Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Chelsea kule wanatafutana kutokana na majeruhi walio nayo wakati huo wao walikuwa wanatuombea mabaya sisi kuwa mara tutapata majeruhi. Trevoh Chaloba nae majeruhi kule ukimuombea mabaya mwenzako ndio yanakukuta mwenyewe.
 
Sikumalizia match ila naona vijana walimaliza vizuri mno,waliendeleza kichapo


Wacha leo nifanye kazi ya kuangalia marudio.

YNWA
Jana ilikua mechi muhimu sana.
Fact za jana ni..
kwa mara ya kwanza baada ya miaka 39 kupita tumewafunga Everton magoli 4 Goodison Park. Mara ya mwisho kuwafunga goli nyingi ilikua chini ya Paisley tukiwafunga goli 5 pale Goodison Park.

Rafae Benitez ndio meneja wa pili kufundisha hizi timu mbili. Akiwa kwanza Meneja wa Liverpool 2004 mpaka 2010 na hatimae sasa ni Meneja wa Everton.

Meneja wa mwisho kufundisha timu hizi mbili ilikua ni karne ya 19 akiwa ni William Edward Barclay alikua meneja wa Everton mwaka 1888 mpaka 1889. Na kufundisha Liverpool mwaka 1892 mpaka 1896.

Ni miaka 11 sasa Liverpool hajapoteza mechi ugenini Goodison Park.

Klopp kasema ndio ushindi wake wa kwanza murwa sana dhidi ya Everton.

YNWA
 
Utasikia kajamaa ....Liverpool tunaenda kuchukua epl na uefa ....


Unabaki unasemaaa hiiiiiiiiiiii...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom