Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Link wadau, natumia live football tv ila inazingua mtandao uko chini mno
 
It's about time Curtis Jones na Morton wa step up. Kisha tusajili Bissouma.

Get rid of Hendo.
Na hii ndio 1st 11 bila wale Wanyamwezi wetu kule Afcon yaaani we are doomed...

If i were Klopp kwanza napambana kuhakikisha FA na Carabao zinatua Anfield pia napambana Champions League itue Anfield maana kwa haya ninayoona leo huyo Pep mapema wapewe EPL in sky blue ribbons...


YNWA
 
Na hii ndio 1st 11 bila wale Wanyamwezi wetu kule Afcon yaaani we are doomed...

If i were Klopp kwanza napambana kuhakikisha FA na Carabao zinatua Anfield pia napambana Champions League itue Anfield maana kwa haya ninayoona leo huyo Pep mapema wapewe EPL in sky blue ribbons...


YNWA
Sure mkuu nafasi yetu ya kushinda taji lolote imebaki huko ulikotaja tu. Ila PL hakuna matumaini kabisa.
 
Sure mkuu nafasi yetu ya kushinda taji lolote imebaki huko ulikotaja tu. Ila PL hakuna matumaini kabisa.
Aibu nyumbani Anfield mechi ya kushinda kusogea zaidi kwenda Wembley kucheza fainali Carabao ndio tunacheza hivi duuh mpaka sasa hatuna proper move ya kuzaa goli yaani tupo tupo tupo...


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom