Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu Mimi nakuhakikishia hapa nikiwa kama shabiki wa Liverpool, Klopp hamtoi Pep pale juu na kama huamini subiri Game ya Leicester city na Chelsea utajua Gap letu na City litakuwaje.
Nina imani ndugu tunakwenda jino kwa jino yaaani wasituzidi pointi nyingi mpaka tunamaliza February tukiwa tupo within kwa pungufu ya pointi 6 basi ndugu nitaamini lolote linawezekana..

Pep wako moto sana lakini wanafungika hilo linajulikana...

Kwa hizo gemu ulizotaja ni maombi yangu tu VVD, Fabinho wawe wamerejea na pia tusiwe na covid mpya...

YNWA
 
So you are coming with the excuse that you don't what this trophy right?then which one are you going to win because we all know that man city will win Epl.
Hapana ndugu naongelea Klopp kupumzisha kikosi chake cha kwanza na kuwapa hawa vijana nafasi kwamba binafsi nasimama na Klopp kupanga hawa makinda leo maana hali ishakua tete kutokana na corona hivyo wachezaji waliobaki wazima wa kikosi cha kwanza ni wachache na games are coming thick and fast hivyo managing our main priority is the priority that is EPL..

About Manchester City winning he is the favourite any day of the week and he has been since atue Ethad but along th way wengine tumepatamo hivyo we gonna try again and take our chances..

YNWA
 
Most local realistic trophy kwa Leicester ni hii Carabao na FA hivyo sishangai..

YNWA
Man,Trophy is Trophy Manchester city amewin hili kombe zaidi ya mara 5 because they took it seriously and recognised it is a Trophy.

AT THE END OF THE DAY TROPHY IS A TROPHY WETHER YOU CALLED IT MICKY MOUSE OR WHATSOEVER.
 
Man,Trophy is Trophy Manchester city amewin hili kombe zaidi ya mara 5 because they took it seriously and recognised it is a Trophy.

AT THE END OF THE DAY TROPHY IS A TROPHY WETHER YOU CALLED IT MICKY MOUSE OR WHATSOEVER.
With Manchester City riches its really surprising wanakosa aje Champions Leagues mpaka sasa maana vikombe vingine vyote vya local wanajichukuliaga tu now and then..

YNWA
 
No Origi No Problem

Haya dakika 15 tu nani anataka kuungana na Origi kuwa new cult hero wa Kops hahaha the clock is ticking...

YNWA
 
Mwaka huu mnaondoka bila kikombe tena, ligi kuu anajulikana bingwa ni city, Uefa nayo anaweza chukua city, bayern au mwenye Uefa yake R.Madrid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom