Gerrard kawapiga toffees atakua na weekend njema sana.

Jamaa ana mpira mzuri sana ngoja tuendele kumtazama atabaki kwenye hii peak kwa muda gani?

Ana kiwango bora sana mbinu nzuri soka la kushambulia good marking ila defensively yupo njema sana. Villa amekuta pia kuna watu wazuri na maingizo mapya Coutinho na Digne watampa kitu...

So far ananishawish kuamini ataiweza Liverpool na epl kwa ujumla.

Best of luck to him...

Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
 
Senegal vs Egypt in the WC qualifiers third round (CAF region). So it means one between Salah or Mane will miss this years World Cup πŸ˜‚πŸ˜‚

Captain Marvelous
πŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ§πŸ§πŸ§πŸ§πŸ§Hawa Fifa hawana huruma kabisa.
Ndio nini sasa tutakosa uhondo wa kijana wetu mmoja kule Qatar..

Haya mambo bhana hata Europe World Cup play off matata sana inasubiri kati ya Portugal na Italy yaaani hapo mmoja atakosa safari...

Ningependa watue Mane Qatar haha Salah atulie tuna mission kumshusha kipara kutoka Himalayas...

YNWA
 
πŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ§πŸ§πŸ§πŸ§πŸ§Hawa Fifa hawana huruma kabisa.
Ndio nini sasa tutakosa uhondo wa kijana wetu mmoja kule Qatar..

Haya mambo bhana hata Europe World Cup play off matata sana inasubiri kati ya Portugal na Italy yaaani hapo mmoja atakosa safari...

Ningependa watue Mane Qatar haha Salah atulie tuna mission kumshusha kipara kutoka Himalayas...

YNWA
Hahaha yani ni shida hapo unashindwa hata kuchagua nani aende nani abaki ila mimi naona bora Mo aende.

Ana jambo lake mwaka huu Balon d'Or πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahaha yani ni shida hapo unashindwa hata kuchagua nani aende nani abaki ila mimi naona bora Mo aende.

Ana jambo lake mwaka huu Balon d'Or πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahaha hii Ballon d'or hua changamoto sana usishangae atakaeshinda hata asifike semi faino kombe la Dunia.

Mo atakua kashafika 30 umri hivyo atulie tuliiiiiiii nwa ngoja tuone pazuri ni kwamba uhakika wa kua mmoja wao Qatar upo sasa...

YNWA
 
Screenshot_20220122_195052_com.android.chrome_edit_21993281605497.jpg


DullyJr na Aaron Arsenal remember the man remember the name Diogo Jota...

But guys damn that Martineli kid is full package...

YNWA
 
πŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ§πŸ§πŸ§πŸ§πŸ§Hawa Fifa hawana huruma kabisa.
Ndio nini sasa tutakosa uhondo wa kijana wetu mmoja kule Qatar..

Haya mambo bhana hata Europe World Cup play off matata sana inasubiri kati ya Portugal na Italy yaaani hapo mmoja atakosa safari...

Ningependa watue Mane Qatar haha Salah atulie tuna mission kumshusha kipara kutoka Himalayas...

YNWA
Lakini angalau tuna uhakika wa kumwona mmoja
 
Back
Top Bottom