Nusu fainali liver vs nani?Mungu atufanyie wepesi kama ninaona fainali tushatinga
Tutacheza na ArsenalNusu fainali liver vs nani?
Thanks much.Carabao na ueropa alikuwa Simon, kumbuka ndio ulikuwa mwaka wa kwanza wa Jürgen (2015/16) season
Karius ilikuwa final ya uefa (2018/19)
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Rogers bado ni kocha mzuri, kitu alishindwa ni kupambana na ule 'uhuni'😂.mechi ya jana imeprove pia Rogers ni kocha wa kawaida kushindwa kuifunga liverpool ile wakati tayari aliongoza goli 3
Nilijua tu lazima atasema hivo 😂😂, ile kelele ya wekundu sio mchezo eroo
Vijana jana wamenipa usingizi mtamu sana aiseee! Kipindi cha kwanza pressure ilikuwa juu!Atateseka sana aisee😂😂😂👌
Liverpool tunaupiga mwingi 🔥
Vijana wapo vizuriVijana jana wamenipa usingizi mtamu sana aiseee! Kipindi cha kwanza pressure ilikuwa juu!
Ndo tushashinda hivyo kwa penalt.Munashindwa mpiga Leicester munaenda adi mapenati..!!! kweli nyie matakataka.
Mkuu sisi hatufikagi uko na timu kama za aina ya liverkuku. Ivyo mapema kipindi cha kwanza tunakuwa tumemaliza mchezo.Ndo tushashinda hivyo kwa penalt.
Tunasubiri timu lenu nalo tulicharaze kwa penalty.
Njoo hapa tubet.Mkuu sisi hatufikagi uko na timu kama za aina ya liverkuku. Ivyo mapema kipindi cha kwanza tunakuwa tumemaliza mchezo.

Mkuu sisi Chelsea linapokuja suala la kombe huwa hatuna cha kupoteza. Fainal yeyote ile tukikutana na nyie basi mjiandae kisaikolojia. Tukishamkamata yule Salah nani mwingine atafunga? Sisi ndio Chelsea bwana..Njoo hapa tubet.
Lichelsea mnalodraw kila siku ati unawaza mtacheza na sisi mshinde!
Chalii amka usingizini![]()