Actually kwa sasa wanaolalamika ni wengi tu makocha Conte, Rodgers, Gerrard, Pep, Raghnick, Klopp, Benitez nk..
Wanachosema ni mechi zisimame kwa muda kuwe na muda wa kupata recovery kwa wachezaji waliopata corona pia kupata muda ku fumigate maeneo ya mazoezi na viwanja nk..
Klopp alisema wasikilizwe zaidi watalaam wa afya wanavyoshauri kuliko watendaji wa Ligi ambao sio watalaam wa afya.
So sar Liverpool vijana wanajilinda vya kutosha hatujapata outbreak ya covid hata gemu ya leo imeaahirishwa kutokana Leeds kua na outbreak kikosi cha kwanza...
YNWA