Boy apewe MOTM yake au VVD wanastahili.I think konate haters leo wamemuelewa
Vice versa is also trueInter Milan 2-0 Liverpool
Bado umesimama au umeinama?Nasimama na inter milan.
Inter Milan 2-0 Liverpool
Mara pap tunakutana kwota fainali haha tukumbushane goli la Luis Garcia miaka ileeeeee..... Ndio utajua hujui.Muna timu mbovu sana.
#CFC💙💙
😂😂😂😂😂 itakuwa amechuchumaa mkuu msamehe 2Bado umesimama au umeinama?
Dah! Ila Inter walikuwa wametushikilia balaaa
Hahaha ndio jamaa wetu wa matukio kama haya.
YNWA
Huyu jamaa na Origi wana zali fulani hivi kwenye mechi za hivi kumbuka ile Club World Cup anawazima wa Brazil nadhani Flamengo dakika ya 99. Au ile mechi anawazima PSG tukashinda yaaani huyu bwana sioni hata Klopp akimwachilia labda yeye mwenyewe aseme anahitaji changamoto mpya.Namna alivyopiga kichwa kile na mpira ulipoingilia,duh me amenishangaza kwa kweli.
Endelea kusimama mkuu,umsifu Bwana wa majeshi.Nasimama na inter milan.
AmelalaBado umesimama au umeinama?