mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,180
- 3,458
Mi natumia yacinetv kwangu haisumbuiiNaomba app nzuri ya kuangalizia match.
Jana nimeangalia kwa tabu sana.
Mi natumia yacinetv kwangu haisumbuiiNaomba app nzuri ya kuangalizia match.
Jana nimeangalia kwa tabu sana.
Hofu YANGU ni mwezi January pale mane,Salah na keita watakapokuja AFCON
Shukrani mkuuMi natumia yacinetv kwangu haisumbuii
Install hii app huwa haisumbui hata kidogo.Naomba app nzuri ya kuangalizia match.
Jana nimeangalia kwa tabu sana.
Si mbaya naimani klopp atamleta yule mwamba Adama Traore akiwemo na Takumi itakua poa tu.Hapo ni Mane na Salah tu, Keita hata awepo Mpira wake anaishia kucheza Wodini.
Duuh humo hua naangalia Super Sport ndugu yangu.Naomba app nzuri ya kuangalizia match.
Jana nimeangalia kwa tabu sana.
Nimempa labda hataki yang anataka yakoDuuh humo hua naangalia Super Sport ndugu yangu.
Ngoja waje wadau hapa watakujuza.
YNWA
Ndio maana jana mashabiki wa Everton wakawa hivi..... Yaaani hata kabla ya lawama kwa Benetiz unakosa aje kutoa lawama kwa board ya Everton sijui wameishiwa ela ama vipi.
Jana pia Anger was also director at Marcel Brands and Bill Kenwright with chants of ‘sack the board’ also ringing around Goodison.
The anger directed towards the directors may force the club’s hierarchy into a change.
Katika dirisha la August 2021 Benetiz hakua backed, he got £1.7million only to spend. He brought in Andros Townsend, Demarai Gray and Rondon. Yaani alitumia contact zake kuleta wachezaji. Hakua backed na mkwaja wa maana.
Benetiz ni victim of being where he is in the wrong time.
YNWA
Wacha ujinga mwamba, mimi Mzaramo?Hivi kwanini mashabiki wengi wa Liverpool ni wazaramo?
Bwana wee mbona tayari mechi ijayo yupo hewani.Nimempa labda hataki yang anataka yako
Duuh Legend Rafael ana hali mbaya sana karidhi matatizo makubwa sana pale Everton na pia majeruhi waliopo kwake nako pigo aisee... Walianza vizuri sana huu msimu sasa gemu ya 8 bila ushindi aisee ndio maana sasa mashabiki wanamzomea aisee.Benitez tangu amuuze Alonso mpaka leo kila timu lazima afukuzwe tu hawezi kukakaa muda mrefu,me nasemaga laana yakumuuza Alonso bado inamuandama maana Baada ya hapo hajawahi kuwa kocha Bora tena.
Kuna tatizo kwani?Hivi kwanini mashabiki wengi wa Liverpool ni wazaramo?
HahahaaaKuna tatizo kwani?