Good Man
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 932
- 1,173
Kabisa, hata Mane msimu jana alikua na kiwango kisichoridhisha lakini alikomaa nae hakumtupa, hii ndio sababu nafikiri wachezaji wetu wanampambania sana uwanjani sababu na yeye hawatupi hata waki perform below par klopp will be in their corner to defend them. Hata kwenye usajili nahisi ni hivyo hivyo hapendi kikosi kipana maana hawezi ku rotate huyu mzee.Huyu mzee anguko lake kama lipo na haya maupenzi kwa jeshi lake huku akisahau na pia akina Tsimikas waliletwa kuupiga wa kutosha kupata namba za uhakia.. Lets be honest no player want to play second fiddle to any one kama hali inaruhusu na too bad kwa Robbo sasa asubirie benchi apate recovery ya kutosha kuna gemu zake zile za kukimbiza....
Tsimikas has weakness so do other players lakini hilo sio kikwazo kwake ku perfom..
Kesho kama vipi Tsimikas aanze aisee...
YNWA

