Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi kweli kuna haja ya kua mechi mbili za Carabao za nyumbani na ugenini...

Hapa sio sawa kwa mazingira yalivyo duuh hawa wachezaji siku watagoma ili wasikilizwa aisee maana wanatumika mno..

YNWA

Hakuna haja,labda mechi ya kwanza kama mmetoka sare ila kama mmoja ameshinda ilitakiwa biashara iishie hapo.

Sijajua hasa walikuwa wanataka nini kuweka hivyo nusu fainali.
 
Hivi kweli kuna haja ya kua mechi mbili za Carabao za nyumbani na ugenini...

Hapa sio sawa kwa mazingira yalivyo duuh hawa wachezaji siku watagoma ili wasikilizwa aisee maana wanatumika mno..

YNWA
Kaka Ukisema wachezaji wanatumika, wanacheza mechi moja kwa wiki na wanapokea mishahara mikubwa, vipi kuhusu manesi, madaktari, madereva nk?
 
Hakuna haja,labda mechi ya kwanza kama mmetoka sare ila kama mmoja ameshinda ilitakiwa biashara iishie hapo.

Sijajua hasa walikuwa wanataka nini kuweka hivyo nusu fainali.
Ni ngumu kuelewa aisee yaani hawa Waingereza na utamanduni wao hua vichwa ngumu sana yaaaaani huwaambii kitu hapo...

Hii ilitakiwa mechi moja tu ikitoka sare kuwe na penati.

YNWA
 
Kaka Ukisema wachezaji wanatumika, wanacheza mechi moja kwa wiki na wanapokea mishahara mikubwa, vipi kuhusu manesi, madaktari, madereva nk?
Mkuu ni hivi kabla ya corona haya mambo ya wachezaji kutumika sana yalikua hata hayapo kivile aisee ila sasa vikosi vinaadhirika sana unakuta kikosi kina wachezaji 14 tu wazima wa Team A/B na ambao nusu ni bench warmers aafu unaambiwa kuna mechi 22/12/21 na 26/12/21 na mechi 28/12/21 na mechi 2/1/22 na ndani ya wiki 5 mechi watakua wamecheza 10 hivi je unadhani output itakua ile ile.

Bila corona husikii hizi kelele za welfare ya wachezaji ndugu.

Kuhusu madokta na menesi my goodness Mungu awabariki sana kwa kujitoa kwao muda wote especially kipindi hiki kwa ugojwa huu usiotabirika lakini wenyewe wapo front line.

YNWA
 
Mshaanza kuogopa game mnaanza kujificha kwenye kivuli cha korona ....wekeni timu uwanjan kama nyie ni wanaume aisee
 
Get well Stevie.
Screenshot_20211226_115120_com.android.chrome_edit_448765172898187.jpg



YNWA
 
ni malalamishi ya Klop tuu hata kabla ya corona, alishazoea ujerumani timu 18 ligi, na michuano miwili tuu, tangu aje huyu mwamba ikifikaga desemba lazima alalamike
Actually kwa sasa wanaolalamika ni wengi tu makocha Conte, Rodgers, Gerrard, Pep, Raghnick, Klopp, Benitez nk..

Wanachosema ni mechi zisimame kwa muda kuwe na muda wa kupata recovery kwa wachezaji waliopata corona pia kupata muda ku fumigate maeneo ya mazoezi na viwanja nk..

Klopp alisema wasikilizwe zaidi watalaam wa afya wanavyoshauri kuliko watendaji wa Ligi ambao sio watalaam wa afya.

So sar Liverpool vijana wanajilinda vya kutosha hatujapata outbreak ya covid hata gemu ya leo imeaahirishwa kutokana Leeds kua na outbreak kikosi cha kwanza...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom