The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 3,238
- 7,585
Gerrard kawapiga toffees atakua na weekend njema sana.
Jamaa ana mpira mzuri sana ngoja tuendele kumtazama atabaki kwenye hii peak kwa muda gani?
Ana kiwango bora sana mbinu nzuri soka la kushambulia good marking ila defensively yupo njema sana. Villa amekuta pia kuna watu wazuri na maingizo mapya Coutinho na Digne watampa kitu...
So far ananishawish kuamini ataiweza Liverpool na epl kwa ujumla.
Best of luck to him...
Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
Jamaa ana mpira mzuri sana ngoja tuendele kumtazama atabaki kwenye hii peak kwa muda gani?
Ana kiwango bora sana mbinu nzuri soka la kushambulia good marking ila defensively yupo njema sana. Villa amekuta pia kuna watu wazuri na maingizo mapya Coutinho na Digne watampa kitu...
So far ananishawish kuamini ataiweza Liverpool na epl kwa ujumla.
Best of luck to him...
Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app