Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp teh teh teh anapenda small squad haha dakika ya 80 tupo toothless hivi like serious khaaa sasa angalau Salah anazidi kupata pointi za kudai mshahara zaidi maana Salah ni creator, ni goal scorer yaaani....

Poor Liverpool hivi tumefika aje hapa jamani...

YNWA
 
Dk 80 Arsenal wapo pungufu lakini hatujapuga shot on targett hata 1.
Hahahaha aibu ya karne.... Sio tu shot on target tazama final 3rd tulivyo pwaya..

Wekedi hii tupo na The Bees haha kama nawaona Tony na Mbuemo watakavyotutesa..

Au tuseme ndio ile dry spell ishaanza mapema hivi kama ndio hiiii basi huu ni mwanzo tu mfunge mkanda...

YNWA
 
Hahaha Taikumi kakosa aje paleeee.. ukiona Salah, Mane wanapewa nafasi usinune aisee khaa ile sio ya kukosa..

YNWA
 
Hahahaha aibu ya karne.... Sio tu shot on target tazama final 3rd tulivyo pwaya..

Wekedi hii tupo na The Bees haha kama nawaona Tony na Mbuemo watakavyotutesa..

Au tuseme ndio ile dry spell ishaanza mapema hivi kama ndio hiiii basi huu ni mwanzo tu mfunge mkanda...

YNWA
Kaka mkubwa nilikwambiaga lakini hii timu hii
 
Kaka mkubwa nilikwambiaga lakini hii timu hii
Mkuu uliona mbali sana.
Haya yote umekua ukisema mara kwa mara.
ukweli ndio huu hatuna depth ya kikosi haya mambo sasa aidha Klopp au FSG kuna mmoja soon ataona vipeperushi uwanjani aisee haiwezekani iwe business as usual aisee..

Bila Mane bila Salah tupo toothless hivi yaaani...

Mpaka leo sijawai elewa hii combination ya Milner na Henderson kwa kweli Klopp hua anaona nini kwa hawa wazee,bure kabisa wanarukaruka uwanjani tu..

Jota Firmino Takumi mhmh no comment...

Ugenini Arsenal gemu inakua ngumu zaidi sasa..

Hii sio pale mara ooh Klopp hana mpango na mickey mouse trophies wala nini tumekamatika hatukua na ideas za KU penetrate Arsenal yaaani dakika 95 hatuna shot on target.

YNWA
 
No short on target [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna mjinga atakuja kutetea maujinga ya hendo na Milner kompliti midifidasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji174][emoji706]
Curtis Jones got on bana dakika za mwisho akapangua Ramsdale. 😂😂😂

Ila it was very poor from us today. Hata sielewi niseme kitu gani.
 
Liverpool next Thursday tutakuwa na, Arthur, Smith Rowe, Odegaard, Tomiyasu... Mna uhakika mko tayari kweli au mtaomba mechi iahirishwe?
Hii audacity mnaitoa wap watoto wa arsenal yaan draw na Liverpool Ndó kibur kinawajaa hv???


Tukija kuwafunga 4 au 5 Kama tunavyowafanyaga ndo mtafurah cyo??
 
Adjustments.jpg
 
Hivi hayo majina uliotaja hapo kuna world class player hata mmoja ?
Kwani timu zenye world class player ndo hazifungwi?

Ukue basi kifikira,mbona wewe mkubwa kabisa.[emoji35]

TUSIANDIKE KUONESHA UJUAJI. point Yako Haina mashiko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom