG wameweka wazi kiasi wanachotoa?

Unaushahidi kuwa hizo media zinalipwa na FSG kumchafua Mo?

Mo yuko humble ndio lakini bp kuhusu agent wake? Zinamtosha upstairs?

Uamuzi wenu wa kuwa upande wa Mo na agent wake ni baseless
 
Hauoni kuwa umewalinganisha?

Sisi tumewapa a world class striker akawapa UCL title yenu ya kwanza!
Unaona ni sawa na Sturrige?
Hapa unaongea kwa sababu kipindi kile mliteleza man city akabeba ubingwa badala yenu. Si ndiyo?
 
Sawa.... Si baada ya figisu match ya Barca.

No wonder 2012 tuliwaknock out hao barca tena wakiwa kwenye ubora.
Acha visingizio ukishindwa umeshindwa.
Mbona sisi tulifanyiwa unyama na Ramos 2017 FAINALI na tuko kimya wewe unalialia na kanusu fainali?
 
Acha visingizio ukishindwa umeshindwa.
Mbona sisi tulifanyiwa unyama na Ramos 2017 FAINALI na tuko kimya wewe unalialia na kanusu fainali?
Kama hukuangalia hiyo match ya barca na chelsea au kufuatilia yaliyojiri kwa refa aliyesimamia ule mchezo bora unyamaze.

Huwezi fananisha tulichofanyiwa sisi na yule refa against barca na alichowafanyia nyinyi ramos.

Unajiexpose.
 
Kama hukuangalia hiyo match ya barca na chelsea au kufuatilia yaliyojiri kwa refa aliyesimamia ule mchezo bora unyamaze.

Huwezi fananisha tulichofanyiwa sisi na yule refa against barca na alichowafanyia nyinyi ramos.

Unajiexpose.
Kwani Red card aliyotakiwa kupewa sregio Ramos ingetoka kwa nani? Kocha? Au mashabiki? Au huelewi unachozunguza

Mlitupiwa na iniesta Barca akiwa na uzi wa njano
 
Salah wenu huyu takataka ameisaidia Nini timu yake Yaa taifa? Anashindwa kuosaidia timu take angalau hata kufuzu kombe hili la Dunia. Anakosa penati mbele ya mwenzie mane. Salaha ni mzigo kwa taifa laoo...
Toa maneno yako hapa.

Kuna Salah na Mane hivyo tunakwenda na mmoja.

Sio mzigo kwa Liverpool utulie pambana kwanza nafasi ya 3 Arsenal wanaitaka.

YNWA
 
Kwani Red card aliyotakiwa kupewa sregio Ramos ingetoka kwa nani? Kocha? Au mashabiki? Au huelewi unachozunguza

Mlitupiwa na iniesta Barca akiwa na uzi wa njano
Incident yenu na zetu hazina mfanano hata kidogo.

Sisi tulikuwa na Incident nyingi[zaidi ya 3] ambazo zilikuwa clear kabisa lakini hazitolewa maamuzi sahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom