Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Incident yenu na zetu hazina mfanano hata kidogo.

Sisi tulikuwa na Incident nyingi[zaidi ya 3] ambazo zilikuwa clear kabisa lakini hazitolewa maamuzi sahihi.
Endelea kulialia, the game has never been fair. Ndio maana kuna kupeta
 
Ishu za mikataba hua ni supa confidential yaaani mara chache sana kuujua ukweli ni ngumu especially kutoka kambi ya mchezaji ambae lazima awe na subira ukizingatia kama Salah endapo ataona maisha ya Anfield basi lazima awe na nidhamu anakokwenda wasije muone snitch nk.

Mengi yatasemwa mpaka pale Liverpool waamue kumpa anachotaka ili angalau aongeze mkataba wake tuzidi kuchaja mbuga kushindania makombe miaka ijayo. Otherwise kama hawampi basi nalo lisemwe kuodoa haya maneno machafu kumwadama Salah as if ni vampire wakati kashasema anataka abakie Liverpool miaka mingi sana.

Hivi MosDef inakua aje Klopp kusimama kidete Henderson apewe mkataba na pia kumwombea Milner mwaka mmoja nyongeza lakini kwa Salah ama Mane anakua na ukimya fulani. Je pia nae ni muumin wa sell to buy hata kama itamuadhiri yeye kama kocha kwa star performer wetu. Je Klopp anakua na double standards ama namna gani. Au anachosema boss wake FSG nae hana namna anakwenda nacho. Je kama Klopp anatofautiana kimtazamo na FSG kwenye hili suala sio kwamba hio June 2024 mazima anasepa zake.

Wengi naona wanaongelea Salah lakini wanasahau kuna Firmino na Mane ambao mkataba unaisha na wachezaji muhimu sana japo hawapo kama zamani lakini tulishakubaliana form is temporary na class is permanent. Jota na Diaz wana talent lakini hawajafika hivi viwango kwa kweli wasiwasi wangu isije ikawa FSG wanaona pengine wakipata nafasi ya kucheza mara kwa mara watakua brutal mbele ya goli. Let's just hope hawa ma Yankees will come to thier senses.

Hii ya Trent dogo will be smart enough kuona wenzie walivyochezewa na FSG kuonekana ma vampire naamini atakua smart na wakala wake kujua how to navigate haha design kama Henderson yaaani eti PSG walimtaka khaa na FSG bought the story nwa ni parefu mpaka 2025 lets just enjoy the boy the best RB creator in modern EPL era utadhani ni MF maana anakimbizana na Kevin kwa ma assist.

YNWA
 
Akiodoka kama Gini itawauma balaa. Ndio maana wanafanya lobbying dogo aonekana ni full tamaa kwa kutaka mshahara wa 500k kwa wiki.

Duniani bahati zipo lakini tazama Bale pale Los Blonco tetesi ni anapata 600k kwa wiki kama kweli basi bahati hakika zipo ukizingatia muda mwingi dogo hua mahututi anaumwo lakini Salah ambae hata kuumia hakupo ki vile nusu ya Bale hapati jamani khaaaa.

Salah kwa sasa ana mission yake kumaliza msimu akiwa mfungaji bora na hali ikiruhusu tukishinda EPl, FA na UCL.

YNWA
 
Blogger value. Weka sokoni kama utapata hata 2bn
 
Mo ni mchezaji mzuri sana lakini kwa kipindi hiki anapaswa aoneshe loyalty zaidi kwa club, ndivyo ilvyo kwa kina Mane na Bobby. They understand the value of the club.

Kitu kinafanya Salah aonekane villain sio lobbying ya FSG, shida ni yeye na agent wake hawako smart kabisa. Wanafanya madai sahihi lakini at a very wrong time, very very wrong!

Huu sio wakati wa kututingisha ***** kabisa, wrong timing na watajifunza hapo!

Gini anajuta kuhamia PSG, anakumbuka maisha na familia ya liverpool
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Gini anachokosa ni game time lakini mpunga anapata wa maana at least hilo linapoza machungu ya kutocheza. Akiwa professional anaelewa vyema sio kila move kwake itakua kama alikotaka.

Salah hana muda mwingine wa kudai anachokitaka ni sasa kwanza yupo kwenye fomu na pia mkataba wake unaelekea ukingoni hivyo angalau afahamu vyema kama anatafuta ajira kwingine.

Salah uwanjani analipa.
Salah kibiashara analipa.
Ukiwa katika levo hizo ndio inakua wakati sahihi kudai nyongeza ya mshahara.

Labda Wakala wake nae kuna baadhi ya vitu mambo hawa FSG wana mdiss kiasi ana behave ana behave si bure kwa kweli.

YNWA
 
Sio game time tu, na hilo kwake sio shida! Ni hali ya hewa ndani ya familia pale PSG ndio inamkumbusha mapenzi mtu anayopewa akiwa liverpool. Juzi tu hapa hali ikuwa mbaya baada ya kutolewa na Madrid wakati huku kwetu we stand together no matter what!

Wrong timing sio kuhusu contact terminal na extension period, ni nyakati hizi ambapo sisi ni macontender wa makombe 3 huku tukiwa tumeshaweka kibindoni limoko. Inahitajika loyalty zaidi.

Ushauri na maoni yangu mimi kwa Mo; akubali hio offer ambayo FSG wamempa kwa mwaka mmoja, alafu akili yote na club nzima ifocus kwenye kuyanyakua haya makombe. Then arudi mezani mwaka ujao kudai vitita vyake vipya wakikataa ang'oe. Hapo hata mimi nitaona kweli hawa FSG ni wa*#@$*&#@!

Huyu agent wake hana akili kabisa, anashindana na Klopp ambae amechangia kwa asilimia kubwa kiwango cha Salah kufika hapa!

Mfano Haller alisajiliwa West Ham kwa 45m Sterling akafunga goli 10 tu in 48 games, wakoana ni hasara wamuuza kwa Ajax kwa 18m Sterling na in 43 games ana goli 31, na maajabu aliyofanya huko UCl achilia mbali kutwaa mataji makubwa huko uholanzi.

Mchezaji anaweza kuwa na potential nzuri lakini asiwike kutokana na mfumo na namna anavyotumika na kocha wake, msisahau hichi kitu! Alikuwa Chelsea akaonekana garasha leo kwetu ni lulu.

Kitendo cha kumuonyesha dharau Klopp ni kitu mbaya sana, huyu agent atafurahia shoo ....
 
I will always stand with Mo salah

FSG waache ujanja ujanja walipe watu vizuri
 
 
1. So rumours of Salah wanting 400k-500k zimekuja from nowhere? kwamba a scouser from toxteth kaamka asubuhi na kuamua ku-put tu hizo rumuors in the streets? what do you understand kuhusu media manipulation kwenye highly profiled contract negotiations katika football? what do you understand kuhusu "full control of narration" kwenye public & media oriented negotiation talks, especially kwenye football? what do you understand kuhusu football politics? you think rumuors huwa zinakuja tu from nowhere?

Now, one of the very reliable LFC jorno, Neil Jones aliwahi ku-report kuwa FSG proposal yao kwa Salah ambayo ipo kwenye table ni 250k p/w, Salah ameikataa hii proposal, he's not bugding in, na pia FSG hawataki kupanda zaidi ya hapo, in december, Salah came out and said "The club knows what he wants, and if it was up to him, he'd like to STAY", then few days later rumours z kuwa he wants 400k-500k zikaingia kwenye media circulations, so kwa mtazamo huo, nani hapo anayetaka ku-claim the upper hand? FSG or Salah? Salah camp haiwezi ku-leak kuwa anataka 400k, itakuwa ni disadvantage na his bid ya kutaka kubakia at LFC ambayo ameshai-declare, FSG dont want to go above 250k, they're failing to convince the best attacker in the world right now, they're failing to convince EPL top scorer, and a man with 8 goals in the UCL this season, they're failing to convince a world class star at the moment, sasa nani ambaye atakuwa anahangaika ku-cover hiyo incomptence? Salah or FSG? who wants to control the narrative here? its FSG and they're winning.

Who mocked Klopp? Salah or his agent? so Salah alimpigia simu agent wake na kumwambia "man, mock klopp, put them emojis out"? you got to be a stupid person to believe this, then unajua how hard it is to deal na hawa AGENTS? LFC mpaka leo hawa-deal na Raiola, ulikuwa around when we were dealing with Sterling agent?, these agents represents players, na kama players wakipata good deals na wenyewe wanakuwa sorted for life, Coutinho alivyoona agent wake wa awali anashindwa kupigana vita ya negotiation na FSG, akambadilisha na kumpa kazi Kia, ambaye haikuchukua months akafanikisha move yake ya Barcelona, agents are not friends of any club dude, you cant expect an agent to respect Klopp, because he's Klopp, Agent anachoongalia ni commission yake tu, and matter of fact LFC ndiyo inaongoza kulipa big agent fees kwenye transfer deals kuliko Club yeyote, na ndiyo maana transfer deals za kina Fabinho, Keita, Salah, Mane, Firmino, Jota, Diaz, Thiago etc zilikuwa smooth, na hii ni power ya agents, they can break/kuvunja transfer deals in a second, kwa sababu ya nguvu waliyonayo katika negotiation, especially kwe fees na wages, na ndiyo maana Edwards aliamua kuja na hii approach.

2. LFC football club, was considered as the best/top football club in the world msimu wa 2019/20, winning the league with 7 games to spare while setting so many memorable records, heights tulizofikia msimu ule ni BORA kabisa kuwahi kutokea kwenye EPL history, alongside with Arsenal's invincibles and Chelsea ya 2004/05, sasa kilele kipi unachokizungumzia? LFC ikishinda treble/quadruple itakuwa ni very impressive new record for the club because ni one-life time occurance, but heights tulizofikia 2019/20 ni top of the lots pia, matter we were on top of europian football for 2 seasons running (2018-19, 2019-20).


3. Dude, i have said in my previous post, Klopp is a MANAGER, you know kazi ya football manager in english football right? but when it comes to financial management, he's just an employee kama employee wengine at the club, because hana LAST SAY kwenye any of club's financial matters, ana exclusive power na kutoa opinions/suggestions but the owners wana LAST SAY, ndiyo maana kuna wachezaji Klopp aliwahitaji na akawakosa kwasababu FSG (the owners) couldnt pay their wages or transfer fee, hii ni nature ya football, then as a MANAGER, on-pitch affairs zote zinamuhusu, kwahyo ni LAZIMA ajue kinachoendelea kwenye negotiation yeyote ile inayomuhusu mchezaji wake, because ana plan team kulingana na wachezaji alionao, mfano now anajua amebaki na Salah kwa msimu mmoja tu (as it stands), so at the end of the days FSG wanatakiwa kuja kumwambia kuwa;

(A). We are still in talks
(B). negotiation have broken down
(C). Salah will leave for free after his last season.

ishu ya kwanza (A), ndiyo details ambazo Klopp anazo, na anajua what the club has offered Salah na mazungumzo yanaendeleje, so akija kwenye presser ni lazima atasema kile ambacho ameambiwa na FSG, unataka aseme kitu gani? hata kama anataka Salah abaki, hana LAST SAY, Mourinho na Conte kila siku wanagombana na owners wakiona hawawi BACKED, lakini mwisho wa siku hakuna kinachobadilika because hawana LAST SAY, na ndiyo maana Conte huwa anaondoka, na Mourinho huwa anafukuzwa owners wakiona kazidisha makelele.

Ishu ya pili (B), FSG ni LAZIMA wamwambie Klopp kuwa negotiation ime-fail ili Klopp aandae new targets in the market, kwasababu yeye ndiyo anaye-plan future ya team on the pitch, so kama FSG wakija na kumwambia negotiation zime-fail and we will sell Salah, Klopp lazima ana-analyze na kuwapa FSG list ya THREE TARGETS (plan A, B, C), anaoona wanafaa kum-replace Salah, na sometimes FSG wanaweza wakashindwa kuzipata hizo targets zote na hakuna Klopp atachofanya zaidi ya ku-plan na alichonacho, mifano ipo mingi.

Ishu ya tatu (C), So Klopp akiambiwa Salah atabaki kwa msimu mmoja, inamaana ataendelea ku-plan na Salah for one last season huku akitafuta solutions za ku-cover eneo lake when he eventually leaves.

4. Being the most feared during less-competitive era doesnt mean nothing, Shankly & Pasley should be remembered for shaping the HISTORY of this CLUB, history ambayo every LFC fan anatakiwa kuwa proud now, BUT football ime-evolve, na ndiyo maana when new experiments zilivyoanza kuwa introduced after 1992 or so, we started to struggle na hizi ni FACTS, as a fan you should respect and honour michango ya Shankly, Pasley & Daglish, but utakuwa ni kipofu kama uta-compare era ya sasa na ile ya kina Pasley, ni 2 different eras, now we are competing na clubs zinazonunua £80m-150m players like its nothing, tuna-compete na clubs zinazolipa players wake wages za £500m-600m like its nothing, we are competing with oil owners with bigger asiparations, and to win and stand firm against these teams you need to be at your VERY BEST, and thats what tunachofanya.

Back then, when LFC were struggling, and had nothing to show for it, nilikuwa najificha sana kwenye kichaka cha HISTORY, my very very very early posts on here can prove this, everyday nilikuwa nabishana na kina Ntuzu, Mentor, Nzi etc kuhusu HISTORY, because my Club wasnt doing GREAT at ALL, so i know LFC history kiundani sana, because i had to research new things everyday ili kubishana na kina Nzi, having said that, i can assure you this LFC team we are witnessing now, is better than any other LFC team in our history.

And jina la STEVEN GERRARD ndiyo jina kubwa kuliko MAJINA ya wachezaji/managers wote waliopitia LFC, and i respect DAGLISH.

We are actually competing every season, what more do you want, kwenye league we're competing with the likes of City & Chelsea every season, kwenye CL tunacompete na Madrid, Barca, Bayern, Juventus, PSG etc, you just cant win "major" trophies every season, the goal is to hang in there at the top and have the power and structure ya ku-compete for major honours every season.
 
SG will be a good coach

But, naona ana-struggle sana kutengeneza defensive pattern in the middle ambayo ina Coutinho.

Coutinho defensive work-rate is not good, ndiyo maana klopp aliamua kumtumia kama inside LW.
 
Hivi hii liverkuku ikiwekwa sokoni Leo itakuwa na thamani hata ya £2BIL kweli..? Kuna mbangaa mmoja anasema Ina pound 5BIL ..hahaha maake ngoja ncheke kwanza😂😂😂
 
Real dope man. Haya mambo ni mapana sana.

Ni pale unaambiwa sio kila kitu ni black and white.

Always a pleasure to have you on board man.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…