MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,208
- 2,591
Sasa ambaye hajielewi Kati yangu mm na ww ni yupi??Ila ww jamaa sijui hujielewi? Yaani unataka watu tu post kitu unachokitaka ww? Kila mtu anapost kutokana na feelings alizo nazo hili nijukwaa huru bhana usituletee ujuaji hata sisi ni mashabiki wa Liverpool bhana japo tukipoteza au makosa yakitokea tunapaswa kutoa hisia zetu em kwenda zako huko.
Unanikataza kufanya kitu ambacho ww unakifanya kwenye paragraph hiyohiyo
Kama ww Ulikuwa unajua hili ni jukwaa huru then mm nimetumia uhuru wangu kama ww ulivyotumia wa kwako
Sent using Jamii Forums mobile app