Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
😂😆😀Chini ya Captain Thomas Tuchel kila goti litapigwa.
Nasema hiviii ..kila goti litapigwa na kukiri kwa ndimi zenu kuwa "hakika huyu ndio kocha"
Kuna ambaye hayiogopi Chelsea??
CFC
😂😆😀Chini ya Captain Thomas Tuchel kila goti litapigwa.
Nasema hiviii ..kila goti litapigwa na kukiri kwa ndimi zenu kuwa "hakika huyu ndio kocha"
Kuna ambaye hayiogopi Chelsea??
CFC
Tunakikosi kipanaLiverpool Champions League Squad.
Goalkeepers: Alisson, Kelleher, Adrian
Defenders: Van Dijk, Matip, Gomez, Konate, Alexander-Arnold, Robertson, Tsimikas, Phillips
Midfielders: Henderson, Fabinho, Thiago, Milner, Keita, Oxlade-Chamberlain, Elliott
Forwards: Salah, Mane, Firmino, Jota, Minamino, Origi
Likely List B: Jones, N. Williams, Beck, Koumetio
YNWA



Huku hakuna maji ya bei rahisi wewe ..rudi kwenu huko kanywe maji ya kisima.
Robert firmino now ni injury tunaanza kupata injury mapema hv what do we expect?
Kazi aliokua anifanya kipindi hamna viungo asaivi keshakua shit?. Ndokwanzaa mechi ya pili hii.Firmino sio pengo he's shit anyway
Ndo mkome na litimu lenu bahili hiloKwa mapato yapi?View attachment 1925236
😂😂😂😂😂😂😂😂.... Tupo vizuri sana.Tunakikosi kipana![]()
Labda anajiona Messi ha ha haaa akipewa 300 ujue za kwenye magazeti.Kwa mapato yapi?View attachment 1925236
Kazi aliokua anifanya kipindi hamna viungo asaivi keshakua shit?. Ndokwanzaa mechi ya pili hii.
Tupo vizuri na wengine wesha zeeka? kule mbele kuna Salah na Jota tu waliobaki ni shit uzuri huo tunautoa wapi?😂😂😂😂😂😂😂😂.... Tupo vizuri sana.
YNWA
Sina swali mkuu nimekuelewa ngoja tuone hao waliobaki wakimudu majukumu yao tutakua wapi.Alichokuwa anakifanya kilikuwa ni kazi yake na alikuwa akilipwa kwa hicho na wala haikuwa akifanya kwa Hisani. Hivyo hatuwezi kumtukuza aliyoyafanya kama kwamba ulikuwa ni Msaada au Hisani yake tu wakati ilikuwa ni kazi yake anayolipwa.
Kuhusu Kuwa ndiyo kwanza mechi 2 hiyo ni kauli yenu ya kila Msimu lakini ukweli ni kwamba tokea Msimu mzima uliopita tulilalamika kuwa Firmino hamna kitu tena.
Yes He's a shit wala sijutii kusema hilo.
Even Sadio Mane ukiniuliza muda huu nitakwambia He's a Shit! Any question?
Anayebembelezwa ni Yule anayefanya Hisani na sio yule anayelipwa kufanya Kazi halafu akashindwa kutimiza Majukumu yake.
Manga ML salama....Tupo vizuri na wengine wesha zeeka? kule mbele kuna Salah na Jota tu waliobaki ni shit uzuri huo tunautoa wapi?
Hao wanao mtaka si watie hela tupate za kubusti timu![]()
MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Liverpool, Mohamed Salah amewaambia mabosi zake kuwa anataka kupewa mshahara mnono ili afanye kazi kwa raha akiwa ndani ya kikosi hicho.
Nyota huyo raia wa Misri uwezo wake ni wa hali ya juu na ni miongoni mwa washambuliaji wanaopendwa na mashabiki wa Liverpool pamoja na benchi la ufundi na anatajwa kuwa kwenye rada za timu mbalimbali Ulaya zinazowinda saini yake.
Salah anataka kuwa mchezaji ambaye analipwa mkwanja mrefu zaidi kwenye timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp ambaye hivi karibuni alieleza kuwa amefanya mazungumzo na nyota huyo kuhusu kuongeza mkataba mpya.
Kwa sasa kinara anayelipwa mkwanja mrefu ndani ya Liverpool ambayo ni timu kubwa Ulaya ni beki wao wa kati kitasa Virgil van Dijk ambaye analipwa pauni 220,000 kwa wiki na Salah anataka awe anakunja pauni 500,000 kwa wiki.
PSG ilikua likely destination kwa Salah wangeuza Mbappe kwenda Real Madrid..Hao wanao mtaka si watie hela tupate za kubusti timu