Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

You ain't that new to me brother

Kwa sababu hatucoment sana hapa usidhan kuwa hatupit katika jukwaa hili au sisi ni wagen

ET enz hizo unaitwa King ngwaba so am I supposed to be afraid of you

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ww jamaa sijui hujielewi? Yaani unataka watu tu post kitu unachokitaka ww? Kila mtu anapost kutokana na feelings alizo nazo hili nijukwaa huru bhana usituletee ujuaji hata sisi ni mashabiki wa Liverpool bhana japo tukipoteza au makosa yakitokea tunapaswa kutoa hisia zetu em kwenda zako huko.
 
Keita ni injuries

But his impact in games Iko clear

You rarely see the cm scoring like naby

Ni basi tu sometimes tuko bised na British media

Keita stats are way better than perceptions
I remember Keita wa RB duuh was in dreams kumuona na ule uzi namba 8 wenye heshima ya Steve G.

How i wish that form that pushed FSG to fork those chums kumnunua yaaani sometimes i just feel for the boy.

YNWA
 
Wakati sisi sahani la carabao lipo jikoni tunapakulia ubwabwa ,mengine yapo kabatini ........


Nyie mnashangilia kuingia final
 
We always celebrate

More ucl glory
Most consistent team in the past few years
Best stadium ambience

More haters everyday
Sio kwamba upepo umekata ....

Mmeanza kugombania masahani ambayo city tunalia msosi kila siku
 
City ?

Kumbe wewe ni city?

Wa juzi?

Apologies nephew

I thought ninamjibu painkiller super modereta wa enzi zetu tunaanzisha huu uzi

Go back and do your homework son

Your mama is proud of you
Ohoo hata Mimi ni super moderator ,ila Sina mpango wa kupiga ban mtu
 
City ?

Kumbe wewe ni city?

Wa juzi?

Apologies nephew

I thought ninamjibu painkiller super modereta wa enzi zetu tunaanzisha huu uzi

Go back and do your homework son

Your mama is proud of you
Jf since 2010 ,...

Wakati jf wanaleta habari za Bitcoin ulikuwa wapi mkuu ,at that time BTC ilikuwa inauzwa $2.12 ...

Au ulikuwa mbishi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom