Kwa taarifa za media mazungumzo yameanza na agent wa Salah yuko Liverpool tunavyoongea kukutana na Salah na pia kwa ajili ya mazungumzo na klabu kuhusu mkataba mpya wa mshahara wa paundi laki 5 kwa wiki, Liverpool wanaweza kunegotiate hata 350k wale giants wa spain hawana pesa kwa sasaAkuu nani anahitaji miaka 30 ije ndio tupate huo ubingwa haha akuuu... FSG ndugu yangu hawa mabeberu wapo cash tight yaaani mshahara wa Salah lazima uwe generated na klabu na si vinginevyo hapo tu ndio ishu ilipo usishangae hawajaanza nae mazungumzo kwa vile numbers zinagoma kuja maana hawa hawanaga utani kwenye ela aisee na ukumbuke pia expansion ya uwanja inaanza soon hivyo hili la Salah tuwe na subira kabisa usije kuta hata sio priority kwao maana hata Klopp alivyoulizwa alisema hana cha kusema.
YNWA
So far so good. Naona ujio wa Jota umeleta ushindani sana. Bobby alishaanza ku relax nadhani baada ya kuona nafasi inaenda kwa Jota ameanza kukaza.Msimu uloisha walitia hofu kiasi cha kutamani wapate changamoto ya wenzao wapya tutegemee nini msimu huu kwa huu mwanzo wao?
Na iwe hivyo makumbaliano yafikiwe asaini chap chap tunahitaji wachezaji walio bora EPL izidi kunoga..Kwa taarifa za media mazungumzo yameanza na agent wa Salah yuko Liverpool tunavyoongea kukutana na Salah na pia kwa ajili ya mazungumzo na klabu kuhusu mkataba mpya wa mshahara wa paundi laki 5 kwa wiki, Liverpool wanaweza kunegotiate hata 350k wale giants wa spain hawana pesa kwa sasa
Pep anakwambia anaecheza vyema na apangwe tu hakuna namna na kwa sasa Jota ajitazame kwenye umaliziaji hayupo clinical anakosa kosa nafasi nyingi sana aisee...So far so good. Naona ujio wa Jota umeleta ushindani sana. Bobby alishaanza ku relax nadhani baada ya kuona nafasi inaenda kwa Jota ameanza kukaza.
Hii italeta manufaa kwetu kwakuwa Jota nae sasa atashtuka kuwa kuna mtu anachukua namba yake nae atakaza. In the end ushindani wao utakuwa ni wa manufaa kwa team.
Yes Jota anatakiwa kweli aongeze umakini kwenye kumalizia nafasi. Anakosa sana za wazi japo huwa anafunga nafasi ngumu zaidi na magoli ya muhimu.Pep anakwambia anaecheza vyema na apangwe tu hakuna namna na kwa sasa Jota ajitazame kwenye umaliziaji hayupo clinical anakosa kosa nafasi nyingi sana aisee...
YNWA
Swali, Liverpool mnauwezo wakulipa 500 Kwa week? maana ubahili mlionao siyo wa sayari hii.Developing Gossip.
Mo Salah's agent Ramy Abbas Issa flew into England on Saturday - fuelling speculation of further talks over a new Β£500,000-a-week deal for the Egyptian king.
Source Sky.
YNWA
Yaani sis hatuna uwezo wowote kwenye hio nambari inayotajwa 500k...kama kuna mahala aidha PSG, Bayern, Citizens nk wanaweza kumlipa hio ela basi hatuna namna aisee maana Salah anajua huu ndio mkataba wake wa mwisho anaosaini akiwa na umri unaompa bargaining power kiasi fulani.Swali, Liverpool mnauwezo wakulipa 500 Kwa week? maana ubahili mlionao siyo wa sayari hii.
Yeah bila TAA hua tunapwaya kushambulia japo jana dogo Neco katoa assist moja murwa sanaaaaaa... Hopefully hio itampa building angle kujiamini zaidi na zaidi kwamba anaweza kua super sub anapohitajika..Yes Jota anatakiwa kweli aongeze umakini kwenye kumalizia nafasi. Anakosa sana za wazi japo huwa anafunga nafasi ngumu zaidi na magoli ya muhimu.
I hope analifanyia kazi hilo.
So far kwenye team yetu tunahitaji tu reinforcements kwenye eneo la beki ya kulia na kiungo.
Thanks very much. 3 points better goal difference whats a day.
Always our pleasure to have you around.
YNWA
Kuna timu leo imebebwa na Mola tu
Bwana wee naona na nyie jana mmekomaa kweli kweli.Mkuu hongereni kwa ushindi. Naona mko moto hatari
Sio bure Mane alimind kwanini Mendy hakuwa kwenye shortlist ya Balon d'Or
Bwana wee naona na nyie jana mmekomaa kweli kweli.
Tunashukuru kwa kweli kila gemu sasa imekua mchakamchaka kwetu.
YNWA
mc tominay, fred, , bissaka, magwaya ,shaw,martial, greenwood, matic, lindelof, lingard, sancho hawa hakuna hata mmoja anaweza pata namba first eleven man city au liverpool. Pogba Ronaldo hawa ni majina tuu wamebakiDuuh kama ambavyo unamuona Degea ndio bora tu pale basi na hao unaosema huwaelewi ndio wanaona wengine ni bora aisee...
Binafsi naona wapo wachezaji wazuri tu mbali mbinu za mwalimu ndio mtihani mpaka jana Ole kasema alikosea upangaji wa kikosi na mfumo.
YNWA
Hata Continho walitamani abaki ikashindikanaBinafsi nina imani watam sort atulie Anfield kwa miaka mingi ijayo yaaani tupate raha zaidi...
YNWA
πππππBwana wee Mendy jana kaonyesha kwa nini anapata namba kua chagua la kwanza...Kabisa ila wale watoto siyo wa kuwaangalia ivi wanaweza kukutoa Rohoo[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Jana kuanzia dk ya 70 niliacha kunywa wine. Nikabaki kushika kichwa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nampongeza kijana Mendi na Cholobah hakika walifanya kazi nzuri pale nyuma.
Cholobah aliokoa goli la wazi mendy pia akasave goli kama sita ivi[emoji2957][emoji2957][emoji2957].
Zingekubali zote tungepigwa wiki kama mlivyopigwa na Aston Villa [emoji23][emoji23]
Kuna jamaa yangu ni mshabiki wa man u lia lia amenitumia voice note jana ananiambia team ni kubwa kuliko kocha. Yani Man U wana wachezaji ila kocha hamna.Duuh kama ambavyo unamuona Degea ndio bora tu pale basi na hao unaosema huwaelewi ndio wanaona wengine ni bora aisee...
Binafsi naona wapo wachezaji wazuri tu mbali mbinu za mwalimu ndio mtihani mpaka jana Ole kasema alikosea upangaji wa kikosi na mfumo.
YNWA
Binafsi naona hapo Greenwood, Shaw, Sacho, Bissaka ni wachezaji wazuri ila sasa kupata uzuri wao kimatokeo kocha ajue namna ya kuwatumia...mc tominay, fred, , bissaka, magwaya ,shaw,martial, greenwood, matic, lindelof, lingard, sancho hawa hakuna hata mmoja anaweza pata namba first eleven man city au liverpool. Pogba Ronaldo hawa ni majina tuu wamebaki