koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,787
- 10,394
mmh
Gini uwezo wake mdogo ndugu
Gini uwezo wake mdogo ndugu
Wakope khaaa FSG hio hapo kabisa ndugu.. Hawa wanasema klabu ijiedeshe yenyewe ndio maana ile sera ya sell 1st buy later hawawezi kuicha kamwe maana ishawapa mafanikio ya kuokoa pesa ambazo wangetoa mfukoni ama kukopa...Edward sio anatoa pesa tutamuonea tu baba wa watu.
FSG ndio kirusi. Na tukizungumziaga usajili ndio tunaletewa mahesabu meeeeeengi yasiyotusaidia Liverpool taasisi kubwa wakope mbona madrid ilikua ina madeni ila makombe waliyachukua.
Wanajitetea sana hawa FSG mpira pesa pesa inaleta watu wakupiga kazi.
FIFA wameliweka sawa ishu imeisha wanacheza wekedi hii na pia mechi za UCL wanacheza.... Wacheza wa Paraguay, Brazil, Mexico ruksa kucheza.Alison ,firimino ,na fabiho wamepigwa ban hawatakiwi kucheza ndan ya siku tano ...
Waligoma kwenda kucheza timu zao za taifa ..
Babu Scot angadaka vizur ,ni mkongwe ....FIFA wameliweka sawa ishu imeisha wanacheza wekedi hii na pia mechi za UCL wanacheza.... Wacheza wa Paraguay, Brazil, Mexico ruksa kucheza.
Ingekua powa sana kwako maana golini angekaa babu Scott Carson na sipati picha mechi yako na Leicester leo ungechezea ngapi....
YNWA
Babu Scot angadaka vizur ,ni mkongwe ....
Nyie kumkosa Alison , Bobby,na fab walahi msingeweza kumfunga leed
Firmino kwanza majeruhi hata kesho sidhani kama atacheza..Babu Scot angadaka vizur ,ni mkongwe ....
Nyie kumkosa Alison , Bobby,na fab walahi msingeweza kumfunga leed
Kauli hizi hutolewa na waliofeli maishaSo far Liverpool ni arse8 itakayokuja kuchangamka.
Wewe ni pepo mchafu.Kauli hizi hutolewa na waliofeli maisha
Umeoga?Wewe ni pepo mchafu.
Wachawi mna maisha magumu sana.Umeoga?
maana unatuletea mahaalllufu halluuufu tu kwenye jukwaa lwtu
peleka kinyesi jukwaa lenu
Firmino kwanza majeruhi hata kesho sidhani kama atacheza..
Allison ni top keeper anahitajika sanaaaa..
Fabinho huyu bado aisee anahitaji real work out apate match fitness ya kutosha.
YNWA






Come on Leeds United..
Piga ukuni wa kutosha hizi kuku..


Ollachugaaa tafadhali waombee hata draw nimeweka 15k ujue


Ww unaizid Liverpool nn ....mbna una ukiazi mwingiiWachawi mna maisha magumu sana.
Tottenham mshenzi sana, kamkosesha raia 2m kizembe zembe mkeka wa bukuCaptain Marvelous mambo vip?
Leo nimekuja kukutia moyo ukaliwashe moto kwa wale Leeds ili EPL iwe tamu. Safari hii hatutaki yale magepu makubwa makubwa. Natamani competetion iwe kwa hizi timu: Chelsea, Liverpol, Man City, Man u na Arsenal madogo zetu ili Epl iwe tamu
Leo nawabetia ole wenu sasa mfungwe. Jana arsenal, man u, Chelsea, Psg, Ajax, Ranger, Celtic na Zenit wamenipa mchango wa Harusi. Leo zamu yenu kunipa supu ya kesho.
Kila la kheri liverpol


Hahahaha eti umepata mchango wa arusi haha imekaaaa powaaaaaaaaaaa...Captain Marvelous mambo vip?
Leo nimekuja kukutia moyo ukaliwashe moto kwa wale Leeds ili EPL iwe tamu. Safari hii hatutaki yale magepu makubwa makubwa. Natamani competetion iwe kwa hizi timu: Chelsea, Liverpol, Man City, Man u na Arsenal madogo zetu ili Epl iwe tamu
Leo nawabetia ole wenu sasa mfungwe. Jana arsenal, man u, Chelsea, Psg, Ajax, Ranger, Celtic na Zenit wamenipa mchango wa Harusi. Leo zamu yenu kunipa supu ya kesho.
Kila la kheri liverpol