Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie munawafunga wavimba macho Basi munaona Muna timu kumbe ni Trush tu.

Kwani mpaka Sasa Muna matumaini ya kubeba ubingwa nyie kuku?

Kwani hamuyiogopi Chelsea??!
 
Bdo na Steven gerad nae Frank alishindwa arteta nae kafeli
Comment kama hizi huwa zinafurahisha sana, Arteta alipofeli ni wapi mkuu?

Huwezi kumfananisha Arteta na makocha wengine kama Solskajaer / Lampard cuz Circumstances walizokuta kwenye timu zao ni tofauti, hata Xavi na Pirlo wamekutana na Mazingira bora kuliko Mikel. BtW Arteta is the youngest coach in the league na progress inaonekana.
 
Comment kama hizi huwa zinafurahisha sana, Arteta alipofeli ni wapi mkuu?

Huwezi kumfananisha Arteta na makocha wengine kama Solskajaer / Lampard cuz Circumstances walizokuta kwenye timu zao ni tofauti, hata Xavi na Pirlo wamekutana na Mazingira bora kuliko Mikel. BtW Arteta is the youngest coach in the league na progress inaonekana.
Swa mkuuu will Jr ngoja tuone Frank amekuta mazingira magumu sana amekaaa msimu mzima bila kusajiri wakati msimu huuu arteta ndio EPL Ndio katumia pesa mingi za usajir na alipofika tu alisajir ssa unataka kuniambia arteta amepitia changa moto gana? Kwan Frank alikuwa kocha mzeee Steven nae mzee vip xavi pirlo je wanatofauti gani na arteta ngoja tuone
Have a Good Sunday BROTHER
 
Swa mkuuu will Jr ngoja tuone Frank amekuta mazingira magumu sana amekaaa msimu mzima bila kusajiri wakati msimu huuu arteta ndio EPL Ndio katumia pesa mingi za usajir na alipofika tu alisajir ssa unataka kuniambia arteta amepitia changa moto gana? Kwan Frank alikuwa kocha mzeee Steven nae mzee vip xavi pirlo je wanatofauti gani na arteta ngoja tuone
Have a Good Sunday BROTHER
Arteta has managed to give his side a top structure, timu aliyoikuta ilikuwa haiendani na the Idea behind, wachezaji wengi hawakuwa good Enough within the structure, ila Baada ya kupata baadhi ya wachezaji anaowataka na wanaoelewa mahitaji yake kimuundo nadhani unaona kinachotokea, the issue ni Experience & maturity sababu this is the youngest team in Epl.

Umefeli kwenye Variables unazotumia kujudge uwezo wa kocha.

Vita ya Lampard, Ole, Solkajaer kwamba nani zaidi nadhani kila kitu kipo sawa sasa kinajieleza
 
Ila safu yenu ya uzuiaji ni utopolo. Yaani mechi 12 mmefungwa goli 11.

Yaani kwa ratio ya kawaida manake mna uwiano wa 0.9 kwa kila mechi lazima mruhusu goli
Lazima iwe hivyo always timu inayoshambulia sana kwa kutumia wings, LB na RB lazima iruhusu magoli inshu inakuja nani anaondoka na points.. Hapo sasa ndio Liverpool inaonekana bora na kuupatia sana huo mfumo thus y TAA anaonekana kama genius wa hiki kizazi beki mweye assist za maajabu...
YnWa
 
Lazima iwe hivyo always timu inayoshambulia sana kwa kutumia wings, LB na RB lazima iruhusu magoli inshu inakuja nani anaondoka na points.. Hapo sasa ndio Liverpool inaonekana bora na kuupatia sana huo mfumo thus y TAA anaonekana kama genius wa hiki kizazi beki mweye assist za maajabu...
YnWa
Duh!! Nyie mashabiki wa kops ni wasahaulifu sana, mmesahau mlivyokuwa na ukuta mgumu wa vvd season ile iliyopita mliochukua ubingwa plus safu nzuri ya ushambuliaji?

Kwenye ukweli semeni tu ukweli kuwa kwa sasa beki yenu ni dhaifu na sio mnajificha kwenye kichaka cha ushambuliaji bora.
 
Duh!! Nyie mashabiki wa kops ni wasahaulifu sana, mmesahau mlivyokuwa na ukuta mgumu wa vvd season ile iliyopita mliochukua ubingwa plus safu nzuri ya ushambuliaji?

Kwenye ukweli semeni tu ukweli kuwa kwa sasa beki yenu ni dhaifu na sio mnajificha kwenye kichaka cha ushambuliaji bora.
Ukuta gani mgumu mzee maana huo msimu tulifungwa goli 33! Nachokuambia ni kitu kilekile cc tulifunga goli 85 so point ndo zinatubeba unakuta tunashinda 3-1 au 4-2... Lakini tunaondoka na points 3.. Liver haijawahi kuwa na mpira wa kundefence.. Hata siku moja toka enzi za kina Suarez na raheem liver inashinda goli nyingi ila ukuta ni wa biskuti...

Huo msimu wa 19/20 ambao tulibeba ubingwa hadi kufika round ya 12 tulikua tumefungwa goli 10 na cc tulikua na goli 28!
Lakini msimu huu round ya 12 tumefungwa goli 11 na cc tuna goli 33! Nazani utakua ushapata picha...


YnwA
 
Smart execution...

Hivi baada ya VVD kufuzu kombe la dunia 2022 ni kama ameongeza ari na umakini aisee.

Jana he was brutal...

YNWA
VvD has always been excellent. Mind you he has never lost a PL match at Anfield 😜.

The injury that kept him off for the whole of last season was a major setback and surely we wouldn't expect him to return akiwa form sana. But now he's getting back to where he was. A very commanding CB. Yule hata mimi nikipewa namba pale nicheze nae mbona tunatoa ma cleen sheets shazi tu.
 
VvD has always been excellent. Mind you he has never lost a PL match at Anfield 😜.

The injury that kept him off for the whole of last season was a major setback and surely we wouldn't expect him to return akiwa form sana. But now he's getting back to where he was. A very commanding CB. Yule hata mimi nikipewa namba pale nicheze nae mbona tunatoa ma cleen sheets shazi tu.
Bwana wee he sure when playing at top level makes the difference pale defence and jana he was a class of his own really active when the game demanded... Was really impressed how he assisted dogo Tsimikas defence wise.. And boy like when he shout where to hold the line and jana were not caught sleeping at all we raised to the occasion in style...

When Liverpool play in unit we are such a formidable opponent.. Jana was typical Liverpool unit in show..

Mind u Arsenal had not lost a game played 10 previously without losing so means Arteta getting his gang heading in the right direction but jana at Anfield they were shown how its done to be top team..

Now VVD should build his reaction from his super performance jana going forward..

Great pia to see all our front boys were on the score sheet..

Next game EPL ni Liverpool vs Southampton and my prayers are with the boys tutoke salama dhidi ya Porto bila majeruhi...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom