Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
KabisaAisee tunachojali sie ni pointi 3 ugenini Emirates hayo ya Manchester City kutufunga ama kumfunga sio wakati wake.
Tuelewane wenzio tunachukua mechi baada ya mechi haya mambo ya kuchukua mechi jumla jumla yaliisha wakati wa akina Fergie na Wenger kwa sasa ligi hii lolote linaweza tokea ndugu.
Tottenham kampige Manchester City lakini kapigwa na Manchester United ambae nae kapigwa na Manchester City yaaani hii ligi haina matokeo ya mfukoni kwa kuweka mambo sawa ni kua positive muda wote kwamba upo ushindi.
YNWA
Unatafuta matatizo na wale maboya hawachelewi kukumwagia mialiko ya conferences September 😂.Cnms ntaingia na kapelo[emoji23]
Ngoja nijichekeche .
Sema tupo tofauti mkuu, sema hiyo dred yake ipo tofauti na hizi nilizozizoea .mimi pia huwa sivutiwi na dred ila kwa hapa nisiwe msiri nimezipenda za huyu dogo.Unatafuta matatizo na wale maboya hawachelewi kukumwagia mialiko ya conferences September [emoji23].
On serious note:
Usisokote aisee..hata huyu TAA nilikuwa namzimia sana,,tangu alivyosokota sijui amekuwaje yaani..kama kavuta bangi Fulani hivi.
Na asili ya nywele yake inachangia.Sema tupo tofauti mkuu, sema hiyo dred yake ipo tofauti na hizi nilizozizoea .mimi pia huwa sivutiwi na dred ila kwa hapa nisiwe msiri nimezipenda za huyu dogo.
[emoji23][emoji23]Nimekuelewa mkuu.Na asili ya nywele yake inachangia.
Ni chotara,,,hana kipilipili.. Ana nywele flani amazing ndiyo maana zipo tofauti na dreads zetu za vipilipili
He has been good to usAC Milan have already made a proposal to sign Divock Origi on a free transfer. He's not extending the contract with Liverpool, current deal expires in June and AC Milan are pushing to complete the agreement [emoji837] #ACMilan
Club confident - working on the deal as reported yesterday. #LFC
We have heard it all before mkuuNi kweli mmeshinda ila mpira mliocheza ni wa kawaida sana sidhani kama mna ubavu wa kushindana na city na mkikutana nao ndio mtajua hamjui
Kwani penalties mpira unaingia masikioni?unazungumzia zile penati mkuu?
Kwani ule usemi wakuwa TT anatengeneza tim ambayo itaogopwa na kila tim umeishia wapi?mkuu kwa sasa tumeishakubali hatuwezi tena kuwakuta tena ..kwa sasa tunakazania kutetea ubingwa wetu wa uefa japo ma giant ndio yamebaki ..ila tutatusua tu kibabe
This is Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
kwani nyie hamuyiogopi Chelsea?!Kwani ule usemi wakuwa TT anatengeneza tim ambayo itaogopwa na kila tim umeishia wapi?
ninyi hamuwezi kupambania kote ..Ni either muchague kati ya uefa ama eplAngalieni tusijewapiga 11 nyingine, Klop sio mtu poa
Mkii weee hupendi dreads ebooo..wewe wa wapi😭😭😂😂Unatafuta matatizo na wale maboya hawachelewi kukumwagia mialiko ya conferences September 😂.
On serious note:
Usisokote aisee..hata huyu TAA nilikuwa namzimia sana,,tangu alivyosokota sijui amekuwaje yaani..kama kavuta bangi Fulani hivi.
Mimi sipendiMkii weee hupendi dreads ebooo..wewe wa wapi[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]
Ivi Mr wako angekuwa nazo usingeolewa naye ..
Mkuu dreads ni nzuri sana acha ushamba mkuu.
Draw ni kesho.
View attachment 2154950
Utabiri wangu leo tutapangiwa city hao
umesahau yaliyowakuta 2018, nje ndaniNataman Sana draw ya city vs liverpool...!
ili tupasuane mapema ,
hao ni wazee wa kukamia, na ndio hofu yangu. hawakawii kutuachia majeruhiMkuu game ngumu kwangu ni kama timu nilitoka sare au nilifungwa.
Lakini hao Man U tumewapiga tano bila wakijitahidi watapunguza magoli lakini kushinda big no.
Timu zote zilizobaki tumeshazifunga round ya kwanza isipokuwa Spurs na man city tulitoa sare.
Sina wasiwasi na timu yoyote zaidi ya hizo.
Vipi wewe ugumu wa timu umeangalia nini?