Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,606
- 2,280
United ni ugonjwa! Fergie yupo Kama kamungu flani hivi, heri yetu sisi. Klopp ni manager kabisa, ana mamlaka kamili japo anashirikiana na watu vizuri. Kuna clipp niliiona YouTube jamaa ni CEO waukweli hata baada ya Dortmund alikuwa akitumiwa na makampuni mbalimbali duniani yasiyo ya kisoccer Kama CEOMkuu Albaab binafsi kuhusu usajili bado naamini hawa makocha walio timu kubwa kama United na Liverpool huwa hawapewi mamlaka kamili ya nani aondoke na nani aje. Bado kunakuwa na ushawishi wa watu flani flani kwenye maamuzi yao nje ya uwanja. Tofauti na City,ni kama Mansour amemkabidhi Pep timu na pesa yeye amdai mataji tu.
Chukulia mfano mdogo tu wa ujio wa Ronaldo pale united,sidhani kama alisajiliwa kwa matakwa ya Ole lakini utafanyaje wao wanamtaka legend wao?
Kuna influence za kibiashara pia kwa nini mchezaji fulani aje hata kama kuna option zuri zaidi yake.
Klopp ukileta ujuaji kama Xhakiri utakiona cha mtema kuni, hata Coutinho alishauriwa akawa mkaidi akaachiwa