Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu mwamba ndugu waliuza mahindi nk kumpa nauli kwenda Dakar ndio maana yupo humble na very giving nyumbani kwao Senegal. Yule mjumba wake ambae alisimama kidete dogo atoke kimaisha dogo alivyotoka alimjengea bonge la nyumba na gari mpya kabisa.

Mamake mzazi hua haangalii mechi maana kuna kipindi aliangalia Mane akapata jeraha hivyo tangu hapo akaapa mechi hapana.


Kesho ni Mohamed Salah aka the Last Pharaoh..

YNWA
Oh kuna kipindi nilisikia amedonate ujenzi wa masjid huko kwao Senegal.
Mungu azidi kumuweka.

Nasubiri kwa hamu mkuu.
 
Adjustments.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom