Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Shujaa. Sio kama Karius Captain Marvelous 😂😂
Hahahaha hivi Karius alifika fainali ngapi Liverpool
Carabao tukapigwa nadhani Chelsea
Uefa cup tukapigwa
Champions League tukapigwa.

Hivi hizo mbili alikua golini yeye ama ni Champions League tu...

Yule bwana mdogo anahitaji msaada arudi angalau kwa mid table teams...

YNWA
 
Hahahaha hivi Karius alifika fainali ngapi Liverpool
Carabao tukapigwa nadhani Chelsea
Uefa cup tukapigwa
Champions League tukapigwa.

Hivi hizo mbili alikua golini yeye ama ni Champions League tu...

Yule bwana mdogo anahitaji msaada arudi angalau kwa mid table teams...

YNWA
Carabao na ueropa alikuwa Simon, kumbuka ndio ulikuwa mwaka wa kwanza wa Jürgen (2015/16) season

Karius ilikuwa final ya uefa (2018/19)

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Good Morning kopites
Good morning liverpool
jana tumeupiga mwingi.

mwanzo nilikuwa disappointed,,nikaacha kuangalia mechi..
aisee vijana wa kazi wakanirudisha kwenye mechikwa dakika chache.,wakaupiga mwingi ule mpira😂😂👌

Leo nacheck marudio ili mtaalam Captain Marvelous akitoa analysis humu nipate cha kuelewa.

LFC for Life❤
❤YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom