Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,264
Analoga nini huyu kocha?Tuseme ukweli jamani tuna bonge la Kocha yaaani hua nikiangalia hiki kikosi hua siamini matokeo tunayopata yaaani...
Klopp kama Klopp is the best..
YNWA
Analoga nini huyu kocha?Tuseme ukweli jamani tuna bonge la Kocha yaaani hua nikiangalia hiki kikosi hua siamini matokeo tunayopata yaaani...
Klopp kama Klopp is the best..
YNWA
Jamaa ananogesha matokeo kweli kweli.Peter Drury huyo. He's a poet of a commentator
Imeku prove wrong mkuu
Nadhani ndio the best commentator katika football history. Jamaa anajua sana asee ukimsikiliza ni burudani tosha kabisa.Jamaa ananogesha matokeo kweli kweli.
Bado huamini?
Na ndo ukute partnership yake na Jimmy Beglin,, ni moto sana mkuu.Nadhani ndio the best commentator katika football history. Jamaa anajua sana asee ukimsikiliza ni burudani tosha kabisa.
Ndio uchezaji wao huo sio kwamba walituachia. Ndio uwezo wao ulipoishia 😂😂😂Man U leo walijiandaa kufungwa maaana walituachia nafasi zote za kuchezea mpira na walikuwa hawakabi kabisa
Man U leo walijiandaa kufungwa maaana walituachia nafasi zote za kuchezea mpira na walikuwa hawakabi kabisa
Hatari sana. Hata hivyo alikuwa nae leo. Hao wawili ndio top.Na ndo ukute partnership yake na Jimmy Beglin,, ni moto sana mkuu.
Kwa hiyo Pogba aliamua kujipa kadi nyekundu kuzidi kumsilibia Solskjaer?!!🤣Man U leo walijiandaa kufungwa maaana walituachia nafasi zote za kuchezea mpira na walikuwa hawakabi kabisa
Ronaldo yupo kweli?
Ooh hamjasajili timu itakuwa mbovu..wapiii?
Hapa natafuta mkufu wa malkia wa Gosheni nivae na Mimi niitwe king salah hahahhaha... Shikamoo mzee baba hiyo buku kumi nitumie may tukichukua ubingwaHii RAHA nlonayo, mtu akinisalimia tu nampa buku 10!![]()
Leo Liverpool wamenifurahisha hadi nimeibuka kwa uzi.


Hongereni sana
Timu zinazogawa uroda zimeshaanza kujitangaza waziwazi
Haya sasa TOT kazi kwenu, City watajilia mpaka wachoke, Watford pia mjiandae
Sisi Chelsea tutakawia kidogo lakini twaja nyuma mwisho wa November tutamalizia raha hapo
Maneno kama haya ni Vizuri angeuasema Ollachuga lakini sio Legend kama wewe (Joking).
Nadhani unaelewa wazi Manure anapokutana na Liverpool huwa hakuna mechi rahisi kama unavyodhani, huwa wanafufuka from nowhere kutufunga au kulazimisha sare.
Ndani ya miaka 5 iliyopita EPL tumeweza kuwafunga mara 2 tu (Naweza kusahihishwa). Hii yote ni kuthibitisha ugumu na kukosa mbinu tunapokutana na Manure.




How you doing sweetheartLeo Liverpool wamenifurahisha hadi nimeibuka kwa uzi.
Hello doctor![]()
