Mkuu ni kweli Soccer kwa sasa inahitaji mpunga mrefu na kusajili wachezaji wenye viwango. Klopp ameitengeneza Liverpool mpaka sasa Liver imesimama. Lakini Mabos wake ndiyo wanamuangusha katika kuimarisha timu. Assume Salah na Jota au TAA wamepata injury kwenye Safu yenu ya ushambuliaji kumpata mchezaji kama Salah kwenye kikosi ni ngumu sana.Du soona tuna wa join DullyJr na Aaron Arsenal kwenye haya mambo...
Hii ni EPL sio American soccer.. What has worked 2019 might not work 2021 so mixing new incomings with the current boys unapata something new in the field as long as quality incomings...
So meaning Elliott, Jones, Jota, TAA watakua below 30 by 2023 hahaha...
Yaaani tuna ma babu FC.
YNWA
We jamaa acha uchawi wa mchana mchanAMwezi wa gundu kwa Liverpool unakuja soon...
Subili wachezaji wakacheze kimataifa ,(world cup qualification) ...
Then hao hao warudi kucheza ,epl ,uefa ,fa ,carabao ...
Kama hamjui baada ya international break game ni baada ya siku mbili ,uefa + epl ...
Mane mtamkataa hadharani mbele ya camera ..
Salah hoiiii....
Bobby majeruhi ...
Hizo ndizo nguzo za Liverpool ,hawa vinabo kina keita ,ox ,hendo ,watakuwa wanakamilisha ratiba tu .....
Kwa mwendo huu, akitoka Klopp tutakuwa kama Asenali aisee!Kitu Pekee ninachokiona ni kuwa Top Reds from UK wanataka kutuaminisha kuwa Klopp kutuletea EPL na UCL ni HISANI na wala sio Kazi yake.
Hivyo ukizungumza weakness yeyote juu yake utaambiwa ametuletea EPL na UCL, naamini miaka 20 mbele tutaendelea kusimangwa kwa hizo UCL na EPL.
Haya bhana mimi najipanga kwa miaka 20 mbele hata kama hatutabeba Kombe lolote bali nitasubiri kupokea Masimango ya kuwa ametupa EPL na UCL.
We have been lucky hata last season kumaliza big 4 hivyo this season am not sure lady luck is enough to sail us through top 4 spot...Mkuu ni kweli Soccer kwa sasa inahitaji mpunga mrefu na kusajili wachezaji wenye viwango. Klopp ameitengeneza Liverpool mpaka sasa Liver imesimama. Lakini Mabos wake ndiyo wanamuangusha katika kuimarisha timu. Assume Salah na Jota au TAA wamepata injury kwenye Safu yenu ya ushambuliaji kumpata mchezaji kama Salah kwenye kikosi ni ngumu sana.
Naamini dirisha ndogo mtasajali wachezaji kolimba ya Holland.
Pia huyo dogo hatakiwi kutumika kwa dakika zote ni kumchosha ingefaa ajifunze kidogokidgo tatizo Klopp hajiamini kutumia watu wa tofauti.Msimu huu Nyota ya Elliot ipo Angani inamulika but Mdogo wangu Jones naona wazi kuwa ataandamwa na Damu ya Kunguni.
Kwa kipaji alichoonesha Jones last season sio wa kuwa asigaiwe japo dakika 10 kwa kila game.