Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwanamke ulilialia ili tupate kadi nyekundu maana ulihisi hiyo ndio njia yako kushinda.

Vipi ulishinda?
Mungetueleza kwamba golini mna magolikipa wawili....tungewaelewa.....Reece James na mend....

Mna daka mipira halafu mnataka huruma ya kutokupewa kadi.....

Kiufupi pressing ilizid mpaka mkaamua kudakaaa mpiraa
 
Mungetueleza kwamba golini mna magolikipa wawili....tungewaelewa.....Reece James na mend....

Mna daka mipira halafu mnataka huruma ya kutokupewa kadi.....

Kiufupi pressing ilizid mpaka mkaamua kudakaaa mpiraa
Haya tulipungua golini akabaki kipa mmoja... pressing ikaenda wapi?
 
Yaan ...ulinganishe Trent na Reece...


Alonso na robartson
Matip na azipl
Fabinho na jorginho
Mane na Werner
Lukaku Salah
Firmino na Kai

We jamaaa Ni kichaaaa akili yako haiko sawaaa


Kiufupi...ng'oro kante ndo mchezaji pekeee wa kupata Namba pale Liver....the rest Ni walevi walio kutana baar ...wakaamua kuomba nafasi ya kucheza team ya wapaki bus
 
Sisi sio kituo Cha kupaki mabasi.....tuna uhakika na forward zetu .....sio nyie...masajir mapipa tena kwa hela kibao halafu halifung
Lile furushi li nguruwe sijui kule mbele huwa lipo kwaajili ya kutisha wachezaji tunlili? Wangemsajili hata Adama Traore [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mane ana consistency mkuu? Naomba unijibu kwanza hilo.
 
Ona hii kunguni... Zaidi ya Nusu ya wachezaji wa chelsea wanaingia kwenye kikosi cha Liver kuku.
Kwahiyo mane, vvd, salah, allison, arnold andy hawa hawaanzi chelsea? Utakuwa umerogwa wewe
 
Mwanamke ulilialia ili tupate kadi nyekundu maana ulihisi hiyo ndio njia yako kushinda.

Vipi ulishinda?
Kwani siku ile mlikuwa na magolikipa wangapi? Hivi lile pipa kule mbele ukitoa chelsea linaweza pata namba timu ipi nyingine?
 
Et kumsaidia Milly shida zote zile wakati uwezo hana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuku kama wewe ulishindwa kumng'oa ukiwa nyumba kwako tena Chelsea wakiwa pungufu unategemea nani atamng'oa pale juu,bila shaka jamaa ataendelea kupigwa na barafu pale kileleni.
Time will tell sijui utaificha wapi sura yako
 
Haya majitu ya Chelsea yanayo kuja kutuchafulia uzi wetu tutaenda nayo sawa sawaaa..,wakitaka tuzungumze mpira tutazungumza tena kwa stahaa...

Mkileta shit...tutakuja na shit x10
 
Hili jamaa linahoja za kitoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787], kwani hiyo UEFa umeshawahi ibeba peke yako? Watu walichukua league na hiyo UEFA at the same time lakini hawajitapi kama ww.
 
Hv ni msimu gani Liverpool ilibeba UEFA na LEAGUE?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…