Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Upo sahihi sio tu wachezaji pale Ethad Pep aliwachomoa jamaa zake wengi tu kwenye management kutoka Barcelona..

Pep pale Ethad anakua na say ya mwisho kuhusu recruitment na kwa sababu pesa ipo wala hilo haliumizi kichwa na ndio maana Pep hua mtata sana pale wachezaji wanaleta za kuleta kutofuata protocol maana wapo answerable kwake mpaka kwenda klabu nk...

Yaya Toure, Kompany, David Silva, Aguero ni baadhi tu ya wachezaji walioodelewa na Pep pale Manchester City wakiwa bado wanacha ku offer uwanjani lakini Pep alitaka ku stamp his authority ni wale wakiwa senior figures kuna namna ya ku deal nao na vitu hivyo ambavyo Pep dont give a shit yeye anataka supreme authority period...

YNWA
Na hiyo ndo inavyotakiwa, hata yule Rangnick wa utd anaonekana faru kwelikweli sizani Kama ronaldo atajaribu umachinoo pale.
Unaambiwa hata Tuchel nae ni gaidi kwelikweli akikuchukia utatamani ujifukie ardhini mwenyewe!@
 
Kwani kipindi hiki si Klopp alikua ameajili mtalaam wa hayo mambo ya ku panic nk hahaha au lugha na Karius ilikua mtihani...

Sasa cha kujiuliza ndugu huyo huyo Karius baada ya pale kama kweli ilikua bad day in the office mbona amepotea timu hazimtaki aisee yaaani huyu Liverpool wanaona bora kuvuja mkataba nae maana bei ngumu kuuza imagine kutoka kucheza fainali UCL na kujikuta alivyo sasa...

Just one word for Karius ni OVERRATED.
Karius baada ya ile final hajawahi kurecover psychologically, uko uturuki waligoma kumlipa mshahara karibu mwaka mzima 😂😂
 
Kwani kipindi hiki si Klopp alikua ameajili mtalaam wa hayo mambo ya ku panic nk hahaha au lugha na Karius ilikua mtihani...

Sasa cha kujiuliza ndugu huyo huyo Karius baada ya pale kama kweli ilikua bad day in the office mbona amepotea timu hazimtaki aisee yaaani huyu Liverpool wanaona bora kuvuja mkataba nae maana bei ngumu kuuza imagine kutoka kucheza fainali UCL na kujikuta alivyo sasa...

Just one word for Karius ni OVERRATED.

YNWA
He never recovered from that match kaka. Ila kuwa honest, what's your assessment of Karius kabla ya ile final?
 
Na hiyo ndo inavyotakiwa, hata yule Rangnick wa utd anaonekana faru kwelikweli sizani Kama ronaldo atajaribu umachinoo pale.
Unaambiwa hata Tuchel nae ni gaidi kwelikweli akikuchukia utatamani ujifukie ardhini mwenyewe!@
Ebana nasikia Tuchel noma sanaaa....

Pale Manchester United wachezaji wana pawa sana aisee sijui ule utaratibu walipata wapi kuwapa kichwa...

YNWA
 
He never recovered from that match kaka. Ila kuwa honest, what's your assessment of Karius kabla ya ile final?
To be honest we had a mediocre team back then kind of.. We had a leaking defence starting with the goolie he had no commanding presence in the back just watch how vocal is Allisson ujinga ujinga kwake haupo he shout, direct na very authoritative , weak MF bila HM wa kueleweka man...

Karius was the was the space goat for that final failures... We didn't click most likely baada ya ile sub ya Salah baada ya kuumia we want AWOL...

If you remember well ni kwamba baada ya ile fainali Klopp redid the gengenpressing to what we see today. Maana back then we could be up 3 nil and all a sudden there we are being beaten or drawing and something had to change.. Ndio leo hii unaona we can win 1 Nil so many games when in full kikosi...

That defeat made Klopp and the remaining boys a better team ready to conquer and surely within 4 years going to 4th time Uefa finals winning once is no small joke... We have learnt the hard way though and we still have rooms to improve...

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Karius baada ya ile final hajawahi kurecover psychologically, uko uturuki waligoma kumlipa mshahara karibu mwaka mzima 😂😂
Poor lad i just feel for the boy...

That final is gone and dusted..

May he find himself and enjoy playing again he does not deserve this but again its all on him taking the next step..

We gave him the platform the rest ni yeye kujituma, kujiamini, kupambana.

YNWA
 
🥂🥂🥂🥂Yaaani haya magazeti ya majuu majanga si mchezo eti Liverpool nasi tupo mbio za kumnasa Halland.

Halland ndio strika mwenye kutupiwa macho na ma heavy weight wote wa mpira yaaani Real Madrid, Manchester City, Manchester United, Chelsea, PSG, Barcelona na hatimae Majogoo tupo kwenye mix haha ngumu kumeza ama nani anauzwaaaaaa jamani...

Au ndio FSG wanataka kuleta sapraizi of the century mara pap Mbappe na Halland wanatua kuteka dunia.

Tutaanza na sisi kusema nani haiogopi Liverpool tena kwa sauti ya Ollachuga Oc ..

YNWA
 
Kwa kikosi cha Leicester na liva nataka kuona maajabu ya kutokua na benchi reliable
 
Squad Tonight.

Kelleher; Williams, Gomez, Quansah, Beck; Morton, Milner, Oxlade-Chamberlain; Gordon, Minamino, Firmino

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom