The Last Pharaoh aka Egyptian Messi..
. Majina yake ni Mohamed Salah Hamed Mahrous Ghaly.
. Amezaliwa 15/6/1992 Kijiji cha Nagrig eneo la Basyoun Egypt.
. Idol wake kwenye mpira ni Brazilian Ronaldo, Zinedine Zizou na Totti.
. Akiwa na miaka 7 alivutiwa kucheza mpira na hajawa kurudi nyuma tena.
. Alikua anakosa shule na kutembea kilomita 3 kufanya mazoezi.
. Alijiunga na Lttihad Basyoun mwaka 2004 na 2005.
. Mwaka 2005 2006 akajiunga na Othamason Tanta.
. Mwaka 2006 mpaka 2010 alijunga na El Arab Contractors akiwa na miaka 14 na kusaini mkataba wake wa kwanza..
. Mwaka 2012 alisaini Fc Basel ya Uswisi mpaka 2014.
. Mwaka 2014 alisaini Chelsea wakimnunua kwa £11m. Hakudumu Chelsea wakimpeleka kwa mkopo Fiortena mwaka 2015.
. Mwaka 2015 2016 alijunga na Roma kwa mkopo na kuwasaidia kumaliza Serie A nafasi ya pili msimu wake wa kwanza.
. Mwaka 2016 2017 Roma walimsaini kwa £15 japo ilitokea sintofahamu kati ya Roma na Fiortena ni nani alikua na haki ya kumnunua kesi ikiamuliwa kwamba Roma hawakua na kosa lolote.
. Juni 2017 Liverpool walitoa ofa ya £36.9mkwa Roma ikiwa na adds on mpaka £43m na wakafanikiwa kumsajili.
. Ndio mchezaji wa kwanza kutoka Misri kusajiliwa Liverpool.
. Klopp alimbadili kutoka natural winger na kumfanya awe forward na msimu wake wa kwanza akifunga magoli 32 ikiwa ni rekodi mpya ya EPL tangu kuanzishwa mechi 38 za Ligi. Msimu huo alishinda kiatu cha mfungaji bora.
.pia akawa mfungaji bora msimu wa 2018-2019. Ikiwa ni joint accolade.
.ni Runners Up UCl 2017-2018.
. Akiwa Liverpool ameshinda yafuatayo
- UCL msimu wa 2019
- Super Cup msimu wa 2019.
- Club World Cup msimu wa 2019.
- EPL trophy 2019 2020.
. Mchezaji bora Africa mwaka 2017.
.mchezaji bora Africa mwaka 2018.
. Ndio mchezaji aliefunga magoli mengi EPL kutoka Afrika akiwa na magoli 108 Liverpool na Chelsea akiwafungia 2.
.Alioa rafiki wake wa miaka mingi Magi Sadeq mwaka 2013 na amebarikiwa watoto wawili wa Kike, Makka Mohamed Salah na Kayan Mohamed Salah.
. Mshahara wake analipwa 200,000k kwa wiki akiwa amebakiza miezi 18 tu mkataba uishe Liverpool. Kwa mwaka analipwa mshahara wa usd 24m.
.Ana mikitaba mingi ya biashara kama vile Adidas, Falken, Vodafane, Tires, Uber nk na hizo endorsement zinamfanya awe 5 bora ya wachezaji wanaopata ela nyingi sana kwa mwaka huu 2021. Inasadika hizi endorsement anapata usd 13m kwa mwaka.
. Staili yake ya uchezangi ni quick, dribbling with speed, flexible, team player, accurate finisher na very composed even under pressure..
. Ana miliki magari ya kifahari kama vile Lamborgin, Toyota Camry, Audi Q7, Mercedes benz AMG, CLE Coupe, Mercedes Benz SLS, Mercedes Benz AMG Roadster. Nk.
YNWA