Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
At least Chelsea tumepata wachezaji wawili wamebeba Euro.

Nyie matakataka mna mchezaji gani aliyebeba kombe kubwa?

Joghihno UEFA
Joghihno Euro.

Emerson UEFA.
Emerson euro..
#CFC
 
Milner anaanza mazoezi
Gomez anaanza mazoezi
OX anaanza mazoezi
Keita anaanza mazoezi
Matip anaanza mazoezi
Kweli mwaka huu kazi tunayo manake soon tutatangaziwa kuwa kupona kwa hawa ni New Signings
 
Milner anaanza mazoezi
Gomez anaanza mazoezi
OX anaanza mazoezi
Keita anaanza mazoezi
Matip anaanza mazoezi
Kweli mwaka huu kazi tunayo manake soon tutatangaziwa kuwa kupona kwa hawa ni New Signings
Duuu, hatari na nusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom