Yeah leo dogo alikua jasiri ngumu kujua hata kama alikua amekaa miezi yote hii kwa daktari...Nilipomuona yuko kwenye benchi nilitarajia anaweza kupata dakika 10-15 ili kumrekebisha na arudi kwenye ubora wake akapata mpira mara mbili na alionekana ana control nzuri na bao lilikuwa zuri. Pia alionekana kutoogopa na hakuonekana kuwa na wasiwasi wowote kuhusu kuuniza jeraha lake. Anyway tunafurahi karudi akiwa kwenye ubora wa huu.
Here come new signings hahaha...
Baunsa leo katoa assist 2 murwa sana. Alikua fire mbaya.Baunsa na Auba wapo bacer kumbe