Game ishakuwa mbayaMkuu Saint Anne leo kuna gemu tupo nyumbani dhidi ya Leicester City...
Gemu ishaanza.
YNWA


Hahahaha Rodgers kaweka kikosi full huku kwetu Klopp kaweka kulingana na hali halisi iliyopo ukizungatia wengine mpaka sasa wapo na corona hawajapona..Game ishakuwa mbaya
Roho inaniuma mno..
Nikalale tu![]()
Kwamba EPL apewe kipara ama.Msimu mwingine bila kombe kwa upuuzi wa KLOPP.
Mkuu Mimi nakuhakikishia hapa nikiwa kama shabiki wa Liverpool, Klopp hamtoi Pep pale juu na kama huamini subiri Game ya Leicester city na Chelsea utajua Gap letu na City litakuwaje.Kwamba EPL apewe kipara ama.
Kwa hili nasimama na Klopp ndugu.
Tuna mechi za EPL 3 kali balaa tazama hapa...
Tuna mechi 26/12/21 vs Leeds
Tuna mechi 28/12/21 vs Leicester
Tuna mechi 2/1/22 vs Chelsea.
Je unakumbuka ile gemu ya Champions League msimu uliopita alivyoumia Jota tena tukiwa tume qualify na lile jeraha lakaja kutu cost parefu sana msimu uliopita... Hivyo Klopp lazima ajue priority kwa sasa ni EPL na UCL huku kwingine ni mara FA au Carabao ni kujikongoja hivi hivi...
YNWA
tumewapangia kikosi dhaifu, na kwenye ligi usidhani tutawafunga kirahisi kisa tumepumzisha watuKwamba EPL apewe kipara ama.
Kwa hili nasimama na Klopp ndugu.
Tuna mechi za EPL 3 kali balaa tazama hapa...
Tuna mechi 26/12/21 vs Leeds
Tuna mechi 28/12/21 vs Leicester
Tuna mechi 2/1/22 vs Chelsea.
Je unakumbuka ile gemu ya Champions League msimu uliopita alivyoumia Jota tena tukiwa tume qualify na lile jeraha lakaja kutu cost parefu sana msimu uliopita... Hivyo Klopp lazima ajue priority kwa sasa ni EPL na UCL huku kwingine ni mara FA au Carabao ni kujikongoja hivi hivi...
YNWA
So you are coming with the excuse that you don't what this trophy right?then which one are you going to win because we all know that man city will win Epl.Let's the young Reds express themselves...
Leicester the better team...
No coincidence we are behind Rodgers want this trophy than we do and who can blame him they got the FA last season wakiwafunga Chelsea Mei 2021 hivyo na hili wachukue tu sababu kupambania EPL wamechemka msimu huu.
YNWA
Man,,At the end of the day trophy is trophy whether you called it.........shinda kilichopo mbele yako kwanza kisha ndio uangalie ya baadae,