Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,452
- 32,889
Hahaha yani ni shida hapo unashindwa hata kuchagua nani aende nani abaki ila mimi naona bora Mo aende.🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🧐🧐🧐🧐🧐Hawa Fifa hawana huruma kabisa.
Ndio nini sasa tutakosa uhondo wa kijana wetu mmoja kule Qatar..
Haya mambo bhana hata Europe World Cup play off matata sana inasubiri kati ya Portugal na Italy yaaani hapo mmoja atakosa safari...
Ningependa watue Mane Qatar haha Salah atulie tuna mission kumshusha kipara kutoka Himalayas...
YNWA
Hahaha hii Ballon d'or hua changamoto sana usishangae atakaeshinda hata asifike semi faino kombe la Dunia.Hahaha yani ni shida hapo unashindwa hata kuchagua nani aende nani abaki ila mimi naona bora Mo aende.
Ana jambo lake mwaka huu Balon d'Or 😂😂
Hilo jembe ni Noma.Ruben Neves huyu dogo is destined for bigger team..
YNWA
Yaani hua nashangaa inabaki aje pale Wolverhampton maana kiwango chake sio cha kawaida ni Champions League player huyu.Hilo jembe ni Noma.
Leo kapakatwaSouthampton kawatoa jasho man city nje ndani.
Ilitakiwa agongwe kabisa kabisaLeo kapakatwa
It's not over until is done tushinde game zetu. Viporo tuliovyokuwa navyo itabaki point 6. Tupambane tumpige city zitabaki point 3.Southampton kawatoa jasho man city nje ndani.
It's not over until is done tushinde game zetu. Viporo tuliovyokuwa navyo itabaki point 6. Tupambane tumpige city zitabaki point 3.
Acha uoga ndugu nikujiamin tu in Jota we trustLiverpool inaweza ikatu disappoint leo
But all the best,, crystal palace obviously it's tough game
Lakini angalau tuna uhakika wa kumwona mmoja🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🧐🧐🧐🧐🧐Hawa Fifa hawana huruma kabisa.
Ndio nini sasa tutakosa uhondo wa kijana wetu mmoja kule Qatar..
Haya mambo bhana hata Europe World Cup play off matata sana inasubiri kati ya Portugal na Italy yaaani hapo mmoja atakosa safari...
Ningependa watue Mane Qatar haha Salah atulie tuna mission kumshusha kipara kutoka Himalayas...
YNWA
Kabisa Babu mmoja upo uhakika atatua Qatar.Lakini angalau tuna uhakika wa kumwona mmoja
Jota Magoli hana utani kamkimbiza Ollachuga Oc mafichoni ujue.Acha uoga ndugu nikujiamin tu in Jota we trust