Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Goli lilibaki tupu.
Nimeogopa.



Btw tumewanyooosha.

Wamefurukuta huku mwisho ila tuliwashika balaa.
Hako kaGerrard katakuwa kanaumia lakini kanafurahia baba lao liver

Mtoto wa nyumbani huyu lazima tumnyooshe.
😆😆😆😆Kagerrard....

Huyu siku zote mpe heshima yake muite kwa jina lake Gerrard... Ka sio status yake.

Hakuja kutoa sare au kugawa pointi alikuja kusaka ushindi angalau tumewadhibiti vyema sana leo.

Gemu ya pili sasa tunashinda kwa 1 bila. Hii ni habari njema kwamba ukuta wetu sasa unazidi kuimarika kadri tunavyosonga mbele...

YNWA
 
Kagerrard....

Huyu siku zote mpe heshima yake muite kwa jina lake Gerrard... Ka sio status yake.

Hakuja kutoa sare au kugawa pointi alikuja kusaka ushindi angalau tumewadhibiti vyema sana leo.

Gemu ya pili sasa tunashinda kwa 1 bila. Hii ni habari njema kwamba ukuta wetu sasa unazidi kuimarika kadri tunavyosonga mbele...

YNWA
Angetufunga Gerrard yaani ningeshinda njaa siku nzima.
Amefurukuta pale mwisho lakini wapi tukamwambia Gerrard wewe ni mtoto wetu.

Nampenda sana nimetumia 'ka' kwa sababu ni mtoto wetu.,,ila ni mtu mkubwa sana,na appreciate juhudi zake na natamani siku za mbeleni akiiva arudi nyumbani kutucoach.
 
Angetufunga Gerrard yaani ningeshinda njaa siku nzima.
Amefurukuta pale mwisho lakini wapi tukamwambia Gerrard wewe ni mtoto wetu.

Nampenda sana nimetumia 'ka' kwa sababu ni mtoto wetu.,,ila ni mtu mkubwa sana,na appreciate juhudi zake na natamani siku ,mbeleni arudi nyumbani kutucoach.
Well said.

Khaa hili la kua kocha nasemaga isiwe on a silver plate yaaani he has to have all the merit maana hatutaki turejee kununua akina Downing, Andy Carroll nk huku tukiambiwa Jerry Spearing ndio next Steve Gerrard hahaha ooh my my.

Tusiruhusu wakati huo ukifika ma feelings yatuchanganye kwa vile tu ni home boy 😂😂😂😂😂...

So far ameamza vyema sana pale Villa tena kwa wachezaji ambao amewakuta hajanunua anaowahitaji na ukitazama kwa umakini utaona kuna changes kubwa sana ya hii Villa team na ile ya Dean Smith. Kinachonifurahisha wanacheza kama unit na hili waangalie wakiwa hawana mpira utaona wanavyo move kuusaka kwa pamoja yaani Steve kazi yake inaeleweka vyema sana.

YNWA
 
Hivi huyu Max Aarons kweli inashidikana kupeleka ofa pale Norwich.

Huyu dogo hua namkumbali sana.

Kuna kipindi walitajwa ma heavy weight Bayern Munich, Juventus,Barcelona, Liverpool kumfuatilia lakini hakuna alietoa ofa.

Tunahitaji proper back ya TAA na huyu dogo atampa changamoto aisee kama ambavyo Tsimikas amempa Robertson challenge basi na huyu dogo naamini ni levo hizo.

YNWA
 
Well said.

Khaa hili la kua kocha nasemaga isiwe on a silver plate yaaani he has to have all the merit maana hatutaki turejee kununua akina Downing, Andy Carroll nk huku tukiambiwa Jerry Spearing ndio next Steve Gerrard hahaha ooh my my.

Tusiruhusu wakati huo ukifika ma feelings yatuchanganye kwa vile tu ni home boy ...

So far ameamza vyema sana pale Villa tena kwa wachezaji ambao amewakuta hajanunua anaowahitaji na ukitazama kwa umakini utaona kuna changes kubwa sana ya hii Villa team na ile ya Dean Smith. Kinachonifurahisha wanacheza kama unit na hili waangalie wakiwa hawana mpira utaona wanavyo move kuusaka kwa pamoja yaani Steve kazi yake inaeleweka vyema sana.

YNWA
Yaani mmojawapo atakayechanganywa na feelings katika kumchukua Gerrard ni mimi
Nimeendekeza mahaba mbele kuliko vigezo.
 
Yaani mmojawapo atakayechanganywa na feelings katika kumchukua Gerrard ni mimi
Nimeendekeza mahaba mbele kuliko vigezo.
😂😂😂😂😂Ana muda wa kutosha kabisa kujiweka sawa aisee.

Let's say Klopp hataongeza tena mkataba come 2024 basi itakua ni muda mwafaka wa kumpata mridhi kipindi hicho na bila shaka Steve G atakua high on the list...

Kama vipi tubaki na msaidizi wa Klopp Pep Lijnders haha huyu ni Klopp in out.

Muda utasema kijana wetu mkongwe aka the Supreme Legend atakua kaiva vipi ikifika 2024.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom